ikhlas
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 1,038
- 1,278
Habari wanabodi wenzangu, Katika maisha kuna kuoa na kuolewa, hivyo kuna kutoa talaka na kupewa talaka.
Katika hali zote hizo maisha yanaendelea, kuna ambao hufanikiwa zaidi au kurudi nyuma kimaisha chanzo kikiwa ni talaka. Changamoto na faida pia hujitokeza, wengine hufikia hali kujuta kwanini wametoa talaka au kupewa talaka, lakini pia kuna wengine hufikia mahali husema bora alivyoacha au kuachika.
Wengine wanashindwa kumove on wanabaki na majeraha milele, wengine hupoteza watoto, mali na kazi bada ya talaka.
Karibuni wadau tuliowahi kuingia kwenye ndoa na kukutana na talaka au kuachana na wenza wetu ambao tulidhani tutazikwa nao.
Pia wapo watoto humu ambao walishuhudia wazazi wao wakipeana talaka, je maisha yalikuaje?
Katika hali zote hizo maisha yanaendelea, kuna ambao hufanikiwa zaidi au kurudi nyuma kimaisha chanzo kikiwa ni talaka. Changamoto na faida pia hujitokeza, wengine hufikia hali kujuta kwanini wametoa talaka au kupewa talaka, lakini pia kuna wengine hufikia mahali husema bora alivyoacha au kuachika.
Wengine wanashindwa kumove on wanabaki na majeraha milele, wengine hupoteza watoto, mali na kazi bada ya talaka.
Karibuni wadau tuliowahi kuingia kwenye ndoa na kukutana na talaka au kuachana na wenza wetu ambao tulidhani tutazikwa nao.
Pia wapo watoto humu ambao walishuhudia wazazi wao wakipeana talaka, je maisha yalikuaje?