tangazo

  1. A

    JamiiForums Tanzania TANGAZO LA KAZI

    Anaitajika mfanyakazi mwenye taalum izi Diploma ya business management Diploma ya business handling Social skills Market idea na usafi KAZI ni ya mini super market pamoja na butcher ivyo awe na idea ya kutunza nyama na samaki pia awe anaweza ku park vizur number ya sim 0763390302 Mwisho wa...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Anahitajika mfanyakazi mwenye taaluma zifuatazo: Diploma ya business management Diploma ya business handling Social skills Uelewa wa masoko na usafi Kazi ni ya mini supermarket pamoja na butcher, hivyo mwombaji awe na uelewa wa kutunza nyama na samaki na awe anaweza ku-pack vizuri...
  3. Inside10

    JamiiForums Tanzania Ajira Mpya Uhamiaji Tangazo La 29 Desemba 2025

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI IDARA YA UHAMIAJI TANGAZO LA AJIRA Kamishna Jenerali wa Uhamiaji kwa Mamlaka niliyonayo chini ya Kanuni Namba 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018, natangaza nafasi za Ajira Mpya za Konstebo wa Uhamiaji kwa...
  4. Msanii

    JamiiForums Tanzania Tafakuri: Viongozi wanapoamuru jeshi kuua raia ni tangazo la vita? Nini hatima yake?

    Narejea kusisitiza kwamba, CCM ndiyo watakaosababisha vita ya wenyewe kwa wenyewe Tanzania Kitendo cha Hangaya kutangaza 2024 kuwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama kujiandaa kijeshi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2025, lilikuwa ni tangazo la maandalizi ya vita dhidi ya raia. Kitendo cha kutoa...
  5. Mind stone

    JamiiForums Tanzania Wakuu bado natafuta kazi, na maelezo yangu ni hayo kwenye tangazo hapo chini

    Natafuta kazi na qualifications zangu zipo hapo kwenye picha ya Tangazo.
  6. stakehigh

    JamiiForums Tanzania BBC wamelipia tangazo insta kuonyesha maandamano yalivodhibitiwa

  7. T

    JamiiForums Tanzania Tangazo la usaili bungeni walioomba kazi

  8. Doctor Mama Amon

    JamiiForums Tanzania Tume ya Uchunguzi wa Uvunjifu wa Haki na Amani Katika Wiki ya Uchaguzi Mkuu 2025: Naomba Nakala ya Tangazo Husika Katika Gazeti la Serikali

    Wadau, Kwa mujibu wa kifungu cha 20 cha Sheria ya Tume za Uchunguzi (Commissions of Inquiry Act), Sura ya 32, Toleo la 2023, Rais anapounda Tume ya Uchunguzi husika, Tume hiyo inapaswa kuanza kazi baada ya Uamuzi wa Rais kuchapishwa kwenye Gazeti la Serikali . Taarifa ya gazetini inapaswa...
  9. Halmashauri ya Jiji DSM

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

    TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
  10. H

    JamiiForums Tanzania Tunatoa huduma za elimu binafsi (Private Coaching)

    Unahitaji kujifunza ujuzi mpya au kuboresha uwezo wako binafsi? Sasa ni wakati wako! Tunatoa MAFUNZO BINAFSI (One-on-One) kwa: 🌍 Lugha za Kigeni – Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kichina, Kihispania n.k. 💻 Kompyuta – MS Office, Internet Skills, Typing, Coding, Graphic Design n.k. 🚗...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Tangazo ahira kwa wataalamu wa lugha

    📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢 Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza. 🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana: 🗣 LUGHA ZA KIGENI ✅ English ✅ French ✅...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Tangazo la Ajira Zanzibar

    📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢 Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza. 🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana: 🗣 LUGHA ZA KIGENI ✅ English ✅ French ✅...
  13. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania Tangazo kutoka kwa msemaji wa Serikali: waajiriwa na wanafunzi waendelee kuwepo nyumbani kesho tarehe 31 Oktoba

  14. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Video: Tangazo la uchaguzi kama uchawi, Oktoba tunatoka hakuna mganga zaidi ya wananchi

    Amkeni watanzania Bongo Movie ya CCM imetoka Rami ebu watuache kidogo hahahahahahahahahaah
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Taswira ya Vyombo vya Habari Tanzania katika tangazo la TEC

    Chawa wakiitisha press kufanya mambo yao yanayoambatana na comedy mbovu au "wahuni" wakijibu Polepole unakuta mic 🎤 zimejaa mpaka zinaanguka kutoka mezani, katibu wa TEC anaongea kuna mic moja tu ya Jambo TV! Hata wakatoliki wenye viTV vyao vya mfukoni wako mashimoni kama panya wanaosubiria giza...
  16. Madihani

    JamiiForums Tanzania CRDB imekuwaje tangazo lenu halikuwa uzito kama matokeo ya hayo marekebisho au matengenezo ya Benki yenu

    Watu tumelipwa: Overtime Allowance Airtime/Communication Allowance Transport Allowance House Allowance Lakini kwenye akaunti hakuna kitu na wenzetu wa NMB wanakenua tu meno yao ofisini. Toeni taarifa shida nini. Nipo hapa nawaza nikilipwa pesa ya likizo sijui kama nitaiona.
  17. T

    JamiiForums Tanzania Nafasi 25 za Kazi katika Kampuni ya The Global Positive Mind Set Center (GPMSC) – FINTECH

    TANGAZO LA AJIRA Kampuni: The Global Positive Mind Set Center (GPMSC) – FINTECH Mahali: Mwanza, Tanzania Kampuni ya The Global Positive Mind Set Center (GPMSC) inakaribisha maombi ya ajira kutoka kwa Watanzania wenye sifa stahiki kujaza nafasi zifuatazo: Nafasi Zilizopo Afisa Uhasibu –...
  18. LPF TENTS

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ajira

    TANGAZO LA KAZI Kampuni yetu inatafuta Wafanyakazi Wenye Ujuzi na Uzoefu kujaza nafasi zifuatazo: 1. Mchoro/Mchoro wa Majengo (Architect) Kiwango cha Elimu: Cheti (Certificate) au Diploma katika Architecture Uzoefu: Si lazima, lakini uzoefu utapendekezwa 2. Mhandisi wa Ujenzi (Civil...
  19. Apollo one spaceship

    JamiiForums Tanzania Namna ya kuondoa tangazo la hisense

    Naangalia mpira hapa kwenye hisense smart tv ila kuna matangazo yanajitokeza mara kwa mara yanakera sana kwa sababu yanaziba baadhi ya sehemu ya uwanja. Naomba mnieleweshe namna ya kuyaondoa
  20. Nipe Maji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Taarifa hii imetolewa na Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Back
Top Bottom