TIMU YA TANGANYIKA GOSSAGE CUP 1961
Majina ya wachezaji wote na maelezo ya ziada kayatoa John Limo baada ya kumfikishia hii picha.
Tumshukuru kwa kutufanyia hisani hii:
Kutoka kushoto: Henrick Martin, Hemed Seif, John Lyimo, Washokera, Yusuf Mwamba, Yahaya Mbike, mbele ni Aziz Abdullah...