William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Tumelishwa imani nisiyojua nini maana yake. Licha ya Tanzania kuungana na Zanzibar bado Mombasa wana maingiliano makubwa ya kitamaduni na Unguja na Pemba nadhani kuzidi hata Dar es Salaam.
Je, Nani anaweza kufafanua manufaa ambayo Tanganyika imeyapata kutokea muungano ya kiuchumi, kisiasa na kijamii?
Je, ni risk gani ambayo Kenya inapitia kwa kutoungana na Zanzibar ingawa ipo karibu nao pia ambayo Tanganyika hatuna?
Na kama kuna manufaa makubwa sana kwa nini Madagascar haikuungana na South Afrika au Burundi na Rwanda?
Mimi nadhani tusilishane matango pori tuje na fact za huo muungano maana naona unaleta kero tu.
Kuna kero hadi 30 zinazoitwa za muungano zilizopatiwa ufumbuzi lakini sijawahi kuona orodha za raha na utamu muungano hasa kila upande.
Sijaona Orodha ya raha na utamu wa muungano ambayo pande zote zinajivunia zaidi ya kujivunia miaka mingi ya huo muungano.
Kwa mantiki hiyo muungano ulizaa kero tupu.
Na ili kuulinda watu wamepitia hali mbaya ya kufukuzwa kwenye vyama vyao, kushitakiwa kwa uahini, kusota jela, kuwekwa vizuizini na hata kukosa uhuru kamili wa kuwapata watu wanaowataka bila kamati kutoka nje ya mipaka ya asili kufanya maamuzi ya mwisho.
Je lini tutajadili kwa uwazi haki za kutokuwa na muungano na kuwaza namna ya kuwa nchi marafiki baada ya kila upande kuwa Dola kamili bila kuonekana wabaguzi na wasaliti na wenye mapenzi makubwa kwa nchi.?
Je, Nani anaweza kufafanua manufaa ambayo Tanganyika imeyapata kutokea muungano ya kiuchumi, kisiasa na kijamii?
Je, ni risk gani ambayo Kenya inapitia kwa kutoungana na Zanzibar ingawa ipo karibu nao pia ambayo Tanganyika hatuna?
Na kama kuna manufaa makubwa sana kwa nini Madagascar haikuungana na South Afrika au Burundi na Rwanda?
Mimi nadhani tusilishane matango pori tuje na fact za huo muungano maana naona unaleta kero tu.
Kuna kero hadi 30 zinazoitwa za muungano zilizopatiwa ufumbuzi lakini sijawahi kuona orodha za raha na utamu muungano hasa kila upande.
Sijaona Orodha ya raha na utamu wa muungano ambayo pande zote zinajivunia zaidi ya kujivunia miaka mingi ya huo muungano.
Kwa mantiki hiyo muungano ulizaa kero tupu.
Na ili kuulinda watu wamepitia hali mbaya ya kufukuzwa kwenye vyama vyao, kushitakiwa kwa uahini, kusota jela, kuwekwa vizuizini na hata kukosa uhuru kamili wa kuwapata watu wanaowataka bila kamati kutoka nje ya mipaka ya asili kufanya maamuzi ya mwisho.
Je lini tutajadili kwa uwazi haki za kutokuwa na muungano na kuwaza namna ya kuwa nchi marafiki baada ya kila upande kuwa Dola kamili bila kuonekana wabaguzi na wasaliti na wenye mapenzi makubwa kwa nchi.?