Hii course ipo UDOM-CIVE bila shaka. Hawa ni graphics designer. Kwa CIVE jiandae kusoma programming, kwa mwaka wa kwanza wanasoma language ya C++. Jiandae kukutana na Mr.Mahenge kwenye C++, ni mwalimu mzuri ukiachana na usumbufu wake.Nauliza juu hii kozi ikoje na mwenye kujua juu ya hii ananihabarishe
Thank you mr nimechaguliwa hii lakini nimevutiwa sana na BACHELOR YA MULTIMEDIA TECHNOLOGY unanishauri nini ndugu yanguHii course ipo UDOM-CIVE bila shaka.Hawa ni graphics designer.Kwa CIVE jiandae kusoma programming,kwa mwaka wa kwanza wanasoma language ya C++.Jiandae kukutana na Mr.Mahenge kwenye C++,ni mwalimu mzuri ukiachana na usumbufu wake.
CIVE ni pazuri,mazingira ni conducive provided with free Internet kwa ajiri ya kujisomea.Ukienda pale kasome hasa,vinginevyo utaula wa chuya...
Kila lakheli.
Kijana hiyo kozi na multimedia ni mapacha tena wale identical ko kakomae na hiyohiyo.Thank you mr nimechaguliwa hii lakini nimevutiwa sana na BACHELOR YA MULTIMEDIA TECHNOLOGY unanishauri nini ndugu yangu
Mahenge 😂😂😂😂 mr ifupa.Hii course ipo UDOM-CIVE bila shaka.Hawa ni graphics designer.Kwa CIVE jiandae kusoma programming,kwa mwaka wa kwanza wanasoma language ya C++.Jiandae kukutana na Mr.Mahenge kwenye C++,ni mwalimu mzuri ukiachana na usumbufu wake.
CIVE ni pazuri,mazingira ni conducive provided with free Internet kwa ajiri ya kujisomea.Ukienda pale kasome hasa,vinginevyo utaula wa chuya...
Kila lakheli....!
Hapo bado hajakutana na prof. Maria 😂😂😂😂Hiki kichwa ni shida na nusu...!![]()
Bila kusahau team ya database ikiongozwa na Mr.barongo na wenzake wakina madame Muro(mama wa quiz)Hapo bado hajakutana na prof. Maria![]()
Aloooooo.Bila kusahau team ya database ikiongozwa na Mr.barongo na wenzake wakina madame Muro(mama wa quiz)![]()
Nashukuru nduguSema IDIT haina security,hapo ungekutana na Mgimba mzee wa security na ubishoo wake yule jamaa...!All in all kama utachagua CIVE kasome mdogo wangu pale ni uzuri wa majengo tu lakini msuri wake siyo wa kitoto...!Hakuna course nyepesi pale...!
AhsnteHiki kichwa ni shida na nusu...!![]()
AhsanteAloooooo.
Akakomae
Ahsante nduguKijana hiyo kozi na multimedia ni mapacha tena wale identical ko kakomae na hiyohiyo.
Nyongeza kwa Arch.katunzi utakutana na kila unachokitaka kama utakuwa serious katika kilichokupeleka.
Mengine utayakuta huko karibu dodom