TANGAZO LA KUUZA KIWANJA – IHUNGO, BUKOBA MJINI
Nauza kiwanja changu kilichopo Ihungo, Bukoba Mjini. Kiwanja ni tambarare, kina ukubwa wa 20m x 40m, na barabara inapitika vizuri hadi kiwanjani.
📍 Mahali pazuri kwa makazi
🏫 Shule, hospitali na maduka vipo karibu
📄 Miliki halali, salama...