tundu lissu

  1. Kipenzi Changu

    Mbowe aliona Watanzania hawabebeki, akavuta hela akatulia?

    Leo nimetafakari juu ya kukosekana kwa Mbowe wala kauli yake kwenye hali ngumu inayopitia Tanzania Nikafikiria hivi kweli hawa watanzania ni watu wa kuwapigania mpaka tone la mwisho? Nikawahesabu watu kadhaa waliorisk maisha yao wakiwatetea watanzania. Nikamkumbuka Tundu Lissu na Mbowe na...
  2. Return Of Undertaker

    Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Hints: Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia. Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa...
  3. Matovu Godfrey

    Hesabu chini - zimebaki siku 10! kufika Oktoba 29

    !!! MIKAKATI YA KUPELEKA NA UTAWALA!!! _______________________ JE, UKO TAYARI Dokezo! Ujumbe kwa nafsi yako ✍🏿 Wapo baadhi ya viongozi mashuhuri kwa mfano wabunge wanaojifanya upinzani ambao wanaweza kutumika kuwanyamazisha wapiga filimbi, au mstari wa mbele wa mapambano. Siku zote...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wenje: Lissu alinufaika na falsafa ya 4R za Rais Samia

    Wenje ameendelea kujimaliza, mwenyewe na kujiona mjanja Tumika baba! ==================== Mwanachama mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ezekiah Wenje, amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, jumla ya kesi 417 zilifutwa, ikiwemo kesi sita...
  5. Meja Jenerali Isamuhyo

    GE2025 Tundu Lissu: Humphrey Polepole amepatikana au ni yale yale ya Mohamed Ali Kibao?

    Mhe. TunduALissu anauliza; 1. Humphrey Polepole amepatikana au ni yale yale ya Mohamed Ali Kibao? 2. Mama anasemaje juu ya balozi wake Humphrey Polepole au ni kazi na utu? ========================== Baada tu ya kuingia kwenye chumba namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya...
  6. Carlos The Jackal

    Kupitia LISSU tumegundua "Wahuni Ndani ya Jeshi la Polisi , wanapandishana Vyeo Kwa kazi zao za kiovu" na si kwa Mujibu wa PGO!

    Yaan haya maajabu , unakua na viongozi wa juu wa Jeshi la Polisi ambao kupatikana kwao si Kwa Mujibu wa PGO Bali Kwa Mujibu wa kutoa Ahsante Kwa kazi ya Kiovu iliyofanyika. Mkianza na George Hadi huyu Kaaya wa Leo, UTAGUNDUA ni wahuni Ndani ya koti la Polisi ! Hawafai hata kua Migambo!!.
  7. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya Tundu Lissu: Pingamizi la Jamhuri lagonga mwamba

    Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam mapema leo, Jumatatu Oktoba 13.2025 imetoa 'uamuzi mdogo' kufuatia pingamizi lililokuwa limewekwa mwishoni mwa juma lililopita na upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  8. PAYE

    GE2025 Ulinzi mkali wa Polisi Mahakama Kuu Dar, Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu kusikilizwa leo Oktoba 13, 2025

    Ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi leo Jumatatu, Oktoba 13, 2025, katika viunga vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, wakati kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Tundu Lissu ikitarajiwa kusikilizwa leo.
  9. DuaZaMama

    GE2025 Heche: Aitaka serikali ifute kesi ya Lissu inatumia gharama kubwa, Azungumzia suala la utekaji

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche hii leo Oktoba 10, 2025 akiongea na Wanahabari nje ya Mahakama kuu kanda ya Dar Es Salaam amesema kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa ifutwe ili gharama zinazotumika kipindi hiki cha kuendesha kesi hii ikasaidie...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Tundu Lissu arudishwa rumande, kesi yaahirishwa hadi Oktoba 13, 2025

    Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu imeahirishwa hadi Jumatatu Oktoba 13, 2025. Kesi hiyo ilikuwa ikiunguruma leo Oktoba 10, 2025 katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam ambapo leo Lissu alikuwa akimhoji shahidi wa pili...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Kesi ya uhaini ya Lissu kuendelea leo Oktoba 10, 2025, Mshitakiwa kumuuliza maswali ya dodoso shahidi wa 2 Inspekta wa polisi John Kaaya

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani kwenye chumba namba moja (1) cha Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Ijumaa Oktoba 10.2025 kwaajili ya kuendelea na kesi ya uhaini inayomkabili Kesi hiyo ambayo inasikilizwa kwa mfululizo Mahakamani...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Lissu: Leo mumeniangusha hamjaijaza Mahakama

    Huyu jamaa anaga kupinda yani anapasua hapo hapo! Inawezekana pia watu wengine wanaogopa kupigwa na hao polisi ambao wamegeuka maadui kwa Watanzania =================== Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu wakati akitoka katika kizimbani cha Mahakama Kuu...
  13. Carlos The Jackal

    Hata Nyerere angekemea Hawa wahuni, Bado angetekwa, Bila kelele na kuwawahi Wangemuuua TUNDU LISSU Kwa Sumu akiwa Gerezani!!

    Hawa Wahuni kama tusingepaza sauti mapema za kustukia mpango wao dhidi ya TUNDU LISSU , Wangemuua Kwa sumu . Sasa fikiria BRAIN ya TUNDU LISSU iuwawe na Vichwa maji kama Akina Mafwele , Muliro, Samia, Makonda na genge lao !!.
  14. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Anzeni kuandaa submission za no case to answer, hakuna kesi hapa!

    "Anzeni kuandaa submission za no case to answer, hakuna kesi hapa" Mwenyekiti Taifa, Tundu Lissu akiwaambia mawakili wake leo baada ya mapumziko mafupi mchana wa leo.
  15. DuaZaMama

    GE2025 Tundu Lissu afikishwa tena mahakamani leo Oktoba 9, 2025, Mawakili wa Jamhuri kumuhoji shahidi namba moja wa Jamhuri

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa mahakamani katika Kesi hiyo ambayo mshtakiwa anajitetea mwenyewe, leo imekuja kwaajili ya Mawakili wa Jamhuri kumuhoji 're-examination' shahidi namba moja (1) wa Jamhuri ACP George Willbert Bagyemu baada ya mshtakiwa kumaliza kumuhoji maswali ya...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Tundu Lissu aendelea kumbana maswali magumu Afande George katika kesi ya Uhaini dhidi yake na Jamhuri

    Part 74 Mhe. Lissu: Je unafahamu December 2020 mshitakiwa alipata tuzo inayoitwa BushThetcher Award for freedom kwasababau ya kupigania haki za binadamu? George: Sifahamu Mhe. Lissu : Je unajua mwaka jana TLS walimtunukia tuzo kwa utumishi wake ndani ya Chama cha Mawakili Tanganyika...
  17. Carlos The Jackal

    Kupitia TUNDU LISSU, Shahidi George akiri yale Mauaji ya Kibiti yalitokea sababu ya uwepo wa anachodai Makosa ya Kigaidi , RCO akiwa Mafwele

    Mkuu TUNDU LISSU anatusaidia kupata Ushahidi zaidi wa baadae kuwashughulikia Hawa Wauaji. Ni kwamba, Kumbe yale mauaji ya watu wengi yalotokea Kibiti, ni Kwa sababu RCO Mafwele na Msaidizi wake George waliyaongoza wao wenyewe Kwa kisingizio Cha Kupambana na Ugaidi. Unaniuliza, kama tatizo ni...
  18. PAYE

    GE2025 Lissu: Nina kesi ya kunyongwa, sina cha kupoteza; nipo tayari kufa lakini nitakuwa na amani ya kusema ukweli

    Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa, Tundu Lissu Waheshimiwa Majaji jana mliotoa order ya watu kuingia mahakamani kama sheria inavyosema na kama mlivyoelekeza. Mimi nilileta majina na mmoja wa watu wanaotakiwa kuingia ni mgeni wangu kutoka nje. Naambiwa amezuiliwa na uhamiaji hapa mlango wa mahakama...
  19. R

    POTOSHI Tundu Lissu alisema 'Chama chetu tunafuata maelekezo na agenda kutoka ulaya'

    Wakuu, Tupeni uhakiki hapa, naamini Mwenyekiti Kamanda Tundu Lissu hawezi kuruhusu huu ukoloni
  20. Waufukweni

    Kauli ya Lissu akiwa Kizimbani: Nipo imara, enyi wa imani ndogo acheni uwoga

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akiwa kizimbani leo amesema kwa kujiamini "Nipo Imara, enyi wa imani ndogo acheni uwoga," kauli ikionyesha msimamo wake thabiti na imani ya kutoyumba licha ya changamoto zinazomkabili.
Back
Top Bottom