sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,099
Watu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo,
Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?
Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.
Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia “first replies”
Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.
This is sick culture. Engage your senses.
Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?
Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.
Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia “first replies”
Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.
This is sick culture. Engage your senses.