taifa stars

The Tanzania national football team (Swahili: Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania) represents Tanzania in men's international football and is controlled by the Tanzania Football Federation, the governing body for football in Tanzania, Tanzania's home ground is Benjamin Mkapa National Stadium in Dar-es-Salaam and theirhead coach is Kim Poulsen from Denmark. They are colloquially known as the Taifa Stars. Tanzania has never qualified for the FIFA World Cup. Before uniting with Zanzibar, the team played as the Tanganyika national football team, The team represents both FIFA and Confederation of African Football (CAF).
The island of Zanzibar, part of Tanzania (and once an independent nation), is also an associate member of CAF and has played matches with other nations, but is not eligible to enter the World Cup or Africa Cup of Nations. See Zanzibar national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. ChekoFagia

    Paul Makonda kuiongoza Taifa Stars AFCON 2025 nchini Morocco

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ndiye ataongoza msafara wa Tanzania katika Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka huu hadi Januari 18, mwakani. Hilo limethibitishwa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...
  2. Damaso

    Goli la Mama, lakini Kombe halionekani: Taifa Stars Kati ya Ahadi na Kampeni

    Kauli ya Serikali kwamba “goli la mama lipo… safari hii tutavunja rekodi” imeamsha mjadala mzito miongoni mwa wadau wa soka nchini. Wakati fainali za AFCON zikikaribia Desemba 21, 2025, matumaini yanapandishwa juu kupitia kauli tamu, zawadi nono na misafara ya wajumbe. Lakini swali la msingi...
  3. Meja Jenerali Isamuhyo

    Julio: Gamondi ana uwezo mkubwa kuliko Hemed Morocco, Taifa Stars itafika nusu fainali ya AFCON

    “Kikubwa tuwaombee (Taifa Stars), Mwenyezi Mungu awasaidie wawe na nguvu ya ushindani. Nafikiri kwasababu bwana Gamondi anauwezo mkubwa kuliko (kocha) Morocco, Juma (Mgunda), kuliko Mimi, naamini kabisa sasa hivi tunaweza kufika Nusu Fainali (ya AFCON), Jamhuri Kihwelu 'Julio' Weka maoni yako🤣
  4. The Burning Spear

    Wito wa Mgomo kutoshabikia Simba ,Yanga na Taifa stars Kuanzia sasa Vijana tumeumizwa mno tusimamie nchi yetu.

    GT Kama Taifa ifike mahali tuwe serious na Taifa letu, zamani tulikuwa tunashangaa kwa nini Kenya mpira si kwa sana hao jamaa wameamua kufocus na nchi yao,sasa ni wakati wetu watanzania tuachane na huu upuuzi wa mpira tusimamae kidete na nchi kuhakikisha wanasiasa hawapati upenyo wakutuibia...
  5. DuaZaMama

    TFF yamfuta kazi kocha Hemed Morocco, Miguel Gamondi Kuiongoza Taifa Stars AFCON nchini Morocco

    Kocha Miguel Gamondi wa Singida Black Stars ametangazwa rasmi anachukua mikoba ya Hemed Seleman aliyekuwa kocha mkuu wa Taifa Stars. Soma Pia: Gamondi kocha mpya Singida Black Stars Miguel Gamondi ataiongoza Taifa Stars kwenye mashindano ya AFCON ya nchini Morocco 🇲🇦 mwezi Disemba.
  6. Inside10

    Gamondi Ateuliwa Kocha Mkuu Taifa Stars, Hemed Moroko Atimuliwa

    Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
  7. T

    Taifa stars tumetia aibu kwa East Afrika kufuzu World Cup

    Nimetazama viwango vya nchi jirani katika mechi zao za kufuzu world cup kanda ya Afrika. Rwanda wanapiga sana ball. Hawa miaka michache ijayo wanaenda kutuacha kama tusipo badilika. Kenya, a new generation unaona kabsa kama nchi wapo serious sana na soka. Changamoto waliozopita zimewapa funzo...
  8. Its Tesha

    Taifa Stars wamewasili Zanzibar kumenyana na Zambia kufuzu kombe la dunia 2026

    Kikosi cha Taifa Stars kimewasili Zanzibar kwa maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia, itakayochezwa Oktoba 8 kwenye Uwanja wa Amaan.
  9. M

    Wachezaji wanaocheza Ulaya wanacheza kwa tahadhari kubwa ili kulinda namba zao huko, waacheni wapige maokoto, kuwaita taifa stars ni kuwasumbua

    Sio kwamba wanacheza chini ya kiwango, uwezo wanao lakini malengo yao yapo kwenye kulinda namba zao timu zao za ulaya, huko ndiko yaliko maisha yao waliyoyawekea matumaini. Kijana wa kitanania kapambana sana hadi katoboa kufika Ulaya halafu umwite Taifa Stars ? hauwezi kuwa serious utegemee...
  10. mwehu ndama

    Taifa stars (kichwa cha mwendawazimu ), Haina makocha bali inawahuni tu na wapiga ramli chonganishi

    Benchi la Taifa stars kichwa cha mwendawazimu, limejaa uswahili Swahili mwingi , watu kama Julio kiwhelu , Juma Mgunda na Hemed Morocco hawafai kuwa hata wafua jezi wa timu ya Taifa .. Hao ni wahuni tu , ujuaji mwingi lakini maarifa sifuri...!!Kocha mkuu amejaa kiburi kisicho na faida , na...
  11. DuaZaMama

    FT' Congo Brazzaville 1-1 Tanzania inaisaka nafasi ya kucheza Kombe la Dunia 2026, Septemba 5, 2025| Saa 1:00 Usiku| Alphonse Massemba

    Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani hii leo kuivaa Congo Brazzaville katika mchezo muhimu wa kufuzu Kombe la Dunia 2026. Mchezo huu ni sehemu ya harakati za Stars kusaka tiketi ya kushiriki fainali za dunia kwa mara ya kwanza katika historia yake. Baada ya mchezo...
  12. GENTAMYCINE

    Vipi lile Disco la Msigwa la jana baada ya Taifa Stars kufungwa na kutolewa lilikuwepo?

    Mnijibu nijue.
  13. GENTAMYCINE

    Simba SC mnataka kumsajili huyu Kipa wa Taifa Stars Yakub je, mna uhakika ataweza kumuweka Mkeka Pin Pin Camara au mnataka tu Warogane?

    Mbona tunae tu Kipa mwingine hapo huyo Dogo Abel na nimemuona ni mzuri tena hata kuliko huyu Yakub. Tuwaeleweje?
  14. S

    Kitendo cha Watanzania wengi kufurahia Taifa Stars kufungwa na Morocco kinapasa kifikishe ujumbe muhimu sana kwa Samia na CCM

    Sidhani kama imewahi kutokea duniani wananchi wengi kufurahia timu yao kufungwa na timu ya tafa jingine katika mashindano makubwa kama haya ya CHAN. Ni jambo la kipekee ambalo linaonyesha kuna jambo kubwa sana linatotupata Watanzania, na hatua za haraka sana zinatakiwa kulirekebisha. Namsihi...
  15. ngara23

    Kwanini Taifa stars haiunganishwi kwenye mfumo wa NIDA ili ishinde Kwa Chama chetu

    Pole alituibia mbinu 1 ya ushindi wa Chama chetu ni kuwa NIDA zote zipo kwenye mfumo wa tume na zimefanya tushinde hata kabla ya uchaguzi Kwanini lakini walisahau kuiunga Taifa stars kwenye huu mfumo ili iwe inaingia uwanjani kucheza ikiwa inaongoza goli 3, na ili iende kuongeza magoli
  16. Zanzibar-ASP

    Nimepata furaha ya ghafla baada ya Morocco kuwatoa Taifa stars kwenye robo fainali ya CHAN 2024

    Naamini sio mimi tu, tupo wengi, ghafla tu nimepata furaha na faraja kubwa baada ya kushuhudia Taifa stars ikipata kipigo mbele ya Morocco baada ya kuchapwa goli moja kwa bila na kutolewa hatua ya robo fainali ya CHAN 2024. Hata sijui ni kwanini, lakini hii hali imetokea automatic tu. Natamani...
  17. M

    Kwa kuwa siasa uchwara zimekithiri michezoni leo naomba Morroco waifungu taifa stars tano bila

    Litakuwa jambo jema sana. Walimu wanaishi vijinini hawana nyumba. Manesi na madaktari wanangaika vijijini kuokoa maisha ya watu. Hakuna anayepewa hata sh tano kama motisha. Leo stars afungwe tano bila
  18. DuaZaMama

    Wachezaji wa Taifa Stars kupewa Viwanja, Golikipa kuvuta Toyota Crown Asiporuhusu goli

    Kuelekea mchezo wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco utakaochezwa leo Agosti 22, 2025 katillka dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Albert Chalamila ametangaza zawadi na motisha zitakazotolewa na uongozi wa mkoa kwa kishirikiana na wadau mbalimbali ili...
  19. Paul dybala

    Jezi zaTaifa stars zinauzwa kiasi gani huko madukani?

    Wakuu,,,samahani kwa alie pitapita huko madukani...jezi ya stars ni Bei Gani?nataka nikaisapoti timu kesho
  20. Waufukweni

    Rais Samia aizawadia Taifa Stars Tsh. Milioni 200 kuelekea mechi na Morocco

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewazadia Taifa Stars shilingi milioni 200 kuelekea mchezo wa robo fainali dhidi ya Morocco, utakaochezwa Ijumaa, Agosti 22, 2025 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Fedha hizo zimewasilishwa na Waziri wa...
Back
Top Bottom