hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 114
Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka au
Hongera sanaBatch iliopita nilipigwa MILIONI kwa ahadi ya kupata nafasi TRA na sikuwahi hata kuomba so jamaa walisema nitoe M nipate kazi ila kila nikiwacheki sikuwapata maana jina langu halikuwepo
connection Kama izo Ni utaperi mtupu, walikuwa wafanyakazi wa TRABatch iliopita nilipigwa MILIONI kwa ahadi ya kupata nafasi TRA na sikuwahi hata kuomba so jamaa walisema nitoe M nipate kazi ila kila nikiwacheki sikuwapata maana jina langu halikuwepo
Uongo kwa hiyo bila Mchongo hupati kazi,na Mchongo utaupatajeHuingii huko tra na tpa bila mchongo
Ajira zipi?Hapo Hamna hizo ajira serikali inabana matumizi sasa
Acha uongo basi kama hujui kitu tuliaHuingii huko tra na tpa bila mchongo
KABISA HIYO NGOMA SIO LEO WALA KESHO.Tra tegemea mwezi wa 8 huko labda
ACHENI KUKARIRI CONNECTION YA LEO KWA AJIRA ZA SERIKALI NI KUFAULU USAHILI WA UTUMISHI HAKUNA KINGINE.Huingii huko tra na tpa bila mchongo
Mbana matumizi aliyekua anawanyima vijana ajira kwa kisingizio hicho ameshakufa na Ni huyo kwny avatar yako.Hapo Hamna hizo ajira serikali inabana matumizi sasa
TPA wameshatoa mpaka hivi sasa angalia ajira portal mkuu.Mikeka ya walioitwaa interview TRA na TPA vipi imeshatoka au
TPA MKEKA UMECHANIKATPA wameshatoa mpaka hivi sasa angalia ajira portal mkuu.
Vp mkuu hawaja kuita nini..?TPA MKEKA UMECHANIKA
Mkuu una notes unisaidieTPA wameshatoa mpaka hivi sasa angalia ajira portal mkuu.