Kwa wananchi na wapenda haki wote.
Polepole amekerwa na mchakato wa uteuzi wa rais na mgombea mwenza ndani ya chama chake tu.
Lkn uporaji wa uchaguzi kama ule uliofanywa 2019, 2020 na 2024 Polepole anaona sawa tu. Na wala siyo shida zake hizo.
Polepole na kundi lake hawapiganii haki ya...
https://www.youtube.com/watch?v=64HPMN4PvDU&pp=ygULdWNoYWd1emkgdHY%3D
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) inaendelea na mchakato wa maandalizi kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.
Tume imekuwa ikifanya vikao vya Wadau mbalimbali, leo Agosti 3, 2025 kikao kinafanyika...
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.
Akijibu swali la mwandishi...
Msio uelewa ndo mwelewe maana ya movement ya kutaka mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania chini ya slogan ya #NoReformsNoElection.
Maana yake ni kuondoa udanganyifu na uchafu kama huu👇👇
Na mnaweza kuelewa sasa ni kwanini mpaka leo NEC hawajawahi kuchapisha matokeo ya kura za u - Rais...
Walau jahazi lingekuwa na hitilafu ndogo lingeweza kuvutwa mpaka fuoni ili lirekebishwe.. Lakini jahazi letu limetapa hitilafu kubwa kwenye engine na kule kwenye nyufa kunazidi kutanuka na matobo yanazidi kuongezeka
Hali ni mbaya sana huko mtaa wa pili.. Kama ni ugonjwa basi umeshakula mpaka...
Nimepitia takwimu ya Sensa ya taifa iliyofanyika 2022, katika jedwali la mgawanyo wa idadi watu kiumri katika makundi ya miaka mitano mitano ( Population Distribution by Age Group).
Ukianzia na kundi la chini kabisa la miaka (15 - 19) mpaka la wale zaidi ya umri 85 .
Jumla ni watanzania...
Tunaambiwa eti "Watanzania Milioni 37.6 wamejiandikisha kupiga kura".
Sidhani kama huyu ndugu alitakiwa aoneshe data base ya watu halisi milioni 37.6 waliojiandikisha maana ni uongo
Kuna mambo matatu!
1. Kwa mujibu wa sensa ya mwaka
2022, idadi ya raia wa Tanzania ni milioni ambayo...
Inasikitisha kuona tume inayojiita huru, wamekuwa wepesi sana kutoa matamko na kuchukua hatua dhidi ya CHADEMA mfano siku si nyingi walipinga mchakato uliompitisha Tundu Lissu kama Mwenyekiti, Ila Mpaka sasa haijachukua hatua yoyote licha ya CCM kuvunja katiba katika kumpata mgombea wao, Na si...
Uchaguzi mkuu ni mchakato nyeti wa kisheria. Ndiyo maana hata huko juu kwenye ngazi za makamishina wa Tume ya uchaguzi unaongozwa na majaji waandamizi.
Mtiririko huo ungaliteremka hadi kwenye ngazi za wilaya na manispaa kwa kutumia mahakimu wakazi na mahakimu wa wilaya kama watumishi waandamizi...
Uongozi wa kijeshi nchini Burkina Faso umevunja tume ya uchaguzi, hatua ambayo imeibua mijadala mikali kuhusu mustakabali wa demokrasia nchini humo. Kwa mujibu wa tamko rasmi, serikali ya kijeshi imesema kuwa tume hiyo ilikuwa inasababisha upotevu mkubwa wa fedha bila kuleta ufanisi wa...
Sheria zetu za uchaguzi zinatamka wazi kuwa tokea mtu ametangaza nia ya kugombea, akianza kugawa zawadi kwa wapiga kura, hiyo itahesabika ni rushwa.
Sa100 tangu alipojitangaza kuwa yeye ni mgombea pekee wa nafasi ya Urais kupitia chama haramu, amegawa mitungi ya gas nchi nzima, amegawa pikipiki...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
ACT-Wazalendo, tumeshangazwa na kushtushwa na Ujumbe mfupi wa SMS, kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ambao wanatumiwa wananchi, kufika katika Ofisi za Uchaguzi za Wilaya kuchukua Vitambulisho vyao vya kupiga kura (Vote I'd), kuanzia tarehe 17/07/2025, katika Siku na...
act
haki
haki ya kupiga kura
kupiga
kupiga kura
kura
maalum
mpango
tumetumeyauchaguzitumeyauchaguzi zanzibar
uchaguziuchaguzi zanzibar
wananchi
wengi
zanzibar
Power corrupts, and absolute power corrupts absolutely.
Madaraka yakianza kulevya.
Sababu alizotoa hazina mashiko.
Bado moyo wangu ni mzito kumkubali Ibrahim Traore kama ambavyo mitandao mingi inavyomshabikia kwa "mafanikio hewa.
Cc Nyani Ngabu
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu amesema hakuna maana ya kupoteza muda kwenye mjadala wa kutegemea CCM iandae mazingira ya haki yatakayowawezesha wapinzani kushika dola, kwa kuwa haijawahi kuwa hulka ya chama hicho tawala kufanya hivyo.
Akihutubia mamia ya...
Huo ni ushauri wangu kwa tume ya uchaguzi, takwimu nyingi mnazo toa huwa hazina ukweli wowote ndio maana hamjui wananchi wanajitokeza kwa uhalisia kwa asilimia ngapi na asilimia ngapi hawapiki kura kabisa , ili mjue ni kwa namna gani wananchi wana mwitikio wa kupiga kura nchini kiuhalisia...
Ni lazima tuweke standard kama taifa, haiwezekani wewe uwe mjumbe au mtumishi wa tume ya uchaguzi kwa ngazi yoyote ile halafu kesho na keshokutwa uende kwenye uchaguzi kugombea. Hiyo hapana. Tukatae. Iwekwe wazi kabisa, ukiamua kutumikia tume ya uchaguzi moja kwa moja ukose sifa zingine zote za...
GT
Katika mitandoa kunaonekana mafuriko ya watanzania Ngosha na bakima huko Simiyu. Tafasiri ya haraka haraka ni kwamba S100 na CCM Wanakubalika 100%.
Kwa Sisi wadaidisi tunaamini huu mkusanyiko ni wa kupangwa na umetumia pesa na nguvu nyingi sana kuihadaa dunia juu ya uungwaji mkono wa sa100...
Nauliza tu huyu mtu ni Mzanzibar? kama ndiyo, vipi kuhusu mahusiano yake na hukumu aliyotoa ambayo iligubikwa na utata?
Huyu Jaji aliwahi kuwa kamishina wa tume ya uchaguzi Zanzibar kabla hajawa Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.
Hata kama ni suala la kurafsiriwa kama ubaguzi potelea mbali...
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonaz ameipongeza Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa kukamilisha zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na kuendelea vyema na maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Dkt. Yonazi ametoa pongezi hizo leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.