China vs USA: Infrastructure, Technology and Development

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,707
59,863
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Huu ni msemo wetu waswahili ukiwa na maana ya kwamba hakuna kitu kikubwa kisichokuwa na mwisho wake.
1696076543804.png


Dunia yetu hii imekuwa na wababe wengi sana, waliweza kuleta mabadiliko makubwa sana hapa duniani. Walikuwepo akina Gilgamesh watawala ambao waliweza kujiita kuwa wao ni Mungu. Lakini walipita na kubakia kuwa Historia tu.

Staki niongelee historia sana. Lengo la uzi huu ni kutaka kupambanisha China na USA katika nyanja ambazo zinagusa wananchi moja kwa moja. Nyaja hizo ni:-
1. Miundombinu
2. Teknolojia
3. Maaendeleo ya Vitu na watu

UHALISIA WA USA
Hakuna mtu yeyote atakayebisha kuhusu Marekani kupata nguvu kubwa baada ya kuanguka kwa Ulaya. Kuanguka kwa ulaya kulitokana na Kupiganwa kwa vita mara kwa mara. Kuanzia kwenye vita vya kwanza vya dunia mpaka kwenye vita vya pili. Marekani ilipata nguvu kubwa sana.

Lakini mambo yanazidi kubadilika.
Baada ya marekani kushiriki katika vita mbalimbali uchumi wake unazidi kuyumba. Vita ya Afghanistan ilitikisa sana uchumi wa Marekani. Marekani kwa sasa Demokrasia imebadilika na kuwa vioja. Wanasiasa hawasikilizani kila mmoja anatafuta Kick tu. Hakuna anayetafuta maendeleo ya nchi kama hapo nyuma. Kila mwanasiasa anatafuta manufaa yake na familia yake tu.

KUIBUKA KWA CHINA
Kwa upande wa china Taifa hili limekuwa na historia kubwa sana. Hususani kwenye upande wa Biashara. Lakini miaka ya 1800s na 1900s china ilipotea. Lakini mwishoni mwa miaka ya 1980s China ilianza kujitafuta. Ndio maana leo sasa tunaanza kuilinganisha China na Marekani.

SIZE
USA: 9,833,517 sq km
China: 9,596,960 sq km
 
TRADE BALANDE

U.S. goods and services trade with China totaled an estimated $758.4 billion in 2022. Exports were $195.5 billion; imports were $562.9 billion. The U.S. goods and services trade deficit with China was $367.4 billion in 2022.

Maana yake USA ananunuza zaidi kutoka china

1696076024276.png
 
Container Port by Country.

In 2019, the Port of Shanghai handled more than 43 million TEUs of containers, making it the busiest port in the world. The Port of Shanghai is a crucial entry point for China’s trade and commerce with the rest of the world. It is situated in the Yangtze River Delta, the center of China’s economic superpower.

1696076289045.png
 

10 Largest Satellite Dishes on Earth (2023 Latest Ranking)​

  1. Huge FAST Telescope, China
  2. Arecibo Observatory, Puerto Rico
  3. Green Bank Telescope, USA
  4. Effelsberg 100-m Radio Telescope, Germany
  5. Lovell Telescope, UK
  6. Yevpatoria RT-70 Radio Telescope, Ukraine
  7. Goldstone Deep Space Communications Complex, USA
  8. Parkes Observatory, Australia
  9. Large Millimeter Telescope, Mexico
  10. Algonquin Radio Observatory, Canada

China: Diameter: 1,640feet (500 meters)

1696077511847.png


USA: Diameter: 328 feet (100 meters)

1696077461880.png
 
Fastest Train in the World

Shanghai Maglev - 460 kph/286 mph (China)
The world's fastest public train is also unique – it's the only link in the world currently carrying passengers using magnetic levitation (Maglev) rather than conventional steel wheels on steel rails.
1696078181820.png

Fastest Train in USA
The nation's fastest train is Amtrak's Acela, which tops 150 mph. New Acela trains are expected to reach 160 mph when they debut next year — still below the 186 mph considered high-speed in systems across the world.

1696078325944.png
 
Back
Top Bottom