tangazo

  1. RaJhumoR

    Tangazo la Kukodi Frem, Ditopile (Njia ya bonyokwa/Kinyerezi)

    FREMU MPYA ZA BIASHARA – KINYEREZI (Kwa Ditopile) Fursa ya kipekee isiyopaswa kupitwa! Tunakukaribisha kwenye eneo jipya lenye muonekano wa mtaa wa kisasa – mahali ambapo ndoto za biashara zinachipuka! Kuna freimu 9 za biashara zilizojengwa kwa uimara na ubunifu, tayari kwa biashara za kisasa...
  2. M

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI

    TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI Nauza kiwanja changu kilichopo Ihungo, Bukoba Mjini. Kiwanja ni tambarare, kina ukubwa wa 20m x 40m, na barabara inapitika vizuri hadi kiwanjani. 📍 Mahali pazuri kwa makazi 🏫 Shule, hospitali na maduka vipo karibu 📄 Miliki halali, salama...
  3. Chifu mkuu

    Tangazo: Nauza mkojo wa sungura.

    Napatikana pasua manispaa ya Moshi mkoa wa Kilimanjaro. Nina dumu tano ( Lita 20 @ =Lita 100) bei ni maelewano. Kwa wale wasiojua mkojo wa sungura hutumika kama kinga na dawa ya kuua wadudu hasa katika bustani za mbogamboga na mazao mengine. Ukitaka faida zaidi za mkojo wa sungura ingia google...
  4. Babu Kijiwe

    Tangazo la Mshindi Redio Tanzania Dar es Salaam

    Wimbo Mshindi sabuni mpya yenye nguvu, yenye kutakasa kuliko zote, Mshindiii yeee eeeeeh, mshindiii yeee eeeeeh, mshindi. Maneno ya yule jamaa mwisho wa tangazo "Mshindi ni sabuni mpya na yenye nguvu, nguvu tele ni sabuni mwanaaana kwa mikono yako, hakuna sabuni inayoshinda mshindi." Mshindiiii
  5. Babu Kijiwe

    Tangazo la Sabuni ya Komoa: Redio Tanzania Dar es Salaam

    Nipeni nguo nifue (komoaa), sabuni ya komoa (komoaa) Nipeni maji nioge (komoaa), sabuni ya komoa (komoaa) Inanukia vizuri (komoaa), inapovu jingi sana (komoaa) Haichubui mikono, (komoaa) kiboko ya nyingine (komoaa) Aeee eee (komoaa), aaa eee eee, (komoaa) aaa eee eee (komoaa) (Tilititititi...
  6. Mshana Jr

    Tangazo

    1. Chinese translator 2, finance 3.hotel reception desk Contact number 0752333880
  7. W

    Huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo

    🔨 UNAHITAJI SAKAFU TARAZO IMARA NA YA KISASA? 🔨 Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu. ✅ Tunatumia vifaa bora na wataalamu wenye uzoefu ✅ Ujenzi imara unaodumu kwa miaka mingi✅ Bei nafuu na...
  8. Denis Gregory

    Tangazo Nafasi yakazi ya haraka kweli

    Natafuta kumwajili mtu mwenye cheti cha ADDO.. Medication back ground.. Anisaidie kuuza dawa.. Zinga Bagamoyo.. Unasifa izo na unahitaji wasiliana nami 0679102559 au 0755102559
  9. EDIGAR JO

    🚨🚨🚨🚨 MLIONA TANGAZO

    TANGAZO NI ZURI SANA HUENDA KUNA WATU NIKATOKA NAO HUU MWAKA CHA MSINGI NI USHIRIKI
  10. Jidu La Mabambasi

    Ubaguzi wa rangi unarudi: CCM, Makalla na mzee Wassira fuatilieni hili tangazo

    Sikutegemea kuona tangazo linalo akisia kurudi kwa ubaguzi wa rangi, miaka 64 baada ya uhuru. Tangazo linalotembea mitandaoni linasoma ubaguzi. ASIANS AND ARABS ONLY NEED APPLY. Haya ni matusi kwa CCM.
  11. greater than

    TANGAZO LA AJIRA,ARCHITECT/CIVIL ENG

    Kuna nafasi ya kazi kwa mtu mwenye taaluma ya Usanifu majengo.... Architect/Civil engineer Uzoefu : miak isiyopungua miwili. Ukiwa interested nicheki inbox...
  12. M

    TANGAZO: FURSA YA KUSHIRIKIANA KATIKA BIASHARA YA KIWI NYEUSI

    Unatafuta fursa ya kuwekeza katika biashara yenye bidhaa inayotembea? Tunatafuta mshirika wa biashara kwa ajili ya bidhaa yetu ya kiwi nyeusi kwa viatu! ✅ Masoko yetu kwa sasa ni wanafunzi – wateja wa uhakika! ✅ Sehemu ya uzalishaji ipo tayari. ✅ Package zipo tayari kwa usambazaji. Tunahitaji...
  13. Mshana Jr

    Tangazo la kazi

    Hello members tangazo limeisha muda .. Na wahusika wameshapatikana
  14. Yoda

    CHADEMA mnahitaji tangazo jipya bora la TONE TONE, hili la sasa halitafika mbali

    Tangazo la TONE TONE la CHADEMA la sasa linaonyesha zaidi ufahari na lenye kuwakilisha mazingira ya tabaka la mjini na kishua zaidi. CHADEMA, halina msisitizo na msisimko wa wale mnayopigania au kuhitaji kutoka kwa jamii kama chama.
  15. kyagata

    Kwa sisi ambao haipiti siku bila kugegeda,hili tangazo la serikali tulieleweje?

    Wakuu. Nimelia sana,kuona hili tangazo la serikali.
  16. W

    Natafuta dalali wa kiwanja

    TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali. Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami...
  17. detected

    TANGAZO LA KAZI YA MUDA MFUPI - MWANZA

    Nafasi: Wasaidizi wa Kukusanya Data za Wateja Eneo: Mwanza Mjini Muda wa Kazi: Mwezi Mmoja Mwisho wa Maombi : 27-02-2025 CollectTech Limited inatangaza nafasi za muda kwa vijana wanaoishi Mwanza Mjini kwa ajili ya kazi ya kukusanya data za wateja. Sifa za Mwombaji: • Awe mkazi wa Mwanza...
  18. El marabiosh

    UTUMISHI: Tabia ya kutoa tangazo halafu mnaita watu kwenye usahili baada ya miezi tisa mkome.

    itaendelea wiki ijayo..
  19. Emilio Mzena

    Mbona sijawahi kuona tangazo la Safari Lager au Serengeti Lite kwenye chaneli za Azam?

    Wakuu kwema… Tupo huku tunavuna viazi na wananzengo wenzangu. Hoja ikaibuka, mbona hatujawahi kuona tangazo la kilimanjaro lager, safari lager, serengeti lite na vinywaji vya namna hiyo katika chaneli za Utv, Azam one & two, Azam Sports 1, 2, 3, 4 wala Sinema Zetu. Mdau mwingine akasema yeye...
  20. Pdidy

    HUYU MWL MBWAWA LUTHERAN SCHOOL UPENDO MSIENDELEE KUONYESHA HILI TANGAZO N AIBU SANA

    HABARI WANA NDUGU NINEANDIKA HUKU BAADA YA KUSHAURI HII TV WAONDOE HILO TANGAZO TANGAZO LIKO HIVI ANATOKEA MWL WAO ANASEMA INAKUPA NN MWANAO KUFAULU KWENDA FORM FIVE BILA KUWA NA NIDHAMU INAKUPA NN MWANAO KUPATA DIV ONE BILA KUWA NA NIDHAMU NILIPOCHOKA WANAONYESHA MATOKEO YAO HAHA WANA DIV...
Back
Top Bottom