uber

  1. MTAU JR

    Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

    Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya Uber na Bolt. Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa...
  2. Ene magari

    Dereva wa Bolt na Uber natafuta kazi

    kama hawali apo juu mimi ni dereva bolt na uber natafuta gari ya hesabu nina account zote mbili. Nina uwezo wa kuleta hesabu kila week. Nina lesen class 3. Kwa no yang 0628729873
  3. Daktari wa Manchester

    Uber facts thread

    Habari za mda huu .. twende Uber facts thread 'Harvard University is older than the United States' 'Denmark and New Zealand are jointly ranked as the least corrupt countries in the world' 'About 8.9% of the world's population — 690 million people — go to bed hungry every night' 'Smoking...
  4. moneymakerman

    MGOMA WA MADEREVA TAXI MTANDAO ( UBER, BOLT)

    Kuna mpango wa kugoma kutoa huduma za Uber na Bolt inayotarajiwa kufanyika tarehe 13/12/21 siku ya Jumatatu. Sababu zikiwemo 1. Kukatwa 20% - 30% ya mapato ya safari. 2. Bei ya nauli kuwa cha chini sana, Sh450 kwa km. 3. Madereva kufungiwa account zao bila kusikilizwa wakati wao wakilalamika...
  5. Ernestcuthbert

    Dereva Wa uber na Bolt natafuta kazi

    Habari za muda naitwa Ernest mimi ni Dereva wa uber na Bolt Kama awali hapo mimi ni dereva wa Uber natafuta Gari ya hesabu au mkataba nina leseni class C3 na vigezo vyote vya kuendesha gari za Uber ikiwa plate number njano au nyeupe haina shida. Also apart from Uber, pia natafuta nafasi ya...
  6. mohamed habibu

    Natafuta gari ya kufanyia kazi ya Uber na kuleta hesabu

    Natafuta gari ya kufanyia kazi na kupeleka hesabu kwa boss. Iwe ya biashara account ninayo ya Uber pamoja na Bolt Leseni ninayo iko active Tutaandikiashiana kwa mjumbe ili uaminifu uwepo Barua ya utambulisho serikali za mitaa nitaambatanisha Yeyote mwenye gari yake naomba tuwasiliane...
  7. ommytk

    Nina milioni 5 nataka ninunue IST niifanye Uber

    Hali kwasasa changamoto kidogo sasa nina kihela changu kama milioni 5 hivi sijui ninunue ist nifanye uber niendeshe mwenyewe sijui itanilipa
  8. Ene magari

    Mimi ni dereva Uber na Bolt, natafuta gari ya hesabu

    Kama awali nilivyosema apo juu mimi ni dereva Uber na Bolt natafuta gar ya kazi ya kuleta hesabu ndani ya week hesabu ni makubaliano. Gari iwe plate no nyeupe au njano n sawa tu bila shakaa. For more info naomb mtu aliekuwa ni utayari anitafute kupitia no hii. 0628729873 0686775988
  9. F

    Dereva wa uber na bolt nahitaji gari

    Bila longo longo naitwa Vitalis nina uzoefu wa miaka mi 2 nahitaji gari ya mkataba au hesabu iwe imesajiliwa kwa biashara ili tusileteane vipengele vingi na maneno mengi, nina akaunti ziko active na leseni daraja C , napatikana tabata segerea mawasiliano yangu ni 0679822712 Gari iwe sienta...
  10. Ernestcuthbert

    Mimi ni dereva Uber na Bolt, natafuta kazi

    Ni Dereva mzoefu kwenye shughuli izi za uber na bolt, natafuta Gari ya hesabu Iwe plate no ya njano au nyeupe mimi naweza kupambana nayo kwaajili ya hesabu...ninao uwezo wa kuleta hesabu kwa kila week .... Gari iwe kuanzia 2006 Ist, swift, spacio ractics' vitz na zingne toloe iloo Naomba...
  11. Ernestcuthbert

    Mimi ni dereva uber na bolt natafuta

    Natafuta Gari kwa ajili ya kuleta hesabu, nina vigezo vyote nina accnt ya uber na bolt na indriver. naomba mtu anicheki kupitia no hii, 0628729873 Au 0686775988
  12. P

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari

    Mimi ni dereva wa uber natafuta gari kwa shuguli za kazi ya Uber ni kila kitu vinavyoitajika kama dereva wa Uber namba yangu ni 0684186585, 0766090933
  13. Ernestcuthbert

    Habari mimi ni dereva uber natafuta Gari ya kazi

    Natftaa gari ya hesabu au mkataba na uzoefu mkbwa na leseni yenye class 3 na uzoefu ...mwenye connection ya Gari au mmliki wa gari naombq anichek kupitia no hiii 0628729873
  14. cpb

    Uber Jiji la dodoma

    Ninaomba kwa wale wanafanya biashara ya uber/ bolt au taxi mnisaidie mawazo nina gari yangu aina ya Raumu nataka nkafanye biashara hyo Jiji la Dodoma nipeni ushauri nini nifanye changamoto Ili nipate mwanga Nakaribisha mawazo yenu
  15. Abdul kalaam

    Biashara ya uber na bolt inaonekana hii biashara inalipa

    Habari wadau Nimepitia nyuzi nyingi hapa jamii forum kuhusu biashara ya uber na bolt inaonekana hii biashara inalipa ingekuwa hailipi kusingekuwa na matangazo ya madereva kuomba gari za mkataba. nipo mbioni kuagiza gari kwa ajili ya uber na bolt.
  16. stevhinoz

    Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti Uber & Bolt

    Habari zenu, Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti ya uber na bolt. Nimejaribu kufanya mchakato wa kujiunga ila gari yangu imekosa baadhi ya vigezo haswa umri wa gari na ukubwa wa engine ila naona wenye gari kama yangu wengi wanazitumia kwenye hizi biashara so naamini inawezekana.. Kama...
  17. TURTEKING

    Dereva wa mtandaoni Uber/ Bolt natafuta gari ya mkataba au hesabu

    Mimi ni dereva wa mtandaoni - Uber/Bolt/InDrive na ping - natafuta gari ya mkataba au hesabu. Akaunti zote zipo active. uzoefu wa kutosha/uwaminifu mkubwa. Gari (IST/Raum/ )zitafaa zaidi sio lazima inaweza ikawa gari yoyote. Napatikana Dar es salaam/TEGETA. Mawasiliano 0656539177. Asanteni
  18. Y

    Maombi ya ajira kuendesha Uber\Bolt

    Habari zenu viongozi kwa jina naitwa Yasser Mikidadi natafuta kazi ya kuendesha Uber & Bolt pia nina leseni class c1,c2,c3 ni kijana muaminifu na ni mchapakazi. Kwa mawasiliano zaidi: 0623033336
  19. Ene magari

    Habari wakuu mimi ni dereva uber na bolt natafuta kazi

    Mimi nI dereva uber natafuta Gari ya kazi ya mkataba au hesabu. Nina uzoefu mkubwa nina account zote mbili ya uber na bolt naomba mwenye gari au mwenye connection ya gari anichek kupitia no hiii 0628729873
  20. Abdul kalaam

    Biashara ya Uber, Bolt

    Habari wanajukwaa Mimi ni muajiriwa sehemu fulani, kutokana na changamoto za kazi nilitamani nijiajiri mwenyewe kupitia biashara ya udereva wa mtandao. Naombeni ushauri wenu juu ya hii biashara kama inalipa kwa kiasi gani na changamoto za biashara kiujumla. Asanteni
Back
Top Bottom