Francis atwoli anaujumbe wako hapanina kihela changu kama milioni 5
Tafuta wataalam wa green house wakufundishe kulima nyanya kwenye huo mjengo, Kwanza kabisa uwaeleze una huo mtaji hivyo wakupe mchanganuo wote wa gharama ya huo mjengo na gharama zingine za kama mbegu, drip pipes, water tanks, na vinginevyo, kwa sababu hela inaweza isitoshe Kuna wataalamu huwa wanauza green house na pia kukufundisha hadi zao likomae ibakie kwako tu kuamua unataka kuuza lini zao lako maana likiwa hata limeiva na lipo kwenye huo mjengo lina uwezo wa kukaa hadi miezi kadhaa bila kuharibika huku ukisubiria bei ya nyanya sokoni ipande madalali waanze kukumezea mate huku udende ukiwatokaHali kwasasa changamoto kidogo sasa nina kihela changu kama milioni 5 hivi sijui ninunue ist nifanye uber niendeshe mwenyewe sijui itanilipa
Hahahah ukiwakuta wanauelezea hii saa ni million tano🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizo mln 5 kanunue saa pale qnet utakuja kunishukuru, jiamini piga kifua mara alfu sema mimi ni mpumbavuu wa kwanza. Joke.
Ushauri mzuri na pia hizo app's unaweza kuanazo na kujisajili zote uber,bolt,Indriver na hadi Taxfy...hukosi 30 - 50 kwa siku lkn kwa milion 5 tafuta Passo ist haitakua nzuriKwanza naanza KWA kukupongeza HONGERA SANA
umewaza wazo zuri Sana kununua gari ni bora na kufanya Uber ama bolt? Na nasikia skuiz unaweza jiunga zote KWA mpgo Ili kutega liziki pande mbili
Uber ni bora kuliko mtaji kuuingiza kwenye biashara za ulanguzi na sio mzoefu na biashara hzo Uber kama gari Yako huwezi shindwa kwenda home hata na 30 elfu net profit na hata kama ikikushda huwezi poteza KILA kitu utabakiwa na gari na unaweza uza tena na kupata chochote
FANYA UBER AMA BOLT USITHUBUTU BIASHARA ZA ULANGUZI.
Vipi kuhusu vits au basi nipambane nipate japo ist niongeze ata ifike 7 au 8m naweza kupata ist mkuu ila madalali sasa ndio shida sanaUshauri mzuri na pia hizo app's unaweza kuanazo na kujisajili zote uber,bolt,Indriver na hadi Taxfy...hukosi 30 - 50 kwa siku lkn kwa milion 5 tafuta Passo ist haitakua nzuri
Milion nane uhakika kbs ingia fb kuna matangazo ya magari direct no udalali, vits hakina mvuto hata baadae kuuza ni hasara tuVipi kuhusu vits au basi nipambane nipate japo ist niongeze ata ifike 7 au 8m naweza kupata ist mkuu ila madalali sasa ndio shida sana
Vipi kuhusu vits au basi nipambane nipate japo ist niongeze ata ifike 7 au 8m naweza kupata ist mkuu ila madalali sasa ndio shida sana
Inamana saizi hizi uber hazilipi??Jinsi unavyo elezea upambane uongezee ifike Million 7 au Million 8 ya kupata IST, ni bora uendeleze hayo mapambano hukohuko maana inaonekana ndo kuna hela, huku kwenye Uber na Bolt utapambana sana kuliko huko mkuu, ni ushauri tu
Yaani kwanini sasa hizi kauli ebu mtuelezee wanashughulika na hii habari uber na bolt nini changamoto mbona now hizi kauli zinakatisha tamaa mimi gari naendesha mwenyewe simpi mtu je bado kuna shida maana shida tulikuwa tunasikia ukimpa derevaInamana saizi hizi uber hazilipi??