Naelekea kulamba uteuzi hapo TANESCO mjiandae!

Naelekea kulamba uteuzi hapo TANESCO mjiandae!

Haaahaa 😆 ☺️ sorry for this uteuzi hauji kwa malimbukeni na mazumbukuku wasio jua kutunza Siri Kama wewe mtoa thread.

Sina wivu ni kwa Nia njema wewe huwezi kutunza Siri hivyo hupaswi kuwa hapo ulipo Wala kupewa teuzi.
 
kwa sledi pendwa unazoshusha humu zisizo na mkia wala miguu jina lako tumekata
 
Mimi sitarajii teuzi MIMI NI CEO wa Maisha yangu.

Mimi ni BOSS KUBWA ☺️😆😁 Sorry to say brother ngoja ni sign off kwenye hii THREAD YAKO.

KILA LAKHELI BWANA MNGOJA TEUZI USIYE NA SIRI.
Kwa hiyo kutunza Siri hakujakusaidia sio?
 
Haaahaa 😆 ☺️ sorry for this uteuzi hauji kwa malimbukeni na mazumbukuku wasio jua kutunza Siri Kama wewe mtoa thread.

Sina wivu ni kwa Nia njema wewe huwezi kutunza Siri hivyo hupaswi kuwa hapo ulipo Wala kupewa teuzi.
Huyu anamharibia mtu ishu zake, si unajua maofisin watu wanawekeana sumu. Hapa mtu kaharishiwa asiteuliwe
 
Nafasi iko covered , ni zamu ya kina mama nao tuone matunda yao.

Tanesco ni dude kubwaaaa mno ukiingia kichwa kichwa unapotea robo ya mwaka wa fedha.
 
Back
Top Bottom