Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,558
- 217,851
Msemaj wa chadema...naskia wew ndo unashugulikia platforms zote za social media...hahhaha
Chadema wana kazi kubwa sana kutoboa..na kiukwel kwa mtazamo naouona..sjui kama hata kuna kiti ki1 kitaenda upinzan....nisema tuu ukwel
Kama huamini bas subiri ujionee mwenyew...Wewe ukiwa Kama Nani!?
Uwezo wako wa kufikiri unatia SHAKA, umetawaliwa na SHETANI.
Wahitaji kuongozwa kwenye sala ya TOBA.
UTUBU umkatae shtani na mambo yake yote.
Mungu wetu ni mwema atakusamehe na kukufanya uwe mtu mpya. AMEN
Big up Hon.MP candidate fo Bunda Urbun,i support your struggle to represent Tanzanians regardless of the circumstances.Your a real HERO and TRUE leader.Keep it up.Bunda People will not regret norminating you.Wish you the best wishes Kamanda.
Mkuu, wanajituma wenyewe kwa upendoHii style ya kuwapa pesa wa mama. Halafu wanakwenda kuchukua form ili jamii ione eti unakubalika. Too low .
Mkuu mwanamke wa Mara anaweza akakutia ngumi ukakimbia, sio wa mchezo hawa ndio maana wapo wengi CDM chama dume.Mbona wengi wao ni ndugu? Huyu msagaji bado anataka kuongoza watu?
Hivi Bungeni kukiwa na CCM peke yao,mantiki ya Vyama vingi tuliyoisoma shuleni itakuwa na maana gani tena?.Msemaj wa chadema...naskia wew ndo unashugulikia platforms zote za social media...hahhaha
Chadema wana kazi kubwa sana kutoboa..na kiukwel kwa mtazamo naouona..sjui kama hata kuna kiti ki1 kitaenda upinzan....nisema tuu ukwel