Huyu Mchezaji wa Taifa Stars PIPINO JR anakimbia kimbia tu Uwanjani hana Tija

Huyu Mchezaji wa Taifa Stars PIPINO JR anakimbia kimbia tu Uwanjani hana Tija

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,353
Reaction score
127,308
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
 
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
Hizi ndio mada zako mambo ya ukatoliki na gwajima, mndendeule huyawezi
 
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
🤣🤣🤣🤣
Ni hiyo ni transformation braza kutoka utegemezi wa wachezaji walewale akina Mkude, Himid, Mzamiru, Sureboy kwenda kizazi cha wachezaji wapya kama future replacement....sio mbaya

We huoni Gepu kati ya Zimbwe Jr na Paschal Msindo ni kubwa mnoo kiuchezaji...yaani hata hawakaribiani.
Ili mchezaji apevuke kabisa anahitaji CAPS za kimataifa walau 20+

I bet Timu ya Taifa inaenda kupitia kipindi kigumu sana huko mbeleni baada ya retirement za Zimbwe Jr, Mudathiri, Kapombe, Msuva, Feisal, Samatta, Baka na Job

Angalia Cameroon inavyo-suffer leo baada ya kizazi cha akina Song, Eto'o, Geremi, Olembe, Mbouma, Lauren, TChato, Wome, Ndief nk
Leo Cameroon ni wabovu sana..huwezi amini.

Mwisho naitabiria SUDAN kuwa bingwa mpya wa CHAN 2025.
 
🤣🤣🤣🤣
Ni hiyo ni transformation braza kutoka utegemezi wa wachezaji walewale akina Mkude, Himid, Mzamiru, Sureboy kwenda kizazi cha wachezaji wapya kama future replacement....sio mbaya

We huoni Gepu kati ya Zimbwe Jr na Paschal Msindo ni kubwa mnoo kiuchezaji...yaani hata hawakaribiani.
Ili mchezaji apevuke kabisa anahitaji CAPS za kimataifa walau 20+

I bet Timu ya Taifa inaenda kupitia kipindi kigumu sana huko mbeleni baada ya retirement za Zimbwe Jr, Mudathiri, Kapombe, Msuva, Feisal, Samatta, Baka na Job

Angalia Cameroon inavyo-suffer leo baada ya kizazi cha akina Song, Eto'o, Geremi, Olembe, Mbouma, Lauren, TChato, Wome, Ndief nk
Leo Cameroon ni wabovu sana..huwezi amini.

Mwisho naitabiria SUDAN kuwa bingwa mpya wa CHAN 2025.
Natabiri DR CONGO mkuu....
 
🤣🤣🤣🤣
Ni hiyo ni transformation braza kutoka utegemezi wa wachezaji walewale akina Mkude, Himid, Mzamiru, Sureboy kwenda kizazi cha wachezaji wapya kama future replacement....sio mbaya

We huoni Gepu kati ya Zimbwe Jr na Paschal Msindo ni kubwa mnoo kiuchezaji...yaani hata hawakaribiani.
Ili mchezaji apevuke kabisa anahitaji CAPS za kimataifa walau 20+

I bet Timu ya Taifa inaenda kupitia kipindi kigumu sana huko mbeleni baada ya retirement za Zimbwe Jr, Mudathiri, Kapombe, Msuva, Feisal, Samatta, Baka na Job

Angalia Cameroon inavyo-suffer leo baada ya kizazi cha akina Song, Eto'o, Geremi, Olembe, Mbouma, Lauren, TChato, Wome, Ndief nk
Leo Cameroon ni wabovu sana..huwezi amini.

Mwisho naitabiria SUDAN kuwa bingwa mpya wa CHAN 2025.
Ni kweli ila Pipino sidhani kama atabadilika Bora yule dogo wa coastal
 
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
Kuna PINOPINO, SAADUNI , JIMMY very poor. Next time Morocco atafute cream nzuri sio hawa bado wanatafuta ubora
 
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
Ningesema Mimi ningebatizwa ushabiki wa timu ya Chama. Lakini kama huyu ndo Pipino na mbafala wa Kagoma stars basi mwisho ni Robo fainali.
 
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
Wewe post zako nyingi ni za kukosoa,matusi na kunatosha tamaa wengine...Itakua Una roho mbaya Sana punde si punde Utakua mchawi
 
Ni nadra sana kukuta Mchezaji wa Mpira wa Miguu mwenye Matege mabaya kama yake akawa anajua Mpira.

Ilitokea bahati tu kwa Marehemu Ramadhan Lenny kuwa nayo na hakika alikuwa na Kipaji cha hali ya Juu hasa katika Nafasi ya Kiungo wa Juu na cha Chini.

Hebu upesi sana Kocha Hemed Morocco amtoe huyu Mchezaji wa KMC FC PIPINO JR kwani hakuna akifanyacho Uwanjani zaidi ya kurukaruka tu huku kila mara akinyoosha mikono kuwaelekeza Wenzake utadhani Yeye anajua vile Mpira.
Umeiona vizuri Sudan mkuu
Kama Wakongo DR wakiendelea kucheza kwa spirit ya Kikenya kwa Vipaji walivyo navyo,kubeba ndoo uhakika!
 
Back
Top Bottom