In today's fast-paced world of mobile phones, companies aim to seamlessly integrate new technology with sleek design. Advanced features such as powerful memory storage, a Dynamic port, and a slim profile showcase how technology is shaping the future. This is an excellent choice for both powerful...
Position: System Analyst–Information Technology
Job Ref. No: HRJLICT1023
report to the:
Administratively: Chief Operating Officer
Technically: Senior Manager – Long-term Applications
Role Purpose
The analyst is responsible for identifying and implementing application solutions to solve...
Habari!
Napenda kuleta kero yangu ili mnisaidie kufikisha kwa wahusika wa Chuo cha DIT. Kuna kero kubwa hususani kwa wanafunzi waliopata mkopo kupitia Bodi ya mkoppo ya elimu ya juu (HESLB) pale wanapokuwa wanaanza mwaka wa masomo huitajika kulipa ada kwanza kabla ya kufanyika usajili...
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Huu ni msemo wetu waswahili ukiwa na maana ya kwamba hakuna kitu kikubwa kisichokuwa na mwisho wake.
Dunia yetu hii imekuwa na wababe wengi sana, waliweza kuleta mabadiliko makubwa sana hapa duniani. Walikuwepo akina Gilgamesh watawala ambao waliweza kujiita kuwa...
Position: Technology Governance Specialist
Main Responsibilities:
lop, review, and update technology-related policies, procedures, and guidelines to reflect best practices and regulatory changes.
Coordinate and participate in internal and external technology audits and assessments.
Review...
Zanaki Headmistress, Delvine Koka (the hijabed madam in the middle) being surrounded by Pilly Ngarambe, the Representative of Dar Muncipal Education Officer (on her immediate left) and Shakil Dharamsi, the CEO of PCTL (on her immediate right), receiving ICT gadgets in the computer laboratory at...
Usalama ni jambo la msingi katika maisha yetu ya kila siku. Tunapojali usalama wetu na mali zetu, tunaweza kuishi bila wasiwasi na kujenga mazingira bora kwa familia zetu na biashara zetu. Hapo ndipo iSecure Technology inapokuja kama mshirika wako wa kuaminika katika kujenga mazingira salama...
Naomba ushauri: Nimechaguliwa Chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountancy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajira?
Position: Head; Technology Risk (1 Position(s))
Job Location : Head Office, Hq
Main Responsibilities
Risk Assessment & Management
Develop short-term, medium term and long-term technology risk strategies for the bank. Oversee further, implementation of a technology risk management framework...
Salaam wana tech.
Kama heading inavyosomeka hapo juu, huu uzi utajikita kwenye 3D printing, designing & etc.
Lengo la kuanzisha huu uzi ni kutokana na umuhimu wa ukuaji wa teknolojia ya 3D printing na wingi wa faida zake na kwenye hii forum ya JF hamna popote imezungumziwa kwa undani, zaidi...
(1) Biashara ya kuunza Magazeti
Hii ni biashara ambayo imewatoa watu wengi sana kama akina ERICK SHIGONGO mf. gazeti lake la ijumaa,Sun etc. But now days watu weng wanapata habari kupitia kwenye simu, TV etc. Mfano akina MIllard Ayo etc.
(2) Biashara ya kuunza mafuta ya taa
Hii ni biashara...
Msaidizi wa kazi za IT Anahitajika.
Vigezo
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri kiingereza
Awe na simu ya smart phone
Awe na uelewa kiasi jinsi ya kutumia computer
Awe anajua kutype kwenye computer
Ofisi ipo Makumbusho Dar es salaam
Kwa alikwepo tayari atume message inbox ikiwa na maelezo...
Post Title: Information Technology Officer
Interesting Career Opportunities at WFT-Trust
WFT-Trust is the first and only women’s rights fund in Tanzania that has been in existence since 2008 and has been at the forefront championing gender equality, equity and women and girls’ rights through a...
Tunapenda sana ushabiki ila bila kufahamu tunachokishabikia kina faida zipi na hasara zipi. Tuko na Watanzania ndezi wengi sana kila kitu kinaonekana ni bora. Any way...
Tunalia na ajira kwa kiwango kikubwa kwasasa na bado robot sio nyingi nchini Tanzania je¡ zikishika atamu hali itakuwaje na...
Vodacom na Tigo mitandao yote hii inajisifu kwa kuongoza kuwa na kasi kubwa ya internet 5G. Kwa baadhi ya maeneo nchini na baadhi ya watu wamekwisha jaribu kuona Je! Yaliyomo yamo?
Tupe ripoti yako tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.