Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,236
Maneno matupu hayavunji mfupa .
😆😆😆😆Kesho utasikia kaitwa Polisi kwa kufanya maadamano!!
Kikubwa pumzi. Tuwe wavumilivu wakati wa matokeo.Onyo : Kitila Mkumbo tafakari upya jimbo la kuvamia
Hata akigombea hapiti kura za maoni na hata akipita kura zamaoni ataenguliwa na kamati kuu ya chama.Kubenea Hagombei?
Ubungo kumenogaHuyu jamaa Jacob huwa namuelewa sana, sky is the limit.
Kama akina Msukuma na Lusinde?Umeya haulipi? Ubungo tunataka wasomi
Umemjibu vizuri sanaKama akina Msukuma na Lusinde?
Hata akigombea hapiti kura za maoni na hata akipita kura zamaoni ataenguliwa na kamati kuu ya chama.
Ana mikwara huyo.Maneno matupu hayavunji mfupa .
View attachment 1500296
View attachment 1500282View attachment 1500285
View attachment 1500288
Mbona siku sio nyingi tusubiri.Onyo : Kitila Mkumbo tafakari upya jimbo la kuvamia