tamaa

Tammas is the first album by Samir Joubran duo with his brother Wissam Joubran, released in 2003 labelled "daquí", by Harmonia Mundi.

View More On Wikipedia.org
  1. Kong xin cai

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni nchi ya amani, tusikubali kutuika kwa maslai ya watu wengine

    🥲🥲
  2. Upepo wa Pesa

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Sijaenda kupiga kura baada ya kukumbuka faulu za uchaguzi wa 2020

    Nakumbuka mwaka 2020 nilipoenda kupiga kura nilishangaa yafuatayo. 1. Mpinzani niliyempigia kura hakupata kura hata moja. 2. Baada ya siku kama nne hivi nilionana na rafiki yangu ambaye naye alikua wakala kwenye moja ya vituo (sio nilichopigiankura) alichoniambia ni kuwa kwanza walikula kiapo...
  3. Red black

    JamiiForums Tanzania Wataalamu : Cryosleep ina_faida yoyote kwa binadamu?

    Cryogenic pod (short : cryopod) ni single device iliyotengenezwa kitaalamu to freeze a person in cryogenic suspension. A cryopod imeundwa na vifaa vyote kwaajili ya kumgandisha mtu kwenye cryogenic sleep na kumuamsha tena. karibu kwa mjadala;
  4. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto afutilia mbali mkataba wa kujenga njia za umeme na kupanua Uwanja wa Ndege wa JKIA kati ya Kenya na Adani Group

    Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao...
  5. Maleven

    JamiiForums Tanzania Watanzania wana tamaa sana kwenye biashara za mtandaoni

    Mfani rj45 connector ni 200 madukani ikizidi 500, mtu anauza 1500 au 2000 Kifaa ambacho dukan ni elf 65, mtu anaweka 120,000. Kifupi wanaweka bei mara mbili ya inavyokua kawaida, watu wanatamaa sana.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Hongera Waziri Mkuu kwa kuagiza mmiliki wa jengo akamatwe, tamaa imemponza

    Naishukuru sana serikali kwa kuchukua hatua dhidi ya mmiliki wa jengo, naomba kuisaidia Jeshi la Polisi kuendelea kusaka taarifa zaidi za tukio hilo lakini kinachosemwa pale kariakoo na watu mbalimbali kisipuuzwe. Mimi nimesikia watu wakisema kuwa mmiliki wa jengo hilo alifanya tamaa, kwamba...
  7. Man Middo tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tamaa ya kutaka Mwanamke aliyenizidi umri ilivyonitokea puani

    Nimeiba namba za lishangazi zikaja kunitia aibu. Mama mmoja kwa jina la Ms mwakalebela alimuelewa rafiki yangu Edga, huyu rafiki yangu alikua anauza duka moja maeneo ya Salasala ambako huyu mama ndio anakoishi. Edga alikabidhiwa duka na boss mmoja kwa jina Atalu, huyu jamaa hakua wale maboss...
  8. Last_Joker

    JamiiForums Tanzania Niaje Kuwa na ‘Side Hustle’? Kutafuta Hela Zaidi au ni Kukosa Tamaa?

    Siku hizi imekuwa kawaida kusikia watu wakijisifia wana ‘side hustle’ – kazi ya ziada mbali na ajira yao ya kudumu. Swali linakuja, hivi kuwa na ‘side hustle’ ni kutafuta hela ya ziada kwa maisha bora au ni tamaa tu ya kutoridhika na mshahara wa mwezi? Kila mtu anapambana kutafuta hela za...
  9. Fallback

    JamiiForums Tanzania USALITI NA TAMAA

    Bila Salamu. Ukitaka chukua ukitaka acha. Hapa naelezea kitu kimoja tu kwa ufupi. Lakini kitu hiki kimoja kina manufaa makubwa sana kwako. Unaweza ukadharau hichi ninachokuambia wewe msomaji ila usilolijua ni kwamba nyoka mdogo ndie mwenye sumu kali ya kukuua haraka zaidi kuliko nyoka mkubwa...
  10. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dada zetu tamaa mbele

    MKAKA: Mambo.? MDADA:- Poa MKAKA: Pandezipi? MDADA:- Dodoma MKAKA: Unasoma? MDADA:- Ndio MKAKA: Hakika nimeona picture zako vile umedamshi nimetokea kukupenda ghafla! MDADA:- Una kazi gani? MKAKA: Me Headmaster wa Igunga secondry school. MDADA:- Wao upo sahihi kweli kunipenda mie na najisikia...
  11. Massawejr

    JamiiForums Tanzania Ni nini chanzo cha vijana wengi kuwa na tamaa

    Muda mwingi nimekuwa nikikaa na kuwaza kuhusu hili swala la vijana wengi kuwa na tamaa. Tumekuta vijana wengi wakiwa wanaingia katika wimbi kubwa la majanga na hasa ni tamaa, Tamaa imefanya vina wengi wakumbwe na majanga mbalimbali kama magonjwa na wengine tunaona wakiwa wanapoteza maisha...
  12. Mwanongwa

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Wananchi Mbeya Jiji ni kama wamekata tamaa ya uchaguzi

    Licha ya viongozi wa vyama na serikali kuhamasisha Wananchi kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la Kupiga Kura, hali ni tofauti na matarajio yao. Wananchi wamekuwa na mwitikio mdogo sana katika zoezi hilo na hii ni kutokana na Wananchi kuona hakuna umuhimu wa kupiga kura. Nimepata bahati ya...
  13. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi Mwanamke au Mwanaume wa ndoto yako yupoje? Ulishawahi kumpata au ulishakata tamaa kumpata?

    Kama ilivyoandikwa Mwanamke au mwanaume wa ndoto yako Bado yupo? Ana exist Ha- exist Unae? Huna? Anafananaje? Au ushakata tamaa?
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Milo mitatu kama hufanyi kazi ngumu ni tamaa na ulafi tu

    Kwanza tufahamu utaratibu wa milo mitatu(breakfast, lunch na dinner) ni utamaduni wa magharibi ulioibuka karne ya 17 kutokana na mambo mengi mojawapo ikiwa ni mapinduzi ya viwanda yaliyowafanya wafanyakazi wanaofanya kazi ngumu wahitaji kula mara nyingi kuhimili kazi ngumu. Kabla ya hapo...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhali kwa wenye mamlaka: Watu wamekataa tamaa na hawaogopi tena risasi wala kukaa mahabusu au kwenda jela

    Jana niliweka uzi hapa nikionya watawala kuwa unyanyasaji ukizidi, unafanya watu wafike point of no return na wanakuwa tayari kwa lolote: kuuwawa, kuumiziwa, kufungwa jela, n.k. Nilisema kadri watu wanavyouwawa, kuteswa, kupotezwa, n.k, wanaobaki wanajengea ujasiri na wanafikia hatua wanaona...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Acheni Kuzuga hapa Wote mlimpenda kwa Tamaa zenu za Hela zake na baada ya 'Kuwatifua' na kuona hamna Jipya akawaacha na leo mnajifanya kuwa Marafiki

    Kama utani vile, waigizaji nyota wawili wa Bongo Movie, Kajala Masanja na Jacklyne Wolper wamejikuta wakimaliza bifu walilokuwa nalo kutokana na kila mmoja kuwahi kutoka na staa wa Bongo Flava, Harmonize baada ya kukutana katika pati la siku ya kuzaliwa ya mtoto wa Leah Richard ‘Lamata’. Wawili...
  17. Ben Zen Tarot

    JamiiForums Tanzania Msije kujaribu kukata tamaa

    Usimdharau mtu hata kwenye simu.
  18. G

    JamiiForums Tanzania Waafrika hatuna kisingizio cha maendeleo yetu duni, Mwafrika ana tamaa, mbinafsi na akishiba hamjui mwenye njaa,

    Wala hakuna kisingizio cha ukoloni, nchi kibao zikiwemo india, korea kusini, China, n.k. zilitawaliwa lakini leo zipo mbali mno Msione kuna hizi kelele za viongozi wanasema nchi ipo salama, uchumi upo vizuri, n.k. Ni kwamba kwao mambo yakiwa mazuri hawana motivation ya kusaidia wengine wenye...
  19. U

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kutaja majibu ya kukatisha tamaa, ya hovyo au kuchefua ulowahi kuyapata kutoka kwa shangazi zako

    Wadau hamjamboni nyote? Je umewahi pata majibu ya hovyo na kukatisha tamaa kutoka kwa shangazi yako/zako? Ulichukua hatua gani? Karibu utupe uzoefu Tahadhari usitaje jina Wala sehemu anayeishi shangaziyo
  20. ngara23

    JamiiForums Tanzania Azam FC wanacheza kama wamekata tamaa, na hivi ndo mwanzo wa msimu

    Azam Kwa usajili walifanya kuwaleta wa Colombia tulidhani watatoa changamoto Kwa Yanga kumbe ndo Iko uji hivi. Azam fc wamekata tamaa Wanacheza kama wachovu Kweli kweli. Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya JKT TANZANIA Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target...
Back
Top Bottom