tukutane

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Wana CCM ambao kazi yetu ni kuipigania CCM mitaani na mitandaoni lakini hatuteuliwi tukutane hapa

    Kucha kutwa sisi kazi yetu ni kupambana na wananchi wanaoibeza CCM huko mitaani na mitandaoni. Lakini miaka inaenda, mvi zinaota kichwani, nyuso zinajikunja kwa kupigwa na maisha magumu na hatuteuliwi kugombea au kupewa nyadhifa. Ukifika wakati wa uchaguzi mkuu utasikia CCM ina wenyewe. Hapo...
  2. Valencia_UPV

    CHADEMA lialia tukutane hapa

    Mimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu. Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha miaka ya viongozi kukaa madarakani) mfano Mwenyekiti wetu yupo madarakani muda mrefu Ila ndo hatuna cha...
  3. S

    Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

    Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule. Naombeni...
  4. MamaSamia2025

    Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

    Ilikuwa mwaka 2011 mwezi wa 7 mara yangu ya kwanza kuchukua mkopo benki, Tsh 3m. Ule mkopo niliufanyia biashara vizuri na nikarejesha bila changamoto kubwa ndani ya miezi 6. Wale maafisa mikopo wakafurahia na kunishauri nichukue mwingine wa Tsh 5m. Nikafikiria na baada ya mwezi nikachukua mkopo...
  5. Faana

    Wapenzi wa Madilu System tukutane hapa

    Nakumbuka huyu Mwamba alimgusa mpaka Rais wao akatangaza siku kadhaa za maombolezo na mapumziko wakati wa kifo chake> Madilu System collapsed on Friday, 10 August 2007. He was taken to the University Hospital in Kinshasa, where he died the next morning, Saturday 11 August 2007. His last album,
  6. Mia saba

    Ulishawahi juta Mara baada ya Kutoa msaada?Tukutane hapa

    Roho za huruma huangusha wengi, japo kwa imani tunaamini tenda wema malipo yaja. Nimewahi msaidia mtu, nikabaki kupigwa majungu na niliye msaidia. Hiko hivi ni jamaa tunayejuana naye, siku alipohitajika na wakubwa kazini sikuwa karibu yake kwa kuonyesha kujali ikabidi niwaulize watu kadhaa kea...
  7. Bujibuji Simba Nyamaume

    🇧🇷Mashabiki wa Brazil World Cup 2022 Qatar tukutane hapa🇧🇷

    Position No. Player Club Age Caps GK 1 Alisson Liverpool (ENG) 30 56 GK 23 Ederson Manchester City (ENG) 29 18 GK 12 Weverton Palmeiras (BRA) 34 11 DEF 4 Marquinhos PSG (FRA) 28 70 DEF 14 Eder Militao Real Madrid (SPA) 24 23 DEF 3 Thiago Silva Chelsea (ENG) 38 108 DEF 2 Danilo...
  8. Area 56

    Wale tuliounganishwa na kifurushi cha DStv Business halafu wakatubadilikia tukutane hapa tujifariji

    Wiki chache zilizopita mawakala wa DStv walitushawishi tujiunge na Dstv business kwa kifurushi cha Work Essential ambacho tulikuwa tunalipa 28,000/= na kupata mechi za EPL, La Liga, Serie A, Europa League na mechi chache za Uefa Champions League. Sasa kumbe ulikuwa mtego, watu tukaunganishwa...
  9. NetMaster

    Wavuta sigara tukutane hapa: unapenda sigara ipi, unapenda kuvutia mazingira yapi na una lipi la ziada ?

    hamuwezi kuamini hata rafiki zangu wa karibu na ndugu mpaka leo hawajui kama navuta 😂😂 nikiwa maeneo ya karibu na home napenda kuvuta kwa kujificha ila nikiwa mitaa ya mbali au nje ya mkoa naweza kuvuta wazi. Binafsi nimevuta sigara za aina nyingi kuanzia embassy, club, spoti, nyota, winston...
  10. GENTAMYCINE

    Kipa wa KMC FC tukutane wapi unigawie kidogo hela uliyopewa kwa kuwapa goli jepesi la jioni?

    Na huu uzee wangu hata kesho unipange golini na uwaambie akina Nkane na Fei Toto wakae kama walivyokaa leo, huyu Fei Toto bado hatoweza kunifunga kama alivyomfunga mnafiki na mpuuzi David Kisu kipa wa KMC FC. Hivi TAKUKURU haya yote hamyaoni?
  11. ommytk

    Kwa wale tuliowahi kula michango, tukutane hapa

    Hela bwana Shetani sana hahahaah, hivi kuna mtu umewahi kukusanya mchango hata wa msiba tu halafu usichomoe hata 10,000 yaaani lazima itakuja kishawishi tu utachomoa sijui kwanini! Hivi kuna mtu ambaye hajawahi hata siku moja umechangisha hata kuchomoa kidogo?
  12. Execute

    Mashabiki wa Club Africain tukutane hapa maana tuna jambo letu

    Baada ya kuwafurusha Kipanga mabao saba, tumepewa hiki kikundi cha Wakongomani wa jangwani wanaoitwa Utopolo. Tujipange kwa ajili ya sherehe pale kwa Mkapa na hitimisho kule Tunis.
  13. Samia atosha tukutane2030

    Ambao tunafunga goli 2 bila kupumzika tukutane hapa tupeane ujanja zaidi tuweze kupiga tatu

    Uchawi wa mwanaume kwa mwanamke upo wa aina 2 tu; 1. Pesa - Hii itamvuta aje kwako. 2. Kumfikisha Mlima Kilimanjaro - Hii itamfanya uingie moyoni kwake sana sana. Sasa ili umfikishe Kilimanjaro hapa inategemea na show yako. Mwingine dakika 2, 3, 4 na wengine kwasababu za kimaumbile na kihisia...
  14. NetMaster

    Tukutane hapa ambao majina yetu ya mwanzo yamekosa umaarufu kabisa, tumebaki kuitwa majina ya ukoo ama ya utani,

    Kwangu mimi jina langu la mwanzo limekosa umaarfufu kabisa, ni jina ambalo lipo kwenye vyeti tu na vitambulisho. Jina langu la ziada ni la kijijini lakini hili halipo kwenye cheti cha kuzaliwa Shule ya msingi nimeitwa jina la ukoo Sekondari nimeitwa jina la ukoo mtaani na nyumani naitwa jina...
  15. ommytk

    TUKUTANE HAPA: Uliwahi kujikausha kwenye daladala kama umelipa nauli wakati hujalipa?

    Hili jambo gumu, sema pia ni ushujaa. Kuna siku jamaa konda anamwambia hujalipa jamaa anasema kalipa na anadai chenji. Alianzisha mtiti aisee, watu wakavu sana, ugomvi mkubwa jamaa mwisho kaondoka bila hata chenji. Wabongo aisee hatari!
  16. P

    Tumekataa kupelekwa mchakamchaka, yafuatayo lazima tukutane nayo!

    Kulipwa mishahara baada ya miezi miwili kupita! Mgao mkali wa umeme! Maisha kuwa ghali! Bidhaa kupanda kiwango cha mtu kushindwa kumdu maisha! Miradi ya Serikali kusuasua na au kusimama kabisa Hasira za viongozi kuwa juu baada ya mambo kuwa magumu, hatataka kusemwa semwa! Na kadha wa...
  17. aka2030

    Tulioishi Dodoma miaka ya 90's mpaka miaka ya 2000 tukutane hapa tujikumbushe

    Enzi hizo Dodoma washua wote wanaishi uzunguni Watoto wa kishua wanasoma stockley Kina sie tunasoma amani, na mlimwa ambazo ndio zilikuwa shule bora mjini Club ilikuwa ni NK pamoja na shilla disco mitaa ya iringa road Picnic tunajichanga tunaenda pnde za mkalama kule ma miyuji kwenye ile...
  18. aka2030

    Tulioishi Mwanza miaka ya 1990 mpaka 2000 tukutane hapa tujikumbushe

    Miaka ile Mwanza ilikuwa na raha zake Beach lazima uende tunza beach ndio ya kishua. Club zilikuwa deluxe na capricabana ndio za kishua hasa ambapo unakutana na kina dj cutter kidboy huku watoto wa kiswazi wakikutana pale magnum. Tape music za nje tulikuwa tunanunua pale boom explosion...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Je, ni adhabu gani uliyoifanya shuleni ambayo hutoisahau?

    Kwema Wakuu! Nimesoma Uzi wa member mmoja humu kuhusu adhabu za matofali wapewazo wanafunzi nikakumbuka miaka nikiwa nasoma. Shule bila adhabu inakuwa ya kiduwanzi kichizi. Yaani inakuwa ya kimama. Raha ya shule iwe na hekaheka bhana! Yaani shule Kama ipo na Kuku WA broiler. Shule gani haina...
  20. Scared

    Alinipa namba tunachat ila Kila nikimpanga tukutane analeta dharula

    Ndugu zangu Kuna mwanamke nimechukua namba yake wa mtaani kwetu tunachat fresh ila nikimualbia aje namaongezi anagoma Sasa sijajua huyu ananitaka au anitaki ila nikipishana naye njiani ananionea aibu akiwa na wenzake ni mda Sasa naombeni mnishauri niavhane. Au ataingia kwenye 18 maana Kila...
Back
Top Bottom