tundu lissu

  1. Waufukweni

    Tundu Lissu akinukisha Mahakamani, Mvutano mkali na Askari Magereza waibuka, adai kuzuiwa kuongea na Mawakili

    Wakuu! Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akiwa kizimbani Mahakamani, aliingia kwenye mvutano mkali na Askari Magereza wakati anajadiliana jambo na Mawakili wake ambao inadaiwa kuwa alizuiliwa kuongea nao Mahakamani hapo. Leo Julai 11, 2025, Lissu alifika Mahakamani hapo kwa ajili ya...
  2. Lord Denning

    Taifa ambalo watu kama Tundu Lissu na Prof. Assad wanafanyiwa fitna ili wasiongoze Taasisi na Watu haliwezi pata Maendeleo ya kweli kamwe.

    Kama wewe ni binadamu na unafikiri vizuri. Fikiria namna Prof. Assad alivyo na madini ya maana kichwani kwake, alafu fikiria kuwa mtu wa namna ile alifanyiwa fitna na kuondolewa kwenye Cheo cha Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ili asiiambie ukweli Serikali mabaya yake kuhusu matumizi yasiyo...
  3. Waufukweni

    Tundu Lissu akiwa Mahakamani: Jamani huko Uraiani kukoje?

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Taifa, Antiphas Mughwai Lissu Mahakamani leo Julai 11, 2025. == Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amefikishwa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 11, 2025 ambapo Mahakama kuu inatarajia kutoa uamuzi wa...
  4. Mto wa mbu

    Jumuiya ya kimataifa inajua opposition leader Kwa Tanzania ni Tundu Lissu pekee

    Hii imenishangaza Kila nkiangalia habari kuhusu siasa za Tanzania, kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kiongozi wa upinzani Tanzania wanamtaja Tundu Lissu pekee. Hii ni tofauti kabisa na huku kwetu ambapo kuna viongozi wengi sana wa -vyama kama Kina Mzee Rungwe,Lipumba,Chief Ryemba. Je ni...
  5. Mto wa mbu

    SI KWELI PreGE2025 Waziri wa Mambo ya Nje wa Cyprus na Mjumbe wa EU, arefusha ziara yake ili audhurie kesi ya Lissu

    Waziri wa mambo ya nje wa Cyprus bwana Constantinos Kombos, alitumwa kumwakilisha kamishina wa wambo ya nje katika umoja wa ulaya kuja Tanzania. Moja ya Marengo ya ziara hiyo ilikuwa ni kuangalia jinsi uchaguzi mkuu utakavyofanyika. Ratiba ya awali ilionesha bwana Kombos angeondoka July 10...
  6. britanicca

    Nani Atamwokoa Tundu Lissu, Mwanaume Anayeota Tanzania Tofauti?

    Inamhusu Tundu Lissu, kiongozi wa upinzani Tanzania aliyenusurika jaribio la mauaji 2017 (risasi 16). Akiwa uhamishoni Belgium, anawania urais 2025, akisukuma demokrasia, kupambana na ufisadi na mageuzi ya haki za binadamu. Inatoa wito wa msaada kimataifa kumkinga na vitisho. Kutoka kikundi...
  7. upupu255

    PreGE2025 POTOSHI Tundu Lissu aliwahi kusema chama chake ni CCM

  8. Carlos The Jackal

    Uhai wa TUNDU LISSU uko hatarini, Maneno ya Sheikh ya 'Kukata Kichwa MTU mmoja' Kwa kisingizii Cha Amani ni Taa Nyekundu !!

    Ninawaonya Ninawaonya Ninawaonya, TUNDU LISSU mlimpiga Risasi 16 Mwilin mwake ili kumuua.. HAKUFA . Majuzi, Viongozi mbalimbali Nje na Ndani ya Nchi, wameelezea Taarifa nyeti juu ya Mpango wa KUMUUA TUNDU LISSU KWA SUMU. Msivyokua na Akili, Leo mnatumia Sheikh wenu mpuuzi katika kusanyiko la...
  9. Mwanadiplomasia Mahiri

    Huyu jamaa ni nani? Alikuwepo kwa Tundu Lissu na sasa yupo kwa IGP Wambura?

    Nipo kijijini napita pita mtandaoni, naona picha za wakuu wakiwa kanisani kwa Mwamposa. Picha moja wapo iliyonishtua ni jamaa flani ambaye wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 alikuwa kwenye msafara wa Tundu Lissu. Leo jamaa yule yule yupo kwenye msafara wa IGP Wambura. Je huyu ni nani...
  10. Just Pray

    GE2025 Sheikh aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu kanisani kwa Mwamposa. Asema 'Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?'

    Shekhe aibua sakata la kesi ya Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa jengo jipya la kanisa la Mwamposa. "Mtu anasema tukinukishe, haya kukishanuka hapa wewe unaenda wapi?" anaeleza Shekhe Mohammed Mawinda
  11. britanicca

    Update : Lissu siyo Mgonjwa, Taarifa ya muda huu jion hii

    Tundu Lissu yuko Imara na SALAMA na anawakumbusha akitoka ni mchaka mchaka Nimewasiliana na mtu wa karibu sana wa kwake aloenda kupata taarifa baada ya Uzushi Anasisitiza yeye si mtu wa nusu mkate wala kuhongwa yeye ni mtu wa kusimamia anachoamini kitaleta manufaa kwa nchi Britanicca
  12. Waufukweni

    Serikali yakanusha tuhuma za mpango wa kumwekea Sumu Tundu Lissu

    Serikali ya Tanzania inakanusha tuhuma zilizochapishwa kwenye mitandao ya kijamii zikiihusisha Serikali na kinachodaiwa kuwa ni kuwepo mpango wa kumwekea sumu mshtakiwa Tundu Antipas Lissu. Serikali inawaomba wananchi kupuuza taarifa hizo kwa kuwa hazina ukweli wowote. Tundu Antipas Lissu...
  13. Prof_Adventure_guide

    Je, Mpango wa Kumuua Tundu Lissu kwa Sumu Ukiwa Kizuizini Ni Dalili ya Taifa Lenye Hofu ya Ukweli na Kukwama Kisaikolojia Kabla ya Uchaguzi Mkuu 2025?

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya CHADEMA, kuna taarifa za kijasusi zinazoibua hofu kuhusu mpango wa kumuwekea sumu Tundu Lissu akiwa kizuizini. Swali kuu ni: tunapoingia uchaguzi mkuu wa 2025, je, hii ndiyo lugha ya kisiasa tunayoruhusu kama taifa? Kama msomi wa saikolojia ya siasa, jaribio la...
  14. figganigga

    GE2025 CHADEMA: Tumepata taarifa ya Tundu Lissu kutaka kupewa sumu

    TAARIFA KWA UMMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapenda kuujulisha umma kuwa kimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa zinazodai kuwa Mhe. Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kuna mipango ya kuwekewa sumu akiwa kizuizini. Taarifa hizi zimetolewa usiku huu wa leo, tarehe 02...
  15. J

    Shekhe Mziwanda, na Shekhe Jongo, wanakosea kumuombea mabaya Tundu Lissu, huku wakisahau jinsi Lissu alivyotetea Mashehe wa Uamsho, na Answar Sunna

    Huu ni ushahidi ufike kwa Shekhe Mziwanda, na Shekhe Jongo. Msikilizeni Tundu Lissu akitetea Mashekhe wa Uamsho, na Answar Sunna. Je, ni uungwana Mziwanda, Jongo, na Mwaipopo, kumshambulia Tundu Lissu? https://www.youtube.com/watch?v=WcWTRjKreWc https://www.youtube.com/watch?v=0WazpC_VdZE
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Haki inaleta Nuru; Lissu yupo Jela lakini ananuru. Walionje wa wamefubaa na kuchakaa. Kweli Haki humfanya mtu awe na Amani ya rohoni

    Hamjambo! Unaweza ukawa na pesa lakini umefubaa. Yaani mtu akikuona hivi huna Nuru. Unaweza ukawa na cheo kikubwa lakini ukawa mtumwa, umechoka, umefubaa. Uliwahi kumwona mtu anacheo kikubwa, mshahara mnene, ulinzi kama wote. Hapigwi na jua Muda wote Kiyoyozi. Anakula anachotaka. Lakini...
  17. upupu255

    PreGE2025 POTOSHI Tundu Lissu alisema 'No reforms, No election' sio msimamo sahihi, unaenda kuua chama

  18. 4

    Rasmi Tundu Lissu anahutubia Taifa akiwa Gerezani, CCM mmekwisha

    WanaJF Mungu akawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake na imekua. Wakuu leo Mmememuona Tundu Lissu , afanyacho katika kesi yake ya mchongo ya uhaini, kweli amejua namna ya kutumia vyema vyombo vya dola vya serikali kuweka mambo sawa . Anasema kama ushahidi upo twende mbele ,kama haupo kesi...
  19. J

    Maajabu ya Tundu Lisu: Alipopigwa risasi aliwakumbuka wote waliomhudumia hadi ndani ya ndege, na sasa mahakamani anamsaidia hadi DPP!

    Kiukweli mtu aliyechungulia kaburi kama huyu Tundu Lisu kuwa na Ujasiri wa kiwango hiki ni jambo la aina yake Fikiria alipopigwa risasi alikumbuka matukio yote hadi wale waliombeba kwenye machela na kumpandisha ndani ya ndege Leo tena yeye alikuwa kama Prof mbobevu wa Sheria pale mahakamani...
Back
Top Bottom