Kwa jina Naitwa Ernest ni dereva Uber na Bolt mwenye uzoefu katika kazii hii nina leseni yenye madaraja yote nilikuwa natafutaa Gari ya kazi iwe yenye private namba Au commercial kwa ajili ya kazi '
Kwa mawasailiano zaidi
Ernest : +255628729873
Naomba ushirikiano wenu
Ninaitwa Eliah Gwamaka. elimu yangu ni diploma ya IT. Pia nina leseni yenye madaraja C1, C2, C3, E na D.nina uzoefu wa kufanya Bolt kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Napendelea mkataba hata kama gari sio mpya.
Napatikana ukonga Banana Dar es Salaam.
Namba yangu ya simu ni 0686 574164.
Natanguliza...
Mimi ni dereva wa uber na bolt natafuta gari ya kazi kwa ajiri ya shuguli za uber nina account ya uber na bolt pia na nina experience ya kazi namba yangu ni 0766090933
Natafuta Gari ya kaz iwe private au commercial kwa ajili ya kazi nina account zote mbili uber /bolt kwa mwenye Gari naomba anicheki kuptia no hii...0628729873
Naitwa Ernest ni dereva uber na bolt also na indrive natafuta gari ya kazi ya kuleta hesabu mwenye nayo au mwnye connection ya gari naomba anichek kwa namba hii 0628729873
Natafuta Gari ya kufanyia kazi iwe commercial au private kwa ajili ya biashara za Uber na Bolt nakuletea hesabu bila shaka
Na aacount zote mbili ya uber na bolt mimi ni mzoefu?
Kwenye hiii kazi naomba unitafute kama una Gari au connection ya gari kwa no hii 0628729873
Natafuta Gari ya kazi iwe commercial au private kwa ajili ya uber n bolt mimi ni mzoefu na account zote mbili ya bolt na uber naomba mwenye Gari au mwenye connection na gari naomba anicheki kwa no hii 0628729873
Natafuta Gari ya kazi iwe commercial au private kwa ajili ya uber n bolt mimi ni mzoefu na account zote mbili ya bolt na uber naomba mwenye Gari au mwenye connection na gari naomba anicheki kwa no hii 0628729873
Uwoya akiwa vacation Dubai na mwanaye ameposti video akiwasili na kuita uber ikaja Rolls Royce Ghost ambayo ina bei ghali kuliko culinan ya msanii wa WCB.
Hii ni dharau kubwa sana kwa msanii ambaye kavunja kibubu chake cha miaka 13 kununua RR then wewe Uwoya unapanda Uber ya Rolls Royce ya bei...
Natafuta Gari ya kazi ya uber kwa plate no y njano au nyeupe na uzoefu mkubwaaa nina account zote mbili ya uber na bolt hesabu ni makubaliano naomba unichek kwa nambaaa hii.
0628729873 au 0686775988
Habari,
Naitwa Ernest Guthbert mimi ni dereva wa Uber na Bolt natafuta Gari mwenye Gari au mwnye connection na gari naomba anitafute kwa no hiii 0628729873
Unaweka pesa kwenye bahasha, kisha unatumia application ya Taxify / Uber na kuita chombo cha usafiri kilichokaribu, kisha unamkabidhi mzigo ila humwambii kuna nini ndani na kumpa maelekezo ya wapi apeleke.
Je, hii inawezakana?
Indriver ni app bora kuwahi kutokea katika teknolojia ya usafiri nchini Tanzania kwa sababu zifuatazo:-
1). Abiria anapendekeza bei ya safari kulingana na uwezo wa mfuko wake na Inatoa mwanya wa majadiliano ya bei na dereva mpaka kufikia muafaka. (Ukizingatia Wabongo kwa kupenda ku-burgain, hii...
Hiii ni post maalum kwajili ya watu wenye wivu na chuki ambao mafanikio ya Diamond yamegeuka kuwa mwiba kwao, Kila anachofanya sasa wanakilinganisha na nje ya nchi maana hapa ndani kakosa mpinzani.
Hii imekuwa too much sasa, Mara ya kwanza wiki chache kanunua ile cadillac toleo la 2015...
Mimi ni dereva wa uber ninatafuta gari ya kazi kwa ajiri ya uber nina account ya Uber na Bolt pia nina leseni niko teyari kufanya kazi namba yangu ni 0628729873 au 0686775988
Habari ndugu zangu mimi nikijana mchapakazi ni dereva wa uber natafura gari ya kazi nina leseni pia na account natafuta gari kwa ajiri ya uber namba zangu 0628729873
Salaam wakuu.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 24. Naishi Dar es salaam, natafuta mtu mwenye gari ndogo ambaye anaweza kufanyia biashara ya uber.
Uaminifu na juhudi ya kazi hapa ndio mahala pake.kwa yeyote anayehitaji dereva wa kazi hiyo anitafute kwa namba 0759429980.
Shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.