tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. S

    IMF, Benki ya Dunia na nchi wafadhili, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa serikali hii ya Tanzania?

    Kutokana na uchaguzi usiokidhi vigezo vya kimataifa plus mauji ya raia wengi wasio na hatia waliojitokeza kupinga huu uchaguzi wa tarehe 29 October 2025, IMF, Benki ya Dunia na nchi wahisani, wataendelea kutoa mikopo na misaada kwa hiii serikali? Tukumbuke hata ripoti za waangalizi karibu zote...
  2. R

    Raia wa Kenya wanaoishi Tanzania wahakikishiwa Usalama na kuhimizwa kufuata Sheria za nchi

    Ubalozi wa Kenya jijini Dar es Salaam umeihakikishia raia wa Kenya wanaoishi nchini Tanzania kuhusu usalama wao, kufuatia machafuko yaliyotokea baada ya uchaguzi mkuu Kupitia taarifa iliyotolewa Novemba 5, 2025, Ubalozi huo ulisema kuwa ustawi wa Wakenya walioko Tanzania unabaki kuwa kipaumbele...
  3. President of China

    The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets

    The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets and activists to tarnish Tanzania’s image failed Either Kenyans are being used knowingly or unknowingly. The Kenyan media is being used to spread a plan...
  4. w0rM

    GE2025 AU: Uchaguzi Tanzania haukuendana na Kanuni, Mifumo ya Kimaadili ya AU, na wajibu na viwango vya kimataifa vya uchaguzi wa kidemokrasia

    Taarifa ya Awali ya Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Afrika kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania: Ujumbe wa Uangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Afrika unatoa wito wa kufanyika kwa mageuzi ya haraka ya kikatiba na siasa shirikishi katika Jamhuri ya...
  5. M

    GE2025 Waangalizi wa AU: Uchaguzi wa Tanzania ulivurugwa

    Waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Afrika wamesema kwamba uadilifu wa uchaguzi mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29 uliathiriwa, wakitaja matukio ya kujazwa kwa kura katika vituo kadhaa vya kupigia kura. Ujumbe wa waangalizi wa uchaguzi wa umoja huo ulisema hapo jana waangalizi wake walishuhudia...
  6. H

    Masharti ya kumiliki silaha za moto yaregezwe Tanzania ili watu wajilinde

    Hii itawafanya viongozi na mafisadi kuwa na hofu ya uonevu wao na pia raia wataweza kujilinda na kujitetea kwa silaha za moto . Huu utaratibu wa serikali tu i.e: majeshi tu kumiliki silaha kuna sababisha uonevu kwa raia kwa askari kuzitumia wanavyotaka pasipo nidhamu ikitokea askari wametumia...
  7. UMUGHAKA

    Jeshi la Wananchi wa Tanzania mko Tayari kwenda kulinda amani ya raia wa nchi ya Kongo lakini si kulinda Uhai wa Mtanzania,!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! "Jeshi la Wananchi wa Tanzania" mko bize kila mwaka kwenda kutuliza na kulinda amani ya wananchi wa Kongo lakini hamko Tayari katakata kulinda Uhai wa Watanzania wenzenu!Je Kuna uhalali wowote wa kutambulika kama "Jeshi la Wananchi wa Tanzania? au...
  8. Raia Fulani

    Kati ya watawala na wale waandamanaji ni nani mwenye mapenzi na Tanzania?

    Nikinukuu maneno ya Rais, kuwa "vurugu na uvunjifu wa amani huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, ila mazungumzo huzaa mshikamano. Sasa tuchague lenye manufaa kwetu, kwani usalama wa Taifa lolote hulindwa na wote kwa nguvu zote na gharama zozote" Niongezee kwa lugha ya sasa, kwa wivu...
  9. Amba Samedi

    Internet Shutdown in Tanzania - What You Need to Know, and Future Preparedness

    Hello peeps, Never written in English on this forum. I'm Tanzanian, and I watched stuff happen during the elections. With respect to the internet, here's is a simple timeline: October 29, 2025 (Election Day): A major internet blackout started. Groups that measure the internet (like NetBlocks)...
  10. Youbettersleep

    Siasa ya Tanzania

    Asanteni viongozi kwa kujiweka uhalali madarakani ila MUNGU sikuzote hakawii kujibu...wakati utafika tu. Mungu Ibariki Afya Yangu
  11. Just Pray

    Chama cha Madaktari Tanzania chawashukuru madaktari na wahudumu wote wa afya kwa kujitolea kuokoa maisha ya watu

    Chama cha Madaktari wa Tanzania kinatoa shukrani za dhati kwa madaktari na wahudumu wote wa afya kwa kujitolea kwao bila kuchoka katika kuokoa maisha, hata wanapokabiliwa na changamoto kubwa. Ujasiri, huruma na weledi wenu ni wa kipekee, mnafanya zaidi ya kile kinachotarajiwa, mkitupa wote...
  12. T

    Hakuna mtu wa kuja kutusaidia Watanzania

    Tanzania Hakuna wa kuja kutusaidia kuondoa huu utawala wa kikatili, tulimpika wenyewe ni jukumu letu kuhakikisha tunamwondoa wenyewe Tusitegemee Mmarekani au Mwafrika akaja kutuondolea huyu.
  13. G

    GE2025 Digital memorial/Archive for Lives Lost in Tanzania’s Recent Violence

    The last couple of days, tumeshuhudia ndugu, marafiki, na jamaa zetu, wakubwa kwa wadogo wakiuwawa bila huruma yoyote. 💔 MAY THEY REST WELL! Tunayopitia ni magumu, ila kwa neema ya Mungu na kwakufarijiana, tutafika.😔 Kila nikiingia online nakutana na videos mpya za watu waliouwawa, ama...
  14. TODAYS

    GE2025 JUST NEW: ICC Launches Preliminary Examination into Post-Election Deaths in Tanzania

    I saw this earl story from outside the country media reports about our issues. Niliona na kusoma humu mkililia mahakama hiyo iingilie kati suala hili, basi hali ndo kama hivi... Hizo ni sehemu ya chapisho nililoliona...
  15. BigTall

    GE2025 Media za Tanzania zilivyoripoti matukio ya Uchaguzi Mkuu 2025; Je, tatizo ni uwezo wa Wanahabari au uhuru umesiginwa?

    Wakati Uchaguzi Mkuu wa Tanzania ulipofanyika tarehe 29 Oktoba 2025, huku Huduma za Mtandao wa Intaneti zikiwa zimezimwa, Vyombo vya Habari vikuu (Mainstream Media) kama televisheni na redio, pamoja na Vyombo vya Habari vya Mtandaoni, vilitarajiwa kutoa taarifa sahihi na zenye uwiano kuhusu yale...
  16. Influenza

    Marekani: Kundi la Maseneta lataka nchi yao kupitia upya Uhusiano wake na Tanzania kufuatia mauaji kwenye maandamano ya Uchaguzi 2025

    Kundi la maseneta wa chama cha Democratic katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Seneti ya Marekani, likiongozwa na Seneta Jeanne Shaheen, limeitaka serikali ya Marekani kufanya mapitio ya kina ya uhusiano wake na Tanzania kufuatia uchaguzi wenye utata uliofanyika Oktoba 29, 2025. Rais Samia Suluhu...
  17. K

    Kijana wa US aliyekaa Tanzania anaelezea rushwa ya Tanzania

    Kwa wale mtakao muelewa https://youtu.be/nmHhRISi7nA?si=zet3X4o3liW_3HHo
  18. passioner255

    Ni sababu ya Tanzania kuangamia?

    Nchi yetu imefika hapa kwa sababu ya uongozi mbovu,ufisadi,rushwa,utekaji,uchaguzi wa kishetani,maisha mabovu. watu wanachuki na serikali na CCM. CCM sio chama tena cha mkulima na mfanyakazi...
  19. R

    GE2025 Hasira za wananchi kwa Media za Tanzania kukaa kimya kuhusu Mauaji na vurugu zilizokuwa zinaendelea Uchaguzi Oktoba 29

    Media za Tanzania zinapaswa kulaumiwa sanaa kwa kilichotokea na kinachoendelea kutokea haiwezekani media za nje ndiyo zitoe ripoti kuhusu maovu na mauaji yaliyotokea kwa vijana wetu, uchafu unaofanywa na serikali ya huyu mama lakini media za ndani zipo kimya kazi kupaka mafuta Kwa hali hii...
  20. Beira Boy

    Nimeacha rasmi kusikiliza radio station za Tanzania, sitasikiliza tena radio za Tanzania

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kwa siku tano mfulilizo watanzania wakiuwawa kwa kupigwa risasi na Abdul na mama yake Samia lakin hakuna hata radio station moja iliyosema wala kutangaza Nchi ilikuwa gizani zaid ya Burundi Mtangazaji mwenzao kafariki kwa kupigwa risasi...
Back
Top Bottom