Great thinker
Kama kichwa kinavyosema, ni siri/stori gani hutasahau uliyokutana nayo ukiwa kazini.?
Hiki kisa kilimtokea mdogo wangu alikuja nihadithia kama mwezi baada ya kutokea
Miaka kama miwili nyuma, alimbeba dada mmoja kutoka club, alikua kalewa ila kwa nje alionekana mtaratibu sana, alivyoingia tu akaomba samahani kuwa kaingia kwenye ndani ya gari kalewa
Anasema hakuoneka kama mtu wa club, wakati wako njian akamuuliza usiku wake ulivyokua, alichomjibu ndio kilichomtoa machozi.
Yule dada alimwambja kuwa ile ndio ilikua siku yake ya kwanza kwenda club, na ni rafiki zake ndio waliompeleka sababu alikua ameacha kazi siku iyo, kwa hiyo wakaamua kumfanyia goodbye party na kumtoa. Sabab ya yeye kuondoka aliwaambia kuwa anaenda abroad kuongeza masomo, lakini ukweli ni kuwa aligundua kuwa ana brain cancer na tayari ilishavuka kiwango kiasi hata chemo isingemsaidia na hakutaka kuwaambia wafanyakazi wenzie.
Dogo anasema siku hiyo machozi yalimtoka pamoja na kuwa hakuwa anamjua mpaka alipomfikisha
Duniani watu wanapitia mengi
Kama kichwa kinavyosema, ni siri/stori gani hutasahau uliyokutana nayo ukiwa kazini.?
Hiki kisa kilimtokea mdogo wangu alikuja nihadithia kama mwezi baada ya kutokea
Miaka kama miwili nyuma, alimbeba dada mmoja kutoka club, alikua kalewa ila kwa nje alionekana mtaratibu sana, alivyoingia tu akaomba samahani kuwa kaingia kwenye ndani ya gari kalewa
Anasema hakuoneka kama mtu wa club, wakati wako njian akamuuliza usiku wake ulivyokua, alichomjibu ndio kilichomtoa machozi.
Yule dada alimwambja kuwa ile ndio ilikua siku yake ya kwanza kwenda club, na ni rafiki zake ndio waliompeleka sababu alikua ameacha kazi siku iyo, kwa hiyo wakaamua kumfanyia goodbye party na kumtoa. Sabab ya yeye kuondoka aliwaambia kuwa anaenda abroad kuongeza masomo, lakini ukweli ni kuwa aligundua kuwa ana brain cancer na tayari ilishavuka kiwango kiasi hata chemo isingemsaidia na hakutaka kuwaambia wafanyakazi wenzie.
Dogo anasema siku hiyo machozi yalimtoka pamoja na kuwa hakuwa anamjua mpaka alipomfikisha
Duniani watu wanapitia mengi