tundu lissu

  1. Mwl.RCT

    Prosecution or Persecution: Unpacking the Tundu Lissu Debate Igniting Tanzania's Digital Sphere

    Prosecution or Persecution: Unpacking the Tundu Lissu Debate Igniting Tanzania's Digital Sphere Introduction In Tanzania's vibrant and often contentious digital landscape, few topics have ignited as much passion and division as the legal proceedings against prominent opposition figure Tundu...
  2. The Palm Beach

    Makala maalumu ya historia ya Tundu Lissu: Ni hasa huyu mtu? Mambo saba (7) usiyoyajua kumhusu

    MAMBO SABA USIYO YAJUA KUHUSU TUNDU LISSU. - Courtesy: BBCSwahili.com Katika historia ya siasa za Tanzania, ni vigumu kutaja majina ya wanasiasa walioteka hisia za watu kwa hoja, ujasiri na misimamo bila kumtaja Tundu Antiphas Lissu. Kwa wengi, yeye ni alama ya mapambano ya haki, demokrasia na...
  3. technically

    Nyerere, Magufuli na Sasa Tundu Lissu

    Hawa ndio wataacha alama ya milele kwa Taifa la TANZANIA Watakumbukwa kwa vizazi na vizazi miaka mingi ijayo Nyerere atakumbukwa kwa uadilifu. Magufuli atakumbukwa kwa uthubutu wa kufanya. Lissu atakumbukwa kwa reform zitakazo ishi kwa vizazi na vizazi!! Mungu ibariki Tanzania
  4. Lord Denning

    Alichofanya Abacha kwa Ken Saro Wiwa ndicho anachofanya Samia kwa Tundu Lissu. Wanigeria waliona sawa enzi zile leo ni kitovu cha Ugaidi na Ufisadi.

    Hakuna jipya chini ya jua. Huu ni msemo maarufu sana unaomaanisha hakuna kitu kinachofanyika leo duniani kwenye maisha ya kawaida ya binadamu ambacho ni kipya. Miaka ya 1990- 1997 nchini Nigeria alitokea Dikteta maarufu sana Duniani aliyejulikana kama Generali Sani Abacha. Kiongozi huyu wa...
  5. Kifurukutu

    Maandamano Bila Kikomo: Serikali Ishinikizwe imwachie Huru Tundu Lissu

    Katika mazingira ya kisiasa ambapo haki za msingi za raia zinaendelea kukandamizwa, maandamano ya kiraia yanabaki kuwa njia halali na ya mwisho ya wananchi kudai haki yao. Kufuatia kukamatwa na kushikiliwa kwa mwanasiasa mashuhuri Mhe. Tundu Lissu – bila msingi wa haki na kwa nia ya kisiasa –...
  6. U

    Wito kwa Watanganyika wote wapenda haki: Tum - support Tundu Lissu na CHADEMA kwa kujitoa sadaka/dhabihu kwa ajili ya wokovu/ukombozi wa sisi sote

    Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ameamua kujitoa mwenyewe sadaka/dhabihu ya mateso kwa ajili ya ukombozi na wokovu wa Watanganyika wote Angekuwa ni mtu anayefanya haya kwa faida binafsi (personal benefits) ili apate vitu vya dunia hii kama fedha, vyeo, majumba, ardhi nk vitokanavyo na dhuluma...
  7. Lord Denning

    Hitimisho langu! Kwa nilivyomsikia Lissu jana na nilivyomsikia Samia leo, Acha tu nchi izidi kuwa masikini na deni la taifa lizidi kuongezeka

    Kwa nilivyomsikia Tundu Lissu jana akitema madini kwa ufasaha wa hali ya juu na akili iliyotulia bila hata papara huku akiwa anaishi na kuteswa Gerezani na namna nilivyomsikia Rais Samia leo akimsema vibaya mbunge wa CCM Luhaga mpina kwa namna alivyosimama kutetea maslahi ya wananchi wake...
  8. Roving Journalist

    Mahakama Kuu yaagiza Lissu aletwe Mahakamani Juni 27, 2025 katika kesi ya marejeo aliyoifungua

    Kesi ya Marejeo iliyopo Mahakama Kuu Dar esn Salaam iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu dhidi ya Jamhuri Na. 14496 ya 2025 ambayo ilipangwa kutajwa leo Juni 17, 2025 imeahirishwa hadi Juni 27, 2025. Shauri hilo lilipangwa kusikilizwa kwa njia ya Mtandao mbele ya Jaji...
  9. Yoda

    Tundu Lissu ashauriwe ajisalimishe kwa serikali atoke magereza, anateseka bure tu

    Watu walio karibu na Tundu Lissu wamshauri ajisalimishe kwa serikali ya CCM atoke magereza tu, hakuna atakachofanikisha kwa Tanzania ya sasa kwa kuendelea na msimamo wake huo, hakuna watu wengi walio tayari kupambania sambamba naye kwa vitendo kile anachopambania yeye. Hakuna sababu ya...
  10. K

    Kuzuiwa kuabudu kwa Tundu Lissu na kufungwa kwa kanisa la Gwajima kunamtia doa Rais Samia

    Huu ni utafiti wangu mdogo nilioufanya jana na leo,sikutegemea kama kesi ya Antipas Lissu ingefwatiliwa na watu wengi kiasi hiki. Leo wanaume kwa wake wanaijadili kauli ya Tundu lissu kwa nini azuiwe kuabudu? Ukitegemea lawama zote anatupiwa Rais wa inchi ambaye ni Muisilamu, haina tofauti na...
  11. Ryan Holiday

    PreGE2025 Wakili wa Kimataifa Robert Amsterdam "Lissu hayupo peke yake – Dunia nzima Inatazama"

    Wakili wa Kimataifa, "Robert Amsterdam" amerusha mawe mawili gizani kwa kuisakama na kuiponda serikali ya CCM inayoongozwa na Raisi Samia Suluhu Hassan kwa ukandamizaji wa haki, sheria na uonevu kwa Raia wa Tanzania. Kupitia ukurasa wake wa X Robert Amsterdam ametweet na kusema, "Tunampongeza...
  12. B

    Tundu Lissu ni shujaa

    NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili. Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya...
  13. Ngungenge

    Ushauri: Ondoa Kesi ya Tundu Lissu Mahakamani

    Wakati wote tumekuwa upande wako kukupigania 2025 Mitano Tena, kabla hata ya vuguvugu kuwa utagombea jaribio la awali kupima upepo wako likichagizwa na habari ya Gazeti kuwa 2025 hugombei, Ulisimama kidete tulikutia moyo kuwa you can make it. Mwaka 2024 Nuru yako iliendelea Kuangaza na kuonesha...
  14. Manyanza

    Historia fupi ya maisha ya shule ya Tundu Lissu

    Tundu Lissu alizaliwa tarehe 20 Januari 1968 na alisoma shule ya msingi Mahambe, Singida. Katika miaka yake yote saba shuleni hapo, Lissu hakukubali hata mara moja kuamka alfajiri saa 11 kuwahi namba na daima aligomea kulima mashamba ya walimu, kuwachotea maji na kazi za namna hiyo kwani kwake...
  15. Kekule Wa Benzene Ring

    Karibu uraiani Tundu Antiphas Mughwai Lissu, heshima iliyoje kwako DPP Mwakitalu

    Kwanza nianze na salamu ya Kwetu Kwa DPP ( mkurugenzi wa mashitaka) na kaka yangu Sylvester Mwakitalu. UGHONILE KIKOLO NDAGA UTUKUNYIKE. KYALA AKUSAJE NU KUKULINDILILA PAMUSI NA PAKILO. Pili nimpongeze Mtanganyika mwenzangu na rais wa tatu ajaye ( Baada ya huyu kudumu Kwa muda mfupi atafata...
  16. Lord Denning

    Ushauri kwa DPP: Kwa Ushahidi wa Shahidi wako wa kwanza Kesi ya Uchochezi ya Tundu Lissu, Nolle ni busara kuliko Serikali kuvuliwa nguo hadharani

    Silvester Mwakitalu. Sidhani kama kesi zilizofunguliwa dhidi ya Tundu Lissu zilipata baraka zako za kitaalam kabla ya kuwasilishwa Mahakamani. Nasema haya kwa sababu nakujua vizuri. Wewe ni mtu muungwana na mlokole sana. Leo napenda kukushauri, kwa namna Shahidi wako wa kwanza alivyoanza...
  17. Pascal Mayalla

    Voices From Within:Tundu Lissu kuachiwa Huru kwa Nolle ya DPP, Serikali has no Interest kuendelea na Kesi ya Uhaini? CHADEMA Kushiriki Uchaguzi?

    Wanabodi Hili ni Bandiko la Voices from within,hivyo naomba kulianza kwa disclaimer Leo saa hizi,ni usiku mkubwa!,hii ndio mida wenye mamlaka ya kweli,huongea na watu wao,, achilia hawa wenye mamlaka ya kukasimiwa,hapa tunazungumzia mamlaka iliyo KUU ya Ukweli, achilia hizi mamlaka za kuja na...
  18. R

    Tundu Lissu usihofu, Ibada haizuiliki, Hekalu ni mwili wako, Madhabahu ni moyo wako. Endellea kuabudu

    Salaam, Shalom! Nimesikia nabii Tundu Lissu akilalamika kupokwa haki yake ya kuabudu, hii SI kweli. Agano la kale, watu iliwabidi kusafiri Hadi Yerusalemu kwenda kuabudu, Agano jipya mambo yamebadilika. Mungu anaabudiwa Katika njia illiyoboreshwa zaidi. Wamwabuduo halisi, imewapasa...
  19. Zanzibar-ASP

    Lissu sio mtu wa kawaida. Hii ni zawadi ya kipekee kabisa Mungu alitupatia watanzania katika taifa letu

    Tunaweza kutofautiana kimtazamo, lakini hatuwezi kubishania ukweli wa wazi. Kama kuna zawadi ya kipekee kabisa ya mtu wa kutupigania na kushinda kwenye siasa, sheria, haki na maendeleo ambayo watanzania tulipewa na mwenyezi Mungu katika miaka 60 tangu kuundwa kwa taifa la Tanzania (Tanganyika)...
  20. M

    Maandiko yametimia: Kama wanautendea mti mbichi namna hii, je mti mkavu

    Je wafungwa wasio na hadhi ya kitaifa wanatendewaje huki jela? Ikiwa public figure kama Lissu anatendewa namna hii, je wanyonge wasio na mbele wala nyuma?
Back
Top Bottom