tpa

  1. M

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Deusdedit Kakokonwa TPA akamatwa nyumbani na begi lenye USD 1,625,800

    Kuna madai kuwa Takukuru wameingia nyumbani kwa Kakoko leo ghafla na kumkuta na begi lenye $1,625,800 taslimu baada ya kusimamishwa kazi jana! Haijulikani hizo alizichota lini, lakini kama ni kweli inawezekana alikuwa akizichota pole pole kwa muda mrefu kidogo na huenda sasa hivi ana...
  2. makofia360

    JamiiForums Tanzania Majina ya walioitwa kazini TPA kupitia Utumishi yalishatokaga?

    Pamoja na mtihani wa mchujo kuwa mkali sana TPA kupitia Utumishi wapo waliopenya vipi walishaitwaga kazini
  3. K

    JamiiForums Tanzania Eric Hamissi aliyekuwa DG wa TPA kaonewa baada ya kukataa kuhonga wanasiasa kama enzi za zamani

    WNAJAMVI, huyu DG tangia aingie TPA amejitahidi sana kuziba mirija ikiwemo kuhakikisha kila mtu analipa anachotakiwa. Lakini makampuni kama silent ocean na GSM wamekuwa wakilazimisha wapewe eneo wawekeze kinyume ya sheria ya PPP lakini yeye aliwaeleza wafuate utaratibu wa uwekezaji...
  4. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

    Ukusanyaji wa mapato katika Bandari ya Dar es Salaam umekuwa ni changamoto tangu taifa letu lipate uhuru, tatizo hili limesababisha kufanyika mabadiliko ya wakurugenzi wa bandari (TPA) kila inapobidi kufanya hivyo tukidhani kwamba ndio dawa ya kutibu tatizo hilo. Lakini kwa wakati mwingine...
  5. mtotomtamuu

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka sana na utoaji wa ajira za TPA

    Katika ajira zilizotangazwa juzi na TPA waliita watu wengi hadi ambao hawajasoma course maalu ya mambo ya Bandari ambayo inatolewa na chuo chao cha Bandari, na kwa bahati mbaya wakaita kwenye interview watu ambao hawakusoma mambo ya Bandari kwenda kwenye interview, na kwa bahati mbaya zaidi...
  6. Waibi fredy

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya maswali TPA

    Pepa la leo la TPA Ports operation officer: 1. Define the folowing i) feeder ship ii) Dumerrage iii) heavy lift service 2. Meanig of i) Quay transfer ii) storage operation iii) ship operation iv) delivery and receipt operation 3. Documents required in: i) general cargo clearing...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waliofanya Interview ya TPA leo DODOMA

    Habari za leo wakubwa Leo ni siku nyingine inaisha kama siku nyingine. Straight to the point. 👇 Nimewaonea huruma sana leo waliofika katika interview ya TPA. Naambiwa maswali ya leo yalikuwa ya ubaguzi kabisa. Waliosoma HR,BBA,LAW,STATISTICS, ECONOMICS etc sidhan kama waliweza kujibu ule...
  8. hamza mahundu

    JamiiForums Tanzania Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka?

    Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka au
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Security guards at TPA 5 post

    POST SECURITY GUARDS – 5 POST POST CATEGORY(S) SECURITY EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-05-02 2022-05-15 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To conduct physical security and surveillance (security gates, General cargo, Motor vehicle, container etc. ...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Bandari Salama, bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria

    Kishindo kikuu 'Bandari Salama', bandari ya TPA, itakapopokea meli kubwa ya kihistoria. Kaa tayari kujua. Kuna jamaa kaandika; "It's our Vessel called Frontier Ace is coming direct from Singapore carrying 4342 units. Accordingly to Vessel Captain tomorrow morning at 0900Lts confirmed will be...
  11. LAZIMA NISEME

    JamiiForums Tanzania TPA elezeni ukweli juu ya mapungufu yenu na mkwamo wa serikali kuboresha mitambo na ufanisi wa bandari ya dar es salaam bila kuuma maneno

    Nimeleta uzi huuu baada ya ile hotuba ya Rais Samia Alipokuwa akipokea Riport ya CAG na TAKUKURU..na Taarifa ya Tarehe 1/4/2022 iliyotolewa kwa wafanyakazi Wa TICS kuvunja rekodi kwa mwezi huu wa 3/2022 "Kwa siku Thelathini na moja zilizopita (31 ) kuanzia tarehe 1 - 31 Machi 2022, Kontena 61...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Operations Officer II - 10 post at TPA

    POST OPERATIONS OFFICER II – 10 POST POST CATEGORY(S) BANKING, ECONOMICS AND FINANCIAL SERVICES HR & ADMINISTRATION LEGAL MARKETING,MEDIA AND BRAND PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Assistant Operations Officer - 10 post at TPA

    POST ASSISTANT OPERATIONS OFFICER – 10 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION LEGAL MARKETING,MEDIA AND BRAND PROCUREMENT & LOGISTIC MANAGEMENT TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Artisan II (Mechanical) - 11 post at TPA

    POST ARTISAN II (MECHANICAL) – 11 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To undertake repair works or fabricate equipment parts scheduled by respective...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Operations Clerk C - 10 post at TPA

    POST OPERATIONS CLERK C – 10 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To perform tallying activities; ii.To ensure no cargo/goods are taken out of the ports...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head Boatman - 3 post at TPA

    POST HEAD BOATMAN – 3 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To perform cleaning of Wheelhouse, accommodation, chipping and painting on main deck ii.To assist...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Engine room assistant - 4 post at TPA

    POST ENGINE ROOM ASSISTANT – 4 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To work within the daily work schedule; ii.To maintain tug log book showing Main engines...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Cargo Foreman at TPA 3 posts

    POST CARGO FOREMAN – 3 POST POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To operate winch, cranes as per approved procedures and policies; ii.To provide quality services...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Security assistant - 5 post at TPA

    POST SECURITY ASSISTANT – 5 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION LEGAL EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA) APPLICATION TIMELINE: 2022-03-29 2022-04-11 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To assist in preparation of roster and supervises Security guards for general security...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TPA

    Chekini mkeka huo.
Back
Top Bottom