tanesco

TANESCO
Shirika la umeme Tanzania(TANESCO) ni shirika la umma nchini Tanzania lililoanzishwa November 26, 1931 na liliitwa 'Tanganyika Electric Supply Company Limited' kazi yake kubwa ikiwa ni kuzalisha na kusambaza umeme nchini Tanzania.
  1. Nadharia (Technical): Kilichotokea mpaka akauti nyingi zikadukuliwa

    Jana May 20 ulitokea mshtuko baada ya akaunti nyingi za mitandao ya kijamii kudukuliwa kwa pamoja idadi kubwa ikiwa taasisi za Serikali. Watu hawa wametumia kurasa za mtandao wa X na youtube. 1. Mitandao hii miwili ya X na youtube inarusu third party app kustream. Mfano nataka kuweka tukio...
  2. TANESCO: Mfumo wa kununua umeme (LUKU) leo Mei 18, 2025 una changamoto, mafundi wanarekebisha

    Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kuna changamoto kwenye manunuzi ya umeme (LUKU) inayosababisha wateja kushindwa kununua umeme kupitia mitandao ya simu na njia za kibenki kuanzia majira ya saa nane mchana. Wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kurekebisha...
  3. TanesCo msipende kukata Umeme

    Habarini za sahizi watu wa humu jukwaani. Mimi nina kero na TANESCO. TANESCO msiwe mnakata umeme huku kuna watu wengine ni machizi radio vichwa vyao vimejaa stress. Umeme ukikata radio haziongei kwa hio wanaanza kuongea wao wenyewe bila kuongeleshwa na mtu. Kwa hio jitahidini umeme msiwe mnakata.
  4. Tanesco! Tanesco baadae 22:00 kuna Jambo la kidunia msikate umeme

    Tunawamba tanesco wasikate umeme dunia baadae itahamia Morocco kumuangalia mnyama akitoa kipigo
  5. TANESCO mtakuja lini kuunganisha umeme Chanika Zingiziwa? Mmeweka nyaya kisha mmepotea

    Machi 16, 2025 kuna memba alitusaidia kufikisha ujumbe kwenye Jamii kuwa sisi Wakazi wa Chanika Zingiziwa tuna changamoto ya kutokuwa na umeme licha ya kwamba TANESCO wamekuwa wakija na kuondoka wakiwa na sababu ambazo hazieleweki. Alichoandika Memba wa kwanza soma hapa - Wakazi wa Chanika...
  6. Naombeni tukumbushane kuna waziri wa nishati alitoa maelezo Tanesco kusambaza nyaya nchini ya ardhi sio misitimu.

    Tanesco wanaproject nyingi kama za kununua umeme ethiopia na mengine. Kuna project ilitokaga na waziri fulani sikumbuki alikazia kuwa dar umeme usambazwe chini ya ardhi. Sasa ni kawa na waza hivi yale mafuriko ya dar,mabomba ya maji yana pasuka ovyo. Kwa mvua hizi DAR mngechezea shoti za...
  7. Je Lazaro Twange ana sifa kitaaluma na uzoefu kua mkuu wa Tanesco au ni uteuzi wa kisiasa

    Ndugu zangu binafsi nimeshituka kwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kua mkurugenzi mkuu wa Tanesco. Hivi huyu Lazaro Mtwange ana taaluma na uzoefu gani kwa wanaomjua? Tanesco ni dubwasha kubwa lenye wajibu mkubwa kabisa kiuchumi na kijamii nchini. Tulitegemea mtu ndani ya Tanesco mwenye shahada japo...
  8. R

    Hivi nyie TANESCO huduma ya umeme ni biashara isiyo na hasara au ni hujuma Kwa watumiaji!!?

    Moja kati ya taasisi ya ajabu nchini ni Tanesco,uchunguzi wangu niliofanya nimegundua mambo yafuatayo! 1.Kuna mafundi au wahusika wanachezea umeme kama moto anavyochezea kibatari yaani wanakata na kuzima kata Zima kata Zima bila kujali watumiaji yaani wanafanya wanavyojisikia kuhusu umeme...
  9. D

    Kila anapoteuliwa mkurugenzi mpya wa Tanesco huwa lazima mtandao wa kununua luku upate changamoto ya kiufundi je iko siri gani?

    Yaani hili jambo limeanza tangu muda sana! Punde tu kukitangazwa mabadiliko ya mkurugenzi mpya wa Tanesco huwa piga uwa karagaza kutokee hitilafu ya kiufundi kwenye manunuzi ya luku. Je hili hutokea bahati mbaya? Au kuna watu hurejesha mifumo ya kamisheni sawa kwa ajili ya maelekezo mapya...
  10. Kwa Uteuzi wa Lazaro Jacob Twange kuwa Mkurugenzi TANESCO, ni kithibitisho tosha cha ubovu wa mfumo wa vetting, mazoea, UCCM vinaliangamiza Taifa

    Huyu DC Kwa muda wake mwingi amefanya Shughuli za kisiasa , ukiachilia mbali Hilo, Taaluma yake na masuala ya Umeme ni Mbingu na Ardhi. Soma Pia: Uteuzi na Uhamisho: Razaro Twange aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Ubungo ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji TANESCO Hiyo 9, 10 ni Uzoefu wa kuendesha...
  11. C

    Naelekea kulamba uteuzi hapo TANESCO mjiandae!

    Wakuu tayari jina lipo mezani. Hivyo nawataarifu TANESCO mjipange mapema. Ni mwendo wa kazi na bata!
  12. Waziri Biteko: Tumepata kibali cha kuajiri watumishi 570 TANESCO kwa mwaka 2024/25

    "Hoja nyingine imekuwa ni upungufu wa wafanyakazi ambayo Waheshimiwa wabunge wameeleza, nataka nitoe tu taarifa kuwa tumepata kibali cha kuajiri watumishi 570 kwa mwaka 2024/25, utaratibu unakamilishwa, watumishi hao waweze kupangiwa majukumu yao. Serikali pia imepanga kuajiri watumishi wengine...
  13. U

    TANESCO kuuzia wananchi nguzo ni sawa?

    Habari ndugu zangu wana jamii forum.Kuna hii ishu ya kununua nguzo za Tanesco kwa ajili ya kuunganishiwa umeme? Maswali yangu ni kama ifuatavyo. 1.Je kuna sheria inayowaruhusu kuwauzia nguzo wananchi?? 2.Kama mwananchi amenunua nguzo ni sawa kuwa mali ya Tanesco?? 3.Kwa nini wanawaungia watu...
  14. S

    Mkurugenzi mkuu wa TANESCO aliyefariki kwa ajali kaacha watoto 15

    Bosi Mkurugenzi mkuu wa TANESCO Nyamo Hanga aliyefariki kwa ajali kaacha watoto 15 i
  15. Je ni kweli Mkurugenzi wa TANESCO alikusudia kuwa Mtia Nia jimboni kwao?

    Wataalam , kuna taarifa zinadai kuwa Injinia Gissima alikuwa anakwenda kuweka mambo sawa kwa maandalizi ya kipenga cha kugombea jimbo la Kwao…. Hivyo alikuwa ni Mtia Nia Taraji. Haya mambo aliyafanya kimya kimya na ni wachache sana aliwajulisha dhamira yake ikiwemo marafiki wa karibu na...
  16. E

    Maswali lukuki ajali, kifo bosi Tanesco

    Wakati aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme (Tanesco), Gisima Nyamo-Hanga akizikwa nyumbani kwao katika eneo la Migungani mjini Bunda mkoani Mara kufuatia ajali iliyoondoa uhai wake na dereva wake Muhajiri Haule, maswali bado yanagonga vichwa kuhusu ajali hiyo. Miongoni mwa maswali...
  17. Dereva aliyefariki kwenye ajali iliyomhusisha Mkurugenzi wa TANESCO alistaafu mwaka jana, familia yathibitisha

    Imeelezwa kuwa dereva wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Muhajiri Haule, aliyepoteza maisha katika ajali ya gari iliyosababisha pia kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo, Gissima Nyamo-Hanga, alikuwa amestaafu utumishi wa umma tangu mwaka jana. Ajali hiyo ilitokea Aprili 13, 2025...
  18. S

    Mazingira ya ajali ya Mkurugenzi wa TANESCO hata katika picha yanatia shaka sana. Polisi wajibu haya maswali

    Tanzania lazima tujenge utamaduni wa kuhoji, sio kukubali kila tunachoambiwa, na Polisi au hata na serikali. Niliposikia juu ya hii ajali kwanza nilihoji ikiwa ajali ilitokea saa nane usiku na Mkurugenzi na dereva wote wamekufa, Polisi walijuaje dereva alikuwa anamkwepa mtu wa baiskeli? Sasa...
  19. Tanesco walimpenda Mkurugenzi wao,wasema bora angefula fulani

    Wafanyakazi wa Tanesco walimpenda sana bosi wao,wamesikika wakisema bora angekufa nanii..... Ishi na watu vizuri
  20. G

    Ajali ya boss wa TANESCO najiuliza haya

    Ajali ilitokea usiku wa manane, dereva na abiria wakafa hapohapo. Tunaambiwa dereva alikuwa anamkwepa mwendesha baiskeli. Je nani alimuona huyo mwendesha baiskeli? Huyo aliyemuona alikuwa wapi? Soma Pia: Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Gissima Nyamo-Hanga na dereva wake wafariki dunia Je...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…