tukutane

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Kama Wanasimba tunajiamini tuna timu imara, kwa nini tunaombea tukutane na Al Ahly Tripoli, siyo TP Mazembe au Orlando Pirates?

    Si tunajiamini kuwa Simba ni Timu Bora kabisa na tumepita CAFCC jana Aprili 4, 2022 kwa uwezo wetu na tuna jeuri ya kucheza na timu yoyote Afrika, sasa kwa nini karibia 99% ya Wanasimba wanaombea wakutane na Al Ahly Tripoli ya nchini Libya na kamwe siyo TP Mazembe ya Congo DR au Orlando Pirates...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

    Bujibuji Simba Nyanaume a.k a Deebo... mapafu ya Faru mbavu 109
  3. Equation x

    Warembo machachari, mpo wapi? Popote pale mlipo, tukutane kiwanjani

    Mida ya kusogelea viwanja unakaribia kufika. Mwanaume bila kuwa na ubavu wake wa kushoto, mapumziko huwa hayaendi vizuri. Mida ya jioni, ndio huwa mida mizuri ya mitoko kwa wanawake pamoja na wanaume; baada ya kutimiza majukumu yao ya wiki nzima; sasa ni muda wa kujifariji baada ya kuutumikisha...
  4. FAJES

    Tuliokulia vijijini tukafanikiwa kusoma soma kisha babu au bibi zetu wakatuasa tusipendelee kurudi vijijini tukutane hapa

    Kama unavyojua buana, ukizaliwa kijijini enzi hizo, ni shida sana kufaulu kwenda Sekondari miaka hiyo ya 2000 mwanzoni mwanzoni maana enzi hizo shule za kata zilikuwa bado hazijaanza. Sasa ukifanikiwa kufaulu lazima kijiji kizima kijue. Mungu ni mwema buana, akatujalia na akina sisi wa...
  5. Binadamu Mtakatifu

    Wenye uraibu "addiction" ya Soda, unawezaje au uliwezaje kukabiliana na hali hii?

    Duuh yani baadhi ya vitu ni ngumu kuamini kuwa kuviacha ni janga la koo na ulimi soda ni moja ya vinywaji pendwa kwa watu ila baadhi ya watu wanashindwa kujitambua kuwa imeadhiri mfumo wao wa akili Binafsi naona hii kwangu ikitokea nimekua Addicted na kitu cha COCACOLA yani ukinipa hii soda...
  6. B

    Kesi ya Mbowe: Kesho kama ada tukutane Mahakamani

    Kwenu makamanda watukuka mnaoyaweka matumaini yetu ya kesho bora kuendelea kuwa hai. Kwa mara nyingine, pamoja na kutotegemea dodo kwenye mnazi, wale tutakaoweza tukutane mahakamani "Law School of Tanzania," kesho. Ikumbukwe mheshimiwa Jaji Tiganga ikimpendeza, analo angalizo letu la wazi...
  7. Malume

    Tulioshindwa kwenda Moshi sababu ya nauli tukutane hapa

    Binafsi nilitamani kwenda sema kila nikipiga jicho naona madogo wanne wanadai ada january, ikabidi tu niwe mpole maana ukienda Moshi lazima ule ada ubakiwe na nauli tu Wale wenzangu na mimi hebu tupeane moyo hapa Uzi tayari
  8. T

    TUKUTANE 2025

    Nafurahishwa na mitizamo na pani zilizonazo kambi mbili tofauti zinazotunishiana vifua kuhusiana na kuukubali au kutokuukubali uongozi wa Mwendazake John Joseph Pombe Magufuli. Nafurahi kwamba kuna ustahimilifu mkubwa baina ya kambi hizi mbili bila kusababishiana madhara japo yapo kidogo. Kwa...
  9. Binadamu Mtakatifu

    Tunao penda simu za windows tukutane.

    mimi binafsi nazipenda na niinayo ila ndo ivyoo hazina ishu kwasasa nimenunua android tu ila daaah microsoft watufikirie tu
  10. Lager

    Kwa tuliopigwa na vitu vizito kichwani kisa mapenzi tukutane hapa

    Mapenzi huzuzua akili sana haswa pale yule umpendae kwa dhati anapokwenda kinyume na makubaliano yenu ama kutenda ndivyo sivyo!, karibuni tu share mambo hayo. Binafsi nilikua na mpenzi wangu wakike ambae tulikuwa jirani,awali alianza yeye kuniapproach nami nikazama penzini tukapeana vyakupeana...
  11. Nazjaz

    Tuliowahi kupigwa kabari, roba ya mbao tukutane hapa

    Mwaka 1998 nilipigwa roba ya mbao mchana kweupe. Ilikuwa ni Mwananyamala, nina backpack 🎒 naenda kwa Taki Mdeng'o shosti wangu kumringishia visa yangu ya USA 🇺🇸. Safari na ndoto za kuingia nchi pendwa zikaniisha. Taking yuko Uingereza. Hadi leo
  12. Superbug

    Wana jamiiforum ambao hatujawahi kufika Dar es salaam toka tuzaliwe tukutane hapa

    Kwa sisi wana JamiiForums wa vijijini ambao toka tuzaliwe hatujawahi kukanyaga Hilo jiji hebu tukutane hapa na kufarijiana maana wanadarisalama wanatudharau Sana. Jambo moja kubwa ambalo naamini kwa asilimia Mia moja ni kwamba sisi wanaume wa vijijini tunawazidi nguvu wanaume wa Dar.
  13. Baraka sheni

    Vijana walio Dar wilaya ya Temeke tukutane

    Habarini wapendwa nina wazo kwa wale vijana wenye nia ya kuthubutu na wenye mawazo au biashara au wamejiajiri tukutane na tuunde kikundi. Lengo la kikundi kwenda kupata Mkopo wa Halmashauri. Yawezekana kila mtu akawa na biashara yake au ya pamoja ila kama kila mwanakikundi atakuwa na biashara...
  14. uran

    Tuliopata Chanjo ya UVIKO-19 Tukutane hapa. Nini kilikutokea ulivyoipata?

    Salam, Mimi nilipata chanjo ya Jenssen! Good thing sikukutana na changamoto yoyote ile zaidi ya maumivu ya kale kasindano. Na uchovu kidogo kwa saa chache sana. Hii kinga ni nzuri. Vipi ndugu zangu mliopata Chanjo ya UVIKO 19. Wewe ulikutana na changamoto gani? Karibu uhamasishe na wengine...
  15. mkenya wa kova

    Kwa tuliowahi kuibiwa na ma dada poa au malaya tukutane hapa

    NDUGU ZANGU... Mnamo mwezi wa sita mwaka huu nikiwa nchini kenya.baada ya kuzunguka katika kaunti zake kazaa kikazi nikitokea dar es salaam tanzania (si mara yangu ya kwanza kwenda kenya) nimejikuta niko kaunti ya kisumu.nimekaa katika kaunti tangu tareh 20 mwezi wa saba,nimeondoka juzi tareh...
  16. ommytk

    Kwa tuliopata ziro(0) form four hebu tukutane hapa

    Ebu tukutane hapa wale tulipata ziro na tumetoboa kimaisha angalau Maisha yetu yanaenda vizuri ebu tuje tuje
  17. B

    Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa

    Baada ya kuchukua muda kufuatilia maoni na mitizamo ya wajumbe mbalimbali kiroho safi, nimejiridhisha pasi na shaka yoyote kuwa: "Pana wajumbe wenye kujawa na hasira kali isiyokuwa na maelekezo kuhusiana na Mh. Mbowe, Chadema, Chanjo za Corona na tahadhari zake." Wajumbe hao wakisikia moja...
  18. O

    Tusiotaka Katiba Mpya tukutane hapa

    Binafsi nimekuwa nikifuatilia mijadala ya vuguvugu la madai ya Katiba Mpya sambamba na kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na pande mbili zinazosigana kuhusiana na swala hili la Katiba Mpya. Hebu kwanza kabla hatujaingia kwa undani kuhusu hoja ya sisi tusiotaka na wanaotaka katiba mpya tujiulize...
Back
Top Bottom