TANESCO kuuzia wananchi nguzo ni sawa?

TANESCO kuuzia wananchi nguzo ni sawa?

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
665
Reaction score
956
Habari ndugu zangu wana jamii forum.Kuna hii ishu ya kununua nguzo za Tanesco kwa ajili ya kuunganishiwa umeme? Maswali yangu ni kama ifuatavyo.
1.Je kuna sheria inayowaruhusu kuwauzia nguzo wananchi??
2.Kama mwananchi amenunua nguzo ni sawa kuwa mali ya Tanesco??
3.Kwa nini wanawaungia watu wengine bila kumfidia aliyenunua nguzo??
Kwa maoni yangu pamoja na maoni nitakayopata kutoka kwa wataalamu naona serikali ya CCM imekuwa inatudhurumu ata kama tanesco inaongozwa na memkwa ila wanapaswa kufanya reforms kuliko kuendelea na hii dhuruma.
 
Habari ndugu zangu wana jamii forum.Kuna hii ishu ya kununua nguzo za Tanesco kwa ajili ya kuunganishiwa umeme? Maswali yangu ni kama ifuatavyo.
1.Je kuna sheria inayowaruhusu kuwauzia nguzo wananchi??
2.Kama mwananchi amenunua nguzo ni sawa kuwa mali ya Tanesco??
3.Kwa nini wanawaungia watu wengine bila kumfidia aliyenunua nguzo??
Kwa maoni yangu pamoja na maoni nitakayopata kutoka kwa wataalamu naona serikali ya CCM imekuwa inatudhurumu ata kama tanesco inaongozwa na memkwa ila wanapaswa kufanya reforms kuliko kuendelea na hii dhuruma.
Siyo sawa, nadhani TLS na wanasheria binafsi waipeleke mahakamani!
Relief sought:
1. Nguzo ni mali ya tanesco, si haki kuilipia mteja.
2. Wakituuzia basi iwe mali yangu. Akitaka mtu kuchota umeme anilipe mimi
3. Lastly mtu akitaka kuchota umeme kutoka kwenye hiyo nguzo anilipe mimi kwa viwango ambavyo tanesco watakuwa wameviweka kwa makubaliano mpaka hela zangu ziishe, then nguzo iwe mali yao
 
Back
Top Bottom