Kiukweli mtu aliyechungulia kaburi kama huyu Tundu Lisu kuwa na Ujasiri wa kiwango hiki ni jambo la aina yake
Fikiria alipopigwa risasi alikumbuka matukio yote hadi wale waliombeba kwenye machela na kumpandisha ndani ya ndege
Leo tena yeye alikuwa kama Prof mbobevu wa Sheria pale mahakamani...
Wadau mbalimbali huko mtandaoni wanasema akili ya Lissu ingepaswa kutumika kwenye mkataba ya kimataifa, ingetumika kwenye mambo ya ya diplomasia ingeleta tija kwa Taifa kuliko kuiweka ndani kwa sababu zozote zile.
Wamekwenda mbali na kusema kitendo cha kuiweka ndani akili kama ile ni utahira...
Kesi inayomkabili Mheshimiwa Tundu Lissu kwa mara nyingine tena mbele ya Mahakama ya Tanzania inazua hoja nzito kuhusu matumizi ya sheria kwa malengo ya kisiasa badala ya haki. Hii ni kwa sababu msingi wa mashitaka yanayomwandama unaakisi mtindo wa kurudiarudia mashitaka yenye muktadha wa...
Wakuu,
https://www.youtube.com/watch?v=6TwpERK4wFA
Shauri Na. 8606/2025 la uchochezi na kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa YouTube linalomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Lissu imeahirishwa mpaka pale mahakama kuu itakapotoa majibu hivyo shauri limeahirishwa kwa muda...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amesema "Itakua kesi ya kwanza katika historia ya dunia hii kwamba mtu mmoja pekee yake ndio anafanya uhaini"
"Ni mara ya kwanza katika historia ya nchi kuona kesi kubwa katika sheria za Tanzania kesi ya UHAINI...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu amesema baada ya madai yake Mahakamani juu ya kunyimwa Haki zake za msingi akiwa sero aliletewa Padre kwenye Sero yake na kupata hudama ya kiroho.
Soma, Pia: Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15...
Imagine, aliyekuwa MKURUGENZI wa Usimamizi wa UCHAGUZI kumbe ni kada wa CCM, all those days anasimamia uchaguzi mkuu in favor of CCM , and curently amechukua fomu to affirm.
Imagine, aliyekuwa Mkuu wa jeshi la polisi ambae tunaamini anapaswa kuwa independent entity anakula teuzi kuwa mkuu wa...
Maalim Seif alipewa kipaji cha kukubalika na kuaminika Unguja na Pemba kuliko mwanasiasa mwengine yoyote kutokea katika miaka hii 60 - 70 iliopita.
Tundu Lissu amepewa kipaji cha kuwa binaadam mwenye akili sana Tanzania, asiweza kukata tamaa na
Licha ya madhila makubwa aliokumbana nayo ni mtu...
Juzi nimefika Zanzibar nimeshangaa maendeleo ya kasi uwanja wa Ndege wa kisasa na nasikia terminal 2 na terminal 3 zaja.
Hali kadhalika juzijuzi kumefanyika mkutano wa wawezekaji katika sekta ya Utalii na siku zijazo ndege za kutoka Ulaya na kwingine zitakuwa zikitua Zanzibar zikileta watalii...
Ukiangalia kwenye jicho la tatu bunge kuvunjwa August 3 mwaka huu
Misimamo yako isiyoyumba Sasa imeanza kuzaa matunda
Mwanzo tuliwaambia wakashupaza shingo
Sasa naona no reform no Election imewaingia na wametupa taulo.
Ni matunda ya Tundu Lissu kusimama kidete, kukubali kuteseka kwa sababu...
Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kesi yake dhidi ya Jamhuri.
Lissu amefungua kesi hiyo namba 14496/2025 akiomba marejeo ya mahakama kuhusu uamuzi uliotolewa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi yake ya uchochezi ambayo...
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.
Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu...
Taarifa ya Chademo iliyosambazwa kote Duniani hii hapa
Swali: Ujanja ujanja kwenye Ushahidi wa kunyonga mtu unatoka wapi tena, Wekeni mashahidi wenu hadharani Dunia iwaone, Mbona yule Askari wa Doria mitandaoni mlimuanika?
Kuna wakati baadhi ya Watanzania hasa wenye mrengo wa Upinzani walishindwa kumwelewa Rais Samia hasa aliposema yeye ni mtu safi na ni mtu anayemtegemea Mungu hivyo hawezi kufanya jambo lolote baya kwa mpinzani wake yeyote kwa namna yeyote.
Mtakumbuka mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA...
Ujumbe kutoka Tundu Lissu
"Baada ya kuzungumza Mahakamani juu ya ukiukwaji wa haki zangu kama mfungwa gerezani;
Sasa naweza kuonana na mawakili wangu na kuzungumza faragha,
Sasa naruhusiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa mpira kama wafungwa wengine na
Sasa naweza kupata huduma ya kiroho siku...
"Askofu Gwajima, haya anayoyafanya kumtukana Mama aliyemsaidia kumuweka pale si sahihi."
"Tundu Lissu sio wakufanya hivi, Mama kamfanyia hisani, Tundu Lissu alikuwa Mkimbizi. Mama kafunga safari akaenda kumjulia hali, Mama kampigania maisha yake Bungeni akarejeshewa akamwambia rudi sio Mkimbizi...
Salaam!
Nimesikia Mzee Mstaafu akidai Reforms zote muhimu zimeshafanyika.
Sasa ikiwa Reforms zimeshafanyika,
1. Je, Tundu lissu Yuko gerezani kwa kesi ya uhaini kwa tuhuma zipi?
2. Anashtakiwa uhaini juu ya Nini? Alitamka Nini au alishinikiza Nini na kumfanya awe jella?
3. Na ikiwa kweli...
Naingia kwenye hoja moja kwa moja pasipo kuwachosha wala kuwapotezea muda. Naomba niwapitishe kwenye kisa kichungu lakini chenye nguvu kinachotokea Zambia leo, ambacho kila dikteta wa Kiafrika anapaswa kuzingatia kwa umakini mkubwa sana.
Mnamo mwaka 2017, Edgar Lungu alikuwa Rais wa Zambia...
Kimsingi Marafiki wa Tundu Lissu ni Wananchi wote wa Tanzania, kasoro Viongozi wa Tanzania na familia zao, Mashemeji zao na Chawa wao.
Kwa maana hiyo hii ni siku ya Maombi Kitaifa
Wana JF heshima mbele!
Kwa anayefuatilia kesi ya Mheshimiwa Tundu Antipas Lissu kwa umakini na kwa kutumia misingi sahihi ya taaluma ya sheria, bila ushabiki wa kisiasa, ataona wazi kuwa hii si kesi ya jinai, bali ni maigizo ya kisheria yaliyopangwa na watu wasiolitakia mema taifa hili. Sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.