Waziri Mkuu Majaliwa yupo uwanjani kuwasapoti Taifa Stars lakini anaonekana ana mawazo sana

Waziri Mkuu Majaliwa yupo uwanjani kuwasapoti Taifa Stars lakini anaonekana ana mawazo sana

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,430
Reaction score
10,202
Imeonyeshwa picha ya PM Majaliwa akiwa uwanja wa Benjamin Mkapa akifuatilia na kuisapoti mechi ya Taifa Stars kwenye mashindano ya CHAN.

Anaonekana yu katika lindi la mawazo, amepoa sana.

Je ameshindwa ku-move on?
 
Ni waziri mkuu ambaye mimi kwa maoni yangu naona hakuachwa akawa waziri mkuu. Labda kwa mambo ya posho/fedha na jina tu.
 
Imeonyeshwa picha ya PM Majaliwa akiwa uwanja wa Benjamin Mkapa akifuatilia na kuisapoti mechi ya Taifa Stars kwenye mashindano ya CHAN.

Anaonekana yu katika lindi la mawazo, amepoa sana.

Je ameshindwa ku-move on?
Mawazo ya nini tena anataka kuoa nini?
 
Mtu anayelipwa 80%ya mshahara wa Waziri Mkuu MAISHA yake yote,

Umejilinganisha naye na kumwona ana mawazo kuliko WEWE,

Nchi Ina vituko hii!
 
Anapanga matumizi ya kiinua mgongo.

KAtika huo mpira kuna fursa kaiona anaifanyia tathmini
 
Mtu anayelipwa 80%ya mshahara wa Waziri Mkuu MAISHA yake yote,

Umejilinganisha naye na kumwona ana mawazo kuliko WEWE,

Nchi Ina vituko hii!
Pesa sio kila kitu ndugu yangu. Unaweza kua nazo halafu ukawa unawaonea wivu wakazi wa Buguruni mnyamani kwa jinsi unavyokosa amani.
Imagine ulitoa roho za watu ili upate cheo au wakati uko kwenye cheo kikubwa kama RPC au RC au DC au OCD au hata mwalimu mkuu au mkuu wa idara au mkurugenzi wa halmashauri (a.k.a mungu mtu) halafu ghafla ukastaafu na mahela kibao lakini kila ukilala unawaota wale ulioshiriki kuwatoa roho, kipindi hicho usiku uko peke yako hata mkeo hataki kuwa na wewe au ulishamuua kwa tamaa ya cheo.
The devil is a liar.
 
Imeonyeshwa picha ya PM Majaliwa akiwa uwanja wa Benjamin Mkapa akifuatilia na kuisapoti mechi ya Taifa Stars kwenye mashindano ya CHAN.

Anaonekana yu katika lindi la mawazo, amepoa sana.

Je ameshindwa ku-move on?
Mkuu ungeweka hata picha.
 
Ajiunge na comrade Polepole wakikomboe chama🐼
 
Back
Top Bottom