tanganyika

Tanganyika was a sovereign state, comprising the mainland part of present-day Tanzania, that existed from 1961 until 1964. It first gained independence from the United Kingdom on 9 December 1961 as a state headed by Queen Elizabeth II before becoming a republic within the Commonwealth of Nations a year later. After signing the Articles of Union on 22 April 1964 and passing an Act of Union on 25 April, Tanganyika officially joined with the People's Republic of Zanzibar and Pemba to form the United Republic of Tanganyika and Zanzibar on Union Day, 26 April 1964. The new state changed its name to the United Republic of Tanzania within a year.

View More On Wikipedia.org
  1. ACT Wazalendo

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo na Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    TAARIFA YA MIAKA 58 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR. 1. UTANGULIZI Ni historia ya kupigiwa mfano kwa Taifa letu kwamba tunaadhimisha miaka 58 ya Muungano wetu. ambapo nchi mbili huru, Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ziliungana rasmi siku ya tarehe 26-04-1964...
  2. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Anaweza kuelezea faida za muungano aje atuambie. Je Tanganyika ingekosa fursa zipi Kama Zanzibar wangeungana na Kenya?

    Tumelishwa imani nisiyojua nini maana yake. Licha ya Tanzania kuungana na Zanzibar bado Mombasa wana maingiliano makubwa ya kitamaduni na Unguja na Pemba nadhani kuzidi hata Dar es Salaam. Je, Nani anaweza kufafanua manufaa ambayo Tanganyika imeyapata kutokea muungano ya kiuchumi, kisiasa na...
  3. beth

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya Muungano 2022: Rais Samia asamehe wafungwa 3,826

    Katika kuadhimisha Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe wafungwa wapatao 3,826 kwa masharti mbalimbali Msamaha huo utahusisha Wafungwa wanaotumikia adhabu kwa makosa ya usafirishaji wa Dawa za Kulevya ambao wamekaa gerezani kuanzia miaka 20 na...
  4. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Tanganyika hatuna chetu kwenye mapato na usimamizi wa utalii Zanzibar, hili swala la Mnaijeria linakuwaje la muungano?

    Inakuwaje watu wa bara wanashadadia, kupambania na kuutetea ugali ambao hawana mgao wake. Kuna binti mnaijeria alikuja Zanzibar mwaka jana kusherekea birthday yake, she claims that angebakwa isingekuwa kusingizia ana ukimwi ila hata hivyo bado aliibiwa takribani milioni 2.4, alipoenda polisi...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulishinikizwa na mabeberu?

    Wakuu naomba kujuzwa ukweli wa hili, kuwa baada ya mapinduzi ya Zanzibar, kulikuwa na wanasiasa wenye ushawishi wakiongozwa na Abdulrahman Babu wa Umma Party ambao walikuwa na itikadi za kikomunisti na wangeweza kuifanya Zanzibar kitovu cha Ukomunisti Afrika Mashariki Kuzuia hilo , Waingereza...
  6. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Tanganyika: Wanakijiji kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 50 kufuata huduma za Afya

    Wananchi wa vijiji vya Bungwe, vikonge, Ngomalusambo katika kata ya Tongwe wilayani Tanganyika katika mkoa wa katavi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali na kubwa zaidi ni kokosekana kwa zahanati katika vijiji vyao,. Wanakijiji wa kutoka kijiji cha Bungwe wamekuwa wakisafiri umbali wa...
  7. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya mitaa iliyopewa majina ya Wapigania Uhuru wa Tanganyika

    Hapo chini ni picha za baadhi ya mitaa iliyopewa majina ya wapigania uhuru wa Tanganyika: Katika picha hizi picha ya kwanza inamuonyesha Ali Msham wa kwanza kulia akiwa na Baba Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika. Ali Msham amefanya mengi ambayo...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Sheria hizi hazitufai, tulizirithi kwa wakoloni wakati bado hatujafikia kutumia Sheria hizo Tanganyika

    1. Sheria zinazohusu urbanization. Kwao kwa vile kulikuwa na "mlipuko" wa industrialization, walihitaji ardhi kujenga viwanda and accompanying facilities na hivyo kuhitaji ardhi. Watu waliajiliwa, alternative means to sustain life. Wasio na Ajira wakapata social security money to sustain life...
  9. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Tanganyika groundnuts scheme na sakata la mafuta ya kula

    Wakati wa vita ya pili ya dunia Uingereza ilipatwa na upungufu mkubwa sana wa mafuta ya kula. Wakakaa chini wakaumiza vichwa wafanye nini. Wakakubaliana kulima karanga kwenye koloni lao la Tanganyika. Mipango ikafanywa, eneo linalofaa likatafutwa, wakapata huko Kondoa. Wakanunua matrekta...
  10. kavulata

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

    Tanganyika/Tanzania Bara na Zanzibar zina idadi tofauti la ukubwa wa eneo, idadi ya watu, mikoa, Wilaya, majimbo, bila shaka na kata, vijiji na vitongoji. Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.)...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kurasa darasa TBC1: Magazeti na majarida katika historia ya Tanganyika

    KURASA DARASA TBC1: UCHAMBUZI WA MAGAZETI, MAJARIDA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA Leo nilikuwa na matembezi ndani ya mitaa na vichochoro vya Maktaba nikimzungusha Mtangazaji wa kipindi cha ''Kurasa Darasa,'' Bi. Maureen Minanago. Bi. Maureen alitaka kujua sababu za mimi kuhifadhi baadhi ya...
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Riziki Shahari: Wanawake katika kupigania Uhuru wa Tanganyika 1950s

    RIZIKI SHAHARI: WANAWAKE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA 1950s Ilikuwa wakati Julius Nyerere yuko Musoma ndipo John Hatch kutoka Chama cha Labour cha Uingereza alipokuja Tanganyika kama mgeni wa TANU. Chama kilifanya mkutano mkubwa sana Mnazi Mmoja na Hatch akawahutubia wananchi...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Watanganyika do we have "BALLS"

    1. Wazanzibari walipoambiwa Zanzibar kuna mafuta walipambana hadi wakaondoa mafuta kwenye mambo ya Muungano lakini bado hela ya madini ya Mererani inaenda kununua CT scan hospitali za Pemba. 2. Wamepambana kuondoa bandari ya Zanzibar chini ya TPA na kuanzisha mamlaka yao ya bandari lakini bado...
  14. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Mohamed Shebe camera yake ndiyo iliyohifadhi historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika

    MOHAMED SHEBE CAMERA YAKE NDIYO ILIYOTUHIFADHIA HISTORIA YA TANU, MWALIMU NYERERE NA UHURU WA TANGANYIKA Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Mohamed Shebe kushoto na anaefuatia ni John Rupia na kulia mwisho ni Julius Kambarage Nyerere. Mohamed Shebe kaishi na viongozi hawa toka siku ya kwanza...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Mechanical Engineer at Tanganyika Wattle Company Limited

    Tanganyika Wattle Company Limited is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts. MECHANICAL ENGINEER - 1 POST Required Qualification Holder of Bachelor of Science Degree in Mechanical Engineering, or equivalent...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Wataalam "professionals" wa Tanganyika

    WATAALAMU "PROFESSIONALS" WA TANGANYIKA WANAFUNZI WA COUNT VICTOR LUSTIG Uzuri wa Tanganyika ni kuwa unaweza kukodi kila aina ya huduma na kwa kweli fani hii ina wataalamu mabingwa khasa. Mathalan una jambo lako lakini halinogi sharti uwapate masheikh. Hawa "wataalamu professionals," watataka...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tanganyika na Zanzibar kutekeleza kwa Pamoja Anwani za Makazi

    TANZANIA BARA, ZANZIBAR KUTEKELEZA KWA PAMOJA ANWANI ZA MAKAZI  Utekelezaji Tanzania Bara wafikia 3% na Zanzibar 7%  Ifikapo Mwezi Mei, 2022 utekelezaji unahitajika ufike 100%  Anwani kupatikana kwenye programu tumizi maalum ya TEHAMA ya NaPA  Kutekelezwa kwa Shilingi Bilioni 28...
  18. L

    JamiiForums Tanzania Bajeti inayosomwa bungeni ni bajeti ya Tanzania au ya Tanganyika?

    1. Kwanini hii bajeti inajumuisha wizara zote za muungano na zisizo za muungano? 2. Bajeti inayoishia 2021/2022, trilioni 39 Zanzibar imechangia kiasi gani kwenye makusanyo? 3. Hii misaada na mikopo kuna formula ya mgao kati ya Tanzania bara na Zanzibar Ila sijaona formula ya kulipa mikopo hii...
  19. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Dedan Kimathi alivyoigusa Tanganyika 1950s

    DEDAN KIMATHI ALINYONGWA SIKU KAMA YA LEO 1957 Nimeona hapa barzani imewekwa taarifa ya kunyongwa Dedan Kimathi siku kama ya leo mwaka wa 1957. Taarifa hii imenigutua na nimefunua kitabu cha Abdul Sykes kuangalia kile nilichoandika kuhusu Dedan Kimathi. Naweka hapo chini yale ambayo...
  20. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Majina ya Mitaa na Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    MAJINA YA MITAA YAHIFADHI HISTORIA Ndugu zanguni hivi sasa kuna mradi wa Anuani za Makazi (Post Code). Naamini sote tunashausikia kwa kuwa serikali imeutangaza. Mradi huu ulitakiwa uchukue miaka 5 lakini Rais Mama Samia ameamua huu mradi uwe "Operation Anuani za Makazi" na ukamilike kwa miezi...
Back
Top Bottom