thinking

Thought (or thinking) encompasses a flow of ideas and associations that can lead to logical conclusions. Although thinking is an activity of an existential value for humans, there is still no consensus as to how it is adequately defined or understood.
Because thought underlies many human actions and interactions, understanding its physical and metaphysical origins and its effects has been a longstanding goal of many academic disciplines including philosophy, linguistics, psychology, neuroscience, artificial intelligence, biology, sociology and cognitive science.
Thinking allows humans to make sense of, interpret, represent or model the world they experience, and to make predictions about that world. It is therefore helpful to an organism with needs, objectives, and desires as it makes plans or otherwise attempts to accomplish those goals.

View More On Wikipedia.org
  1. sanalii

    WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

    Watu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo, Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo? Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za...
  2. Pascal Mayalla

    Thinking Aloud, Suppose, ... Asinge? Je... Ingemsimamisha ... 2025?. Wanzanzibari Wazuri, Majasiri Kuliko Wabara! Watendewe Haki Ndani ya Muungano!.

    Wanabodi Umasikini mkubwa zaidi na umasikini mbaya zaidi, ni umasikini wa fikra!. Kwa maoni yangu, Watanzania ni masikini sana kwasababu ya fikra za kimasikini, we just don't think, sio kwasababu hatuwezi kufikiri, no!, ukweli ni kuwa wengi wetu, hawana uwezo to think, let alone critical...
  3. M

    Kiukweli hiki wanachoita eti ni tatizo la afya ya akili hakipo. Ni dhana tu au failure of thinking deeply

    Siku hizi Kuna dhana imeibuka karibu kila Kona eti tatizo la afya ya akili. Ki ukweli hakipo kwa sababu zofuatazo. 1. Mtua amemaliza chuo kikuu na alikuwa na malengo mengi ya maisha kama kupata kazi ya uhakika lakini miaka nenda Rudi kazi inakoseka. Sasa huyu mtu akianza kuchanganyikiwa na...
  4. PILSNER

    Over thinking au ni stress zangu tu...!!?

    Mwagona Miaka Kama kadhaa nyuma nilipitia wakatii mgumu Sana kimaisha kiasi kwamba nikaanza tabia ya kujitenga na watu wa rika yangu. Hali hiyo iliendelea kukomaa taratibu imefika kipindi najiona Mimi ni watofauti Sana na wenzangu (in positive way) Kinachonisumbua kwa Sasa hivi naona Kama...
  5. S

    Logical thinking: CCM bila kujua, inapitia mapigo kama ya Farao, na lipo moja litakalokuja kuwaangusha(Pigo la 10)

    Leo naomba niwaambie CCM kuwa kwa muda sasa, wamekuwa wakipata misukosuko inayotishia uhai wa CCM na CCM kuendelea kubaki madarakani huku wao wakiwa hawaelewi. Wasichokijua CCM nii kuwa, mitikisiko wanayoipitia, ni sawa na yale mapigo 10 alioyopitia Farao aliekuwa Mtawala wa Misri kabla ya pigo...
  6. Kijakazi

    Hii thinking ni ya Japan au Old Europe na USA lakini sio Afrika

    Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni? Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta...
  7. ChatGPT

    What would you do if you had unlimited resources?

    Imagine for a moment that you have unlimited resources at your disposal - unlimited time, unlimited money, unlimited knowledge, and unlimited abilities. What would you do with this abundance? Would you travel the world? Start a business? Pursue a passion project? Help those in need? Or would...
  8. Jorge WIP

    The power of inner-self thinking & vocalization of ideas.

    Intro Today will mark as the first of many days that I’ll be sharing the lessons I learnt throughout the week in pursuit of personal development and self-growth. If you’re reading this, it means you’re the right person. Today we’re going to start with something simple called...Vocalization...
  9. L

    Thinking out loud

    Life is such a Rolle coaster all my life I have strived to succeed but each time am in the blink of success I always end up back in the beginning of it all. It has been such a stressful n tiring experience to start and not reach the end. I would really like to know how do people succeed...
  10. GENTAMYCINE

    Nahitaji 'Critical Thinking' katika Kulijadili Tukio Baya la Jana Kawe Maringo

    Kutokana na Unyeti wa hilo Eneo na maeneo mengi ya Kawe ambayo kwa 75% yanazungukwa na hata kukaliwa na Majeshi yetu JKT na JWTZ naomba GENTAMYCINE niwe muwazi kuwa siamini na nakataa kuwa Wahusika ni hawa Panya Road tunaowaimba kila Uchao. Inakuwaje Eneo lililotokea Tukio Baya jana liwe na...
  11. R

    Baada ya kuona kinachoendelea uchaguzi Kenya, thinking ya UCHAWA CCM nilitegemea ibadilike, kuondoa mawazo ya utwana na utumwa wa kumuona Rais Mungu

    Tuna mengi sana ya kujifunza Kenya na uchaguzi wao. 1. Uwazi 2. Uhuru wa media zao 3. Incumbent president Uhuru hana kauli yoyote kuhusu uchaguzi 4. Katiba yao inaruhusu haya yanayotokea 5. etc etc etc Summary nzuri ameifanya Askofu Bagonza kama ilivyo hapa chini! UCHAGUZI MKUU KENYA...
  12. R

    How to go about enjoying JF with "mates"/members with comparable level of thinking

    Unaweka thread/post, "vitoto" vinavamia na matusi juu. Kupunguza matatizo hayo, weka thread, BLOCK any one with abusive language. Unabaki na watu wachache ambao mnaweza mka discuss issues on the same level of thinking! Hili ni tatizo sugu sana hapa JF, badala ya mtu kujibu hoja anaanza...
  13. GENTAMYCINE

    Tanzania yenye Wabunge wenye Poor Thinking kama hii na walio 'very Sycophant' ndiyo mnategemea ipige Hatua Kubwa za Kimaendeleo?

    "Leo wananchi wanahamishwa, unapelekwa eneo unajengewa nyumba, unakuta hospitali, shule, unapewa hati ya nyumba, mimi naomba leo nitangaze rasmi naitwa Ole Kishoa ili nipelekwe kule na mimi nikapewe nyumba ya bure kabisa" - Jesca Kishoa, Mbunge Viti Maalum. Chanzo: EastAfricaTV Huwa napenda...
  14. gango2

    Billboard ya umpendaye! Je ni mapenzi ya dhati? (critical thinking)

    Happy Valentine nyote! Nimeona siku isiishe kabla sijaweka hii hapa jukwaani (Sijui kama kuna mtu ameshaweka hili), but nimetamani kupata view za great thinkers maana Actually, valentine ya leo imekuja na suprise kwa watu wengi, baada ya mwanadada mmoja pia mwana kaka mmoja kuprint bango...
  15. M

    SoC01 Thinking, social evolution, and our curriculum

    Twenty years ago, I started a journey—a journey of searching for truth. I had to. I’d graduated from the university a couple of years earlier and had a “good” job, but I was by no means contented. I was rather shocked to find that my education was laughable and my prospects dire. Then...
Back
Top Bottom