uber

  1. T

    Dereva wa Bolt, Uber au Tax ni siri gani alishawahi kukwambia abiria hutakuja kusahau

    Great thinker Kama kichwa kinavyosema, ni siri/stori gani hutasahau uliyokutana nayo ukiwa kazini.? Hiki kisa kilimtokea mdogo wangu alikuja nihadithia kama mwezi baada ya kutokea Miaka kama miwili nyuma, alimbeba dada mmoja kutoka club, alikua kalewa ila kwa nje alionekana mtaratibu sana...
  2. Nafaka

    Uber hawajaondoka wapo

    Kwa habari sa uhakika nilizonazo, Uber hawajafunga virago. Huenda wameelewana na serikali bado wapo wanaendelea kupiga kazi. Mshana Jr
  3. H

    Baada ya Uber kusitisha huduma kutokana na regulations mpya za LATRA, waliobaki hawana standards na discipline

    Uber wamesitisha huduma kutokana na regulations mpya za LATRA. Binafsi ingekuwa jambo la busura kuacha market forces kudetermine wanataka nini. Kama Uber wanachukuwa 25% na wewe unaona ipo juu basi nenda to another operator. At the moment quality of services being provided by remaining...
  4. and 998 others

    Madereva Uber pasua kichwa!

    Bora Uber wamesitisha hii huduma. Maana wengi wa madereva hawajielewi. Uelewa, huduma kwa wateja, usafi SIFURI **Unamkuta dereva ananuka harufu Kama hajaoga miaka na hapo anataka ratings nzuri. "***Ni vyema Hawa madereva wakafunzwa kabla ya kupewa magari
  5. Informer

    Uber yasitisha huduma zake Tanzania, yazitaja nauli elekezi Latra kama sababu. Itarejea kanuni zikibadilishwa

    Wakuu, Usiku huu Uber wametuma ujumbe unaosomeka hivi: 👇🏾 Huduma ambayo ilianza kama wazo tu — la kutumia simu yako kupata usafiri ndani ya dakika chache— Mfumo wa Uber umeenea duniani kote na zaidi ya safari milioni 15 hufanyika kila siku kupitia kwenye mfumo huu. Imekuwa ni heshima kubwa...
  6. JanguKamaJangu

    Madereva waandamana kwenda LATRA wanataka Uber, Bolt wapandishe bei ya nauli

    Madereva wa taxi za mitandao (Uber na Bolt) wameamua kuandamana mpaka makao makuu ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhnj(LATRA), kudai kupandishwa kwa bei elekezi ambazo licha ya kupandishwa wahusika bado hawazifanyii kazi hali hiyo inatokana na kuendelea kupanda kwa bei ya mafuta Source: Dar...
  7. Nkoka

    Uber driver natafuta gari

    Mimi ni dereva nina uzoefu mkubwa wa kutosha natafuta gari nifanyie kazi ya Uber/bolt Gari ndogo. Hesabu au mkataba vyote sawa Kwa yeyote Alie nayo Napatikana Temeke Mawasiliano: 0717285828
  8. A

    Dereva wa uber / bolt

    Habari naitwa hussein n dereva wa uber /bolt natafut gari ya kazi iwe hesabu au mkataba na uzoef miak 3 sas kam uko nay nichek 0689588127
  9. M

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta kazi

    Habari, mimi ni kijana wa kitanzania na mkazi wa daresalaam tabata, nipo mbele yenu natafuta gari kwa ajili ya biashara ya uber na bolt nipo tayari kwa mkataba au hesabu. Mawasiliano; 0622570507, 0657715052 au email me mdullanicholous@yahoo.com, mdullanick8@gmail.com Asanteni
  10. MTAU JR

    Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

    Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya Uber na Bolt. Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa...
  11. Daktari wa Manchester

    Uber facts thread

    Habari za mda huu .. twende Uber facts thread 'Harvard University is older than the United States' 'Denmark and New Zealand are jointly ranked as the least corrupt countries in the world' 'About 8.9% of the world's population — 690 million people — go to bed hungry every night' 'Smoking...
  12. Ernestcuthbert

    Dereva Wa uber na Bolt natafuta kazi

    Habari za muda naitwa Ernest mimi ni Dereva wa uber na Bolt Kama awali hapo mimi ni dereva wa Uber natafuta Gari ya hesabu au mkataba nina leseni class C3 na vigezo vyote vya kuendesha gari za Uber ikiwa plate number njano au nyeupe haina shida. Also apart from Uber, pia natafuta nafasi ya...
  13. mohamed habibu

    Natafuta gari ya kufanyia kazi ya Uber na kuleta hesabu

    Natafuta gari ya kufanyia kazi na kupeleka hesabu kwa boss. Iwe ya biashara account ninayo ya Uber pamoja na Bolt Leseni ninayo iko active Tutaandikiashiana kwa mjumbe ili uaminifu uwepo Barua ya utambulisho serikali za mitaa nitaambatanisha Yeyote mwenye gari yake naomba tuwasiliane...
  14. ommytk

    Nina milioni 5 nataka ninunue IST niifanye Uber

    Hali kwasasa changamoto kidogo sasa nina kihela changu kama milioni 5 hivi sijui ninunue ist nifanye uber niendeshe mwenyewe sijui itanilipa
  15. F

    Dereva wa uber na bolt nahitaji gari

    Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712 Gari iwe sienta...
  16. P

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari

    Mimi ni dereva wa uber natafuta gari kwa shuguli za kazi ya Uber ni kila kitu vinavyoitajika kama dereva wa Uber namba yangu ni 0684186585, 0766090933
  17. cpb

    Uber Jiji la dodoma

    Ninaomba kwa wale wanafanya biashara ya uber/ bolt au taxi mnisaidie mawazo nina gari yangu aina ya Raumu nataka nkafanye biashara hyo Jiji la Dodoma nipeni ushauri nini nifanye changamoto Ili nipate mwanga Nakaribisha mawazo yenu
  18. stevhinoz

    Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti Uber & Bolt

    Habari zenu, Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti ya uber na bolt. Nimejaribu kufanya mchakato wa kujiunga ila gari yangu imekosa baadhi ya vigezo haswa umri wa gari na ukubwa wa engine ila naona wenye gari kama yangu wengi wanazitumia kwenye hizi biashara so naamini inawezekana.. Kama...
  19. TURTEKING

    Dereva wa mtandaoni Uber/ Bolt natafuta gari ya mkataba au hesabu

    Mimi ni dereva wa mtandaoni - Uber/Bolt/InDrive na ping - natafuta gari ya mkataba au hesabu. Akaunti zote zipo active. uzoefu wa kutosha/uwaminifu mkubwa. Gari (IST/Raum/ )zitafaa zaidi sio lazima inaweza ikawa gari yoyote. Napatikana Dar es salaam/TEGETA. Mawasiliano 0656539177. Asanteni
  20. Y

    Maombi ya ajira kuendesha Uber\Bolt

    Habari zenu viongozi kwa jina naitwa Yasser Mikidadi natafuta kazi ya kuendesha Uber & Bolt pia nina leseni class c1,c2,c3 ni kijana muaminifu na ni mchapakazi. Kwa mawasiliano zaidi: 0623033336
Back
Top Bottom