tax

A tax is a compulsory financial charge or some other type of levy imposed on a taxpayer (an individual or legal entity) by a governmental organization in order to fund government spending and various public expenditures. A failure to pay, along with evasion of or resistance to taxation, is punishable by law. Taxes consist of direct or indirect taxes and may be paid in money or as its labour equivalent. The first known taxation took place in Ancient Egypt around 3000–2800 BC.
Most countries have a tax system in place to pay for public, common, or agreed national needs and government functions. Some levy a flat percentage rate of taxation on personal annual income, but most scale taxes based on annual income amounts. Most countries charge a tax on an individual's income as well as on corporate income. Countries or subunits often also impose wealth taxes, inheritance taxes, estate taxes, gift taxes, property taxes, sales taxes, use taxes, payroll taxes and/or tariffs.
In economic terms, taxation transfers wealth from households or businesses to the government. This has effects that can both increase and reduce economic growth and economic welfare. Consequently, taxation is a highly debated topic.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Inadequate time consciousness in determining TAX DISPUTES in Tanzania

    “A CALL FOR REFORM” 1.0 Introduction Time is of the essence, especially in the realm of tax disputes where financial stability and regulatory compliance hang in the balance. In Tanzania, the issue of inadequate time consciousness in determining tax disputes has become a cause for concern...
  2. Stephano Mgendanyi

    Balozi wa India Nchini Tanzania amuaga rasmi Waziri wa Ulinzi na JKT, Dkt. Stergomena Tax

    Balozi wa India Nchini Tanzania Amuaga Rasmi Waziri wa Ulinzi na JKT, Mhe. Dkt. Stergomena Tax Tarehe 03 Januari, 2024 Balozi wa India nchini Tanzania, Mheshimiwa Binaya Srikanta pradhan amemtembelea Waziri wa Ulinzi na JKT, Mheshimiwa Dkt.Stergomena Lawrence Tax (Mb), ofisi kwake Upanga...
  3. Smith Rowe

    Kupata Tin number na tax clearance kwa kampuni

    Naomba kuuliza Wiki iliyopita huku nyanda za kaskazini nilienda TRA kwa ajili ya kupata TIN number na tax clearance ya kampuni, baada ya kulipa rental tax na stamp duty nikaambiwa nitafute muhasibu aniandalie provisonal return statement ndo nitapata tin number pamoja na tax clearance. Au nimpe...
  4. daydreamerTZ

    Kodi ya mapato ya makampuni | corporate income tax (statement of estimated tax payable na final return of income)

    Statement of Estimated Tax Payable na Final Return of Income ni nyaraka mbili tofauti zinazohusiana na kodi ya mapato nchini Tanzania. Hapa kuna tofauti kuu kati ya hizo mbili: Statement of Estimated Tax Payable (Taarifa ya Kodi Inayotarajiwa Kulipwa): Hii ni taarifa inayojazwa na mlipa kodi...
  5. Roving Journalist

    Waziri Dkt. Tax awapa Wakuu wa Mikoa mbinu za kutekeleza Diplomasia ya Uchumi

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amewapa Wakuu wa Mikoa mbinu mbalimbali za kutekeleza Diplomasia ya Uchumi katika Mikoa yao. Dkt. Tax ametoa mbinu hizo tarehe 26 Agosti, 2023 wakati wa Mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu...
  6. Roving Journalist

    Waziri Dkt. Tax akutana kwa Mazungumzo na Balozi wa Comoro

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Visiwa vya Comoro nchini, Mhe. Dkt. Ahamada El Badaoui Mohamed katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. Viongozi hao wamejadili masuala mbalimbali ya...
  7. JanguKamaJangu

    Waziri Tax apokea Hati za Utambulisho za Mwakilishi Mkazi wa UNICEF, amuaga mwakilishi mkazi UNDP

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amepokea Hati za Utambulisho za Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF) nchini Tanzania, Bi. Elke Wisch katika ofisi ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. Waziri Tax...
  8. JanguKamaJangu

    Rais wa Algeria akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Tax katika Ikulu ya Algiers

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune amekutana Kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) alipomtembelea Ikulu Jijini Algiers, Algeria tarehe 1 Agosti 2023. Mazungumzo hayo yamefanyika pembezoni mwa...
  9. Lexus SUV

    Tax haven: What does it mean to third world countries: why most large investment firms are incorporated in the so calld tax haven states?

    Karibuni wa Tanzania (and Africans) tujadili hii issue inayokula hela zetu bure bure kwa kupitia mgongo wa ICSID (international centre of settlement of investment disputes). maana sijui kwa vigezo gani tuuu African states's resources are deprived of their resources through , this issue of...
  10. Crocodiletooth

    Ongezeko dogo katika kodi ya majengo (property tax)

    Taken somewhere !
  11. J

    Nina TIN Number ambayo sijawahi kuitumia kwa biashara yoyote zaidi ya kupatia leseni ya udereva, Je Tax Clearance nitadaiwa?

    Kama heading inavyojieleza, Tangu nipate TIN Number, Haijawahi kutumika kwa biashara isipokuwa tu ilitumika kipindi nahitaji leseni ya udereva, Je TIN hiyo naweza kuitumia kufungulia biashara sasa? Je katika kupata Tax Clearance kutakuwa na complications zozote? Nawasilisha.
  12. C

    Dereva wa Bolt natafuta kazi

    Habari, naitwa Daniel ni dereva mwenye uzoefu na leseni iliyohai. Natafuta gari kwaajili ya biashara ya tax mtandao kama bolt, uber, inDrive nk. Gari iwe ya hesabu za kila wiki au mkataba naweza fanyia kazi. Tunaweza wasiliana muda wowote kwa namba 0782427688. Ahsante
  13. X_INTELLIGENCE

    Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

    Ndugu zangu mnaopambana na maisha Leo nawaletea fursa Kwa vijana wanawake na wanaume ambao mna Leseni ya udereva mnaweza kuendesha gari/pikipiki. PIKIPIKI ni ajira acheni maneno ya Lema aliesema kuwa bodaboda sijui ni LAANA. Mimi niwaondoe hofu kuwa bodaboda ni ajira kana ajira nyinginezo. Kwa...
  14. Roving Journalist

    Waziri Stergomena Tax awaaga mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Ujerumani na Norway

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana na kuwaaga mabalozi watatu waliokuwa wanaziwakilisha nchi zao hapa nchini baada ya kumaliza muda wao wa uwakilishi. Dkt. Tax amewaaga mabalozi hao katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es...
  15. JanguKamaJangu

    Waziri Tax akutana na Balozi wa Urusi Nchini Tanzania, wakubaliana kuimarisha uhusiano wa Kidiplomasia

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Shirikisho la Urusi nchini, Mhe. Andrey Avetisyan katika ofisi za Wizara Jijini Dododma Leo tarehe 31Mei 2023. Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamekubaliana...
  16. Roving Journalist

    Dkt. Tax ateta na Mabalozi wa Italia na Umoja wa Ulaya Nchini

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Italia nchini, Mhe. Marco Lombardi pamoja na Balozi wa Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) nchini, Mhe. Manfredo Fanti katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam...
  17. mohamed habibu

    Dereva Tax mtandaoni. Natafuta kazi

    Baada ya kimya kwa muda mrefu kwa changamoto za hapa na pale za kidunia nina mshukuru mungu kunipambania na kunipa afya njema na kurudi imara. Wakurugenzi wangu mim ni kijana wa kitanzania ambae makazi yangu ni jiji la Dar es Salaam ombi langu kubwa natafuta gari la kupeleka hesabu kwa boss...
  18. ubongokid

    Ni lini TRA mtawezesha tupate TAX Clearance bila kufika ofisi zenu zenu?

    Habari za wakati huu; Moja kati ya kero kubwa kabisa ya kulipa kodi hapa Tanzania ni swala la Kwenda kwenye hizi ofisi za TRA,kupanga foleni na kupoteza muda. Swali langu kwa hawa maafsaa wa TRA ni hili. Kwa kuwa sasa kila mtua anao uwezo wa kuingia mtandaoni na kufanya mchakato wa kulipa kodi...
  19. lumwetuli

    Karibuni Lumwe Tax & Consulting service

    Tangazo: Habari za leo wateja wetu wapendwa, Tunapenda kuwatangazia huduma zetu za ushauri wa kodi. Kama mmiliki wa biashara au mtu binafsi, tunaelewa ugumu wa kuendesha shughuli zako za kila siku na wakati huo huo kukidhi mahitaji ya kodi. Hapa ndipo tunapokuja na kusaidia kufanya maisha yako...
  20. lumwetuli

    Huduma ya tax consultancy

    Karibu kwenye huduma ya Tax Consultancy! Tunatoa huduma za ushauri wa kodi kwa wafanyabiashara, watu binafsi na mashirika ya umma katika kuhakikisha kwamba wanatimiza majukumu yao ya kodi kwa ufanisi na ufanisi. Timu yetu ya wataalam wa kodi wana uzoefu wa miaka mingi katika uwanja wa ushauri...
Back
Top Bottom