taifa stars

The Tanzania national football team (Swahili: Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania) represents Tanzania in men's international football and is controlled by the Tanzania Football Federation, the governing body for football in Tanzania, Tanzania's home ground is Benjamin Mkapa National Stadium in Dar-es-Salaam and theirhead coach is Kim Poulsen from Denmark. They are colloquially known as the Taifa Stars. Tanzania has never qualified for the FIFA World Cup. Before uniting with Zanzibar, the team played as the Tanganyika national football team, The team represents both FIFA and Confederation of African Football (CAF).
The island of Zanzibar, part of Tanzania (and once an independent nation), is also an associate member of CAF and has played matches with other nations, but is not eligible to enter the World Cup or Africa Cup of Nations. See Zanzibar national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. fimboyaukwaju

    Rais Samia nakushauri kesho kawatembelee Taifa Stars kambini kwao

    Rais Samia kesho jioni nenda kambini kwao,ukawatie hamasa vijana ili wacheze kufa kupona na kuifunga Morocco.Vijana wakikuona kambini kwao,watapandisha mori sana
  2. PLOII

    Taifa Stars ni timu yetu Fahari yetu; Nina Tickets 1000 Shabiki wa Stars DM nikutumie plus usafiri upo

    Hello Taifa Stars Fans ! Wadau tuna tukio Zito na zuri na uzuri wake ni kwa sababu ya kumtupa Morocco nje ya CHAN2024. Binafsi nimeandaa Tickets 1000 plus Usafiri kwa ajili ya mashabiki lengo ni kushangilia hatuendi kukaa Kwenye viti wala kusinzia. Kwa wale ambao wapo vizuri kiafya maana...
  3. GENTAMYCINE

    Kuichukia Taifa Stars kwakuwa tu unamchukia Rais Samia na CCM si tu ni Ushamba bali pia ni Upumbavu uliovuka mipaka

    Anayecheza pale ni Rais Samia au Chama Cha Mapinduzi? Hivi ni kwanini kila Kukicha tu Akili za baadhi ya Watanzania zinazidi tu kwenda mrama na kutia Aibu? GENTAMYCINE naweza kuwa kweli sipendezwi na baadhi ya mambo afanyayo Rais Samia na Chama cha CCM lakini siwezi kuacha Kuishabikia Timu yangu...
  4. Z

    Taifa stars mkiangalia mechi kati ya Uganda na Afrika kusini mtajifunza kitu

    Ushauri wa bure kwa makocha pamoja na wachezaji wetu wa Taifa Stars, pateni muda kisha tizameni lwa umakini mechi iliyo pogwa usiku huu kati ya jirani zetu Waganda na Wajukuu wa Mandele mtajifunza mambo mengi sana ambayo yatawaongezea kitu kuelekea robo fainali. Pia kwa upande wetu sisi...
  5. PLOII

    Taifa Stars tumepewa jaribu kubwa sana; Morocco ni Timu yenye matumizi makubwa ya akili

    Umofia Wadau! Group A: i). Kenya ii). Morocco Kenya itacheza na Madagascar hapa Kenya ina uhakika wa kucheza nusu Fainali. Ila kwa upande wa Timu yetu ambayo kiukweli Coach hajui kupanga wachezaji kwa uwezo wao pia timu yetu ina back passes nyingi with poor game control. Tuna makosa mengi sana...
  6. Daraja2

    Mashabiki wa Taifa Stars baadhi acheni uzwazwa

    Jibuni hili swali ; KENYA v/s MOROCCO nani alifungwa ? Acheni kukatisha watu tamaa likiwemo benchi la ufundi. Kama wewe ni mzalendo wa kweli toa maoni yako hapa tutayafanyia kazi "Kama yanatekelezeka" "KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE..................."
  7. GENTAMYCINE

    Tunaenda Robo Fainali ya CHAN 2024, ila huu ukweli kuwa Taifa Stars ni DHAIFU lazima usemwe. Kenya na Uganda wako vyema Kiufundi kuliko Sisi

    Kwakuwa hata Ibada ya Katoliki niliyohudhuria hii leo inasema kuhusu Mtume Jeremiah alivyochukiwa na kuadhibiwa kwa kuwa Mkweli hata Mimi GENTAMYCINE kama kawaida yangu ya kuwa Msema Ukweli Maishani na hapa JamiiForums kwa kujiamini kabisa nasema Taifa Stars bado si timu Shindani CHAN 2024...
  8. GENTAMYCINE

    Huyu Mchezaji wa Taifa Stars PIPINO JR anakimbia kimbia tu Uwanjani hana Tija

    Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira. Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini. Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe...
  9. S

    Mambo 10 Niliyoyaona Stars Ikiiangamiza Madagascar Huku Nikihamasisha Watanzania Kulipa Kodi KWa Maendeleo Yetu

    1. Mambo 10 yasipoanza na uwezo wa Clement Mzize itakuwa sio kweli, leo ameonyesha uwezo mkubwa sanaaaa na Kama angeongeza umakini kidogo tu angeondoka na ball leo. 2. Tanzania Ina viungo wengi sana wa chini tena wana uwezo mkubwa kushinda Abdulrazak Hamza, wapo Andambwile, Mkude, Sure Boy...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Hongera Taifa Stars kufuzu robo fainali ni historia kubwa sana kwa Taifa

    Hongereni wachezaji, bechi la ufundi na uongozi kiujumla kwa kazi nzuri ya mliifanya hadi kufika hapa! Si kazi rahisi ni kujitoa kwa wachezaji na kujipathamani wao na kujiuza katika soka zaidi. Ule Usimba na Uyanga aupo ndani ya wachezaji wote wanajitoa kufanya walichotumwa na kocha wao na...
  11. DuaZaMama

    FT' Tanzania 2-1 Madagascar, Tanzania imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya Robo Fainali CHAN 2024

    Taifa Stars kuivaa Madagascar leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani leo jioni kukabiliana na timu ya taifa ya Madagascar kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Mchezo huu ni wa tatu mfululizo kwa Stars katika...
  12. GENTAMYCINE

    Kocha wa Taifa Stars Hemed Morocco iwe mwanzo na mwisho Kujaribisha Wachezaji kama PIPINO JR katika Mechi muhimu na za Maamuzi

    Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE na huu Uzee wangu wote nikipasha kisawasawa kwa Wiki Mbili tu ukinipambanisha na huyu Mchezaji PIPINO JR aliyeniboa sana Juzi namchukulia namba na bado nazima viuri sana Dimba la Juu. Mpaka mnaona tunachambua Mpira na hadu kuwa Washindi wa Jukwaa la Michezo hapa...
  13. tonicimmobility

    Prof. Palamagamba Kabudi aikabidhi Taifa Stars milioni 20

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiikabidhi Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu (Taifa Stars) kitita cha shilingi milioni 20 (Goli la Mama) baada ya kuifunga Burkina Faso 2 - 0 katika ufunguzi wa Mashindano ya CHAN Agosti 2, 2024 katika Uwanja wa Benjamin...
  14. K

    Pongezi kwa Taifa Stars

    Jana usiku kulikuwa na ufunguzi wa michezo ya CHAN baina ya Taifa stars na Burkina Fasso. Hongereni sana Taifa Stars kwa kufanikwa kuwafunga timu ya Burkina Fasso magoli mawili kwa sifuri. Jana timu ilicheza kwa maelewano mazuri na ninatumaini kwa michezo inayofuata hawatatuangusha Watanzania...
  15. R

    RC Albert Chalamila akiyarudi usiku wa Ushindi wa Taifa Stars dhidi ya Burkina Faso

    Wakuu, Kumbe Mkuu wa Mkoa yupo vizuri hadi pande hizi, si kwenye Siasa tu Ila si kwa hii miondoko, sijui jamaa posho zimezidi 😂 😂 😂 ni miondoko ya Miso misondo umepigaje apo
  16. P

    MATOKEO YA GOLI LA MAMA: TAIFA STARS WAANZA CHAN KIBABE

    Timu ya Taifa ya wanaume ya mpira wa miguu wametoa burudani la kibabe na kuwa washindi dhidi ya timu ya Burkinafaso. Nakubaliana na huu msemo kuwa msione vyaelea, vimeundwa. Msemo huu unajidhihirisha baada ya mama kuwekeza kwenye mpira kwa kutoa motisha kwa wafungaji kitu ambacho kimewaongezea...
  17. Meja Jenerali Isamuhyo

    Waziri Mkuu Majaliwa yupo uwanjani kuwasapoti Taifa Stars lakini anaonekana ana mawazo sana

    Imeonyeshwa picha ya PM Majaliwa akiwa uwanja wa Benjamin Mkapa akifuatilia na kuisapoti mechi ya Taifa Stars kwenye mashindano ya CHAN. Anaonekana yu katika lindi la mawazo, amepoa sana. Je ameshindwa ku-move on?
  18. Waufukweni

    PICHA: Mrisho Ngasa, Victor Wanyama na Denis Onyango kwenye Uzinduzi rasmi wa Kombe la CAF CHAN 2024

    Kivumbi cha Mashindano ya CHAN 2024 kuanza Jumamosi hii, Agosti 2,2025, Tanzania ikifungua dhidi ya Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku Magwiji wa soka Mrisho Ngasa, Victor Wanyama na Denis Onyango wakishiriki katika uzinduzi rasmi wa Kombe la TotalEnergies CAF CHAN Soma zaidi...
  19. Waufukweni

    Rais Samia: Taifa Stars ikishinda kuna Tuzo ya Mama

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka Watanzania kuwakaribisha Wageni wanaokuja kushiriki katika Mashindano ya CHAN Barani Afrika yatakayofunguliwa kesho August 2 kwa kuhimiza Utulivu, Heshima, Ukarimu na kwa Amani. Soma zaidi: Rais Samia kuipa Taifa Stars Tsh. Bilioni 1 ikishinda...
  20. Metronidazole 400mg

    Taifa Stars Tengenezeni timu yenu kumzunguka Abdul Suleiman 'sopu'

    Kwanini? Ndio namba yake asilia,, ni Top top clinical finisher akicheza as final strikers Sio winger,, kama nilivyo eleza hapo juu,,, Hiki ni kipaji kikubwa sana cha hapa bongo ambacho tunalichukulia poa Nimemaliza
Back
Top Bottom