tafadhali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba uko very Knowledgeable, ila you're very Poor in Communicating, lifanyie kazi tafadhali

    Kama kuna Kitu ambacho bila Unafiki au Sanifu au Kukudanganya nakipenda Kwako ni Uwezo wako mkubwa wa Maarifa uliyonayo hasa juu ya Fani yako na Exposure ya Wastani. Ila Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kama kuna tatizo Kubwa ulilonalo ni la Uwasilishaji wa Jambo katika Public (...
  2. Mmawia

    Mtazamo wa Kipanya juu ya mapambano ya kupata Katiba Mpya

    Msanii Kipanya ameamua kujikita kwenye kuwapigania kimawazo Watanzania. Leo hii ameibuka na mustakabali wa mapambano ya kuhitaji katiba mpya baada ya kiongozi wa mpambano huo kufunguliwa mashitaka mahakamani. Tazameni hiyo picha hapa chini ili kwa wenye uelewa zaidi wa habari picha mtupashe zaidi.
  3. peno hasegawa

    Mtanzania aliyebahatika kuiona bajeti ya TARURA 2021/2022 kwa kila halmshauri nchini tafadhali?

    Hali ya Barbara za Halmashauri za wilaya maeneoya vijijini NCHINI ni mbaya. Kuna uwezekano TARURA haijapewa fedha kuanzia July 2020 Kwa ajili ya bajeti ya 2021/2022. Au serikali inasubiri Nini kutatua changamoto ya Barabara za vijijini? CCM imenyamaza kimya ilihali waliomba kura na kupewa kura...
  4. SPYMATE

    Msaada kudecypt Aeur file

    Don't worry, you can return all your files! All your files like pictures, databases, documents and other important are encrypted with strongest encryption and unique key. The only method of recovering files is to purchase decrypt tool and unique key for you. This software will decrypt all your...
  5. dump

    Je? Mnafanyaje usafi kwa bibi na hayo makucha marefu vile?

    Naomba wanawake mnijibu swali langu, hasa kwa wale mnao weka kucha za bandia halafu ndefu kupitiliza je? Mnafanyaje usafi kwa bibi na hayo makucha marefu vile?
  6. peno hasegawa

    Serikali itenge fedha za kukarabati shule za Msingi nchi nzima, hali ya shule hizo ni mbaya

    Kwenye bajeti ya Serikali juu 2021/22 sijaona fedha zilizotengwa na Serikali kukarabati shule za Msingi Tanzania. Shule nyingi za Msingi Tanzania sasa zimekuwa magofu. Hapa Kilosa Mkoa wa Morogoro kuna shule ya msingi inaanguka.
  7. Mtumaini Mungu

    Ajira ya Muda

    Habari Wakubwa! Mimi ni kijana wa miaka 27, ninasoma UTABIBU nipo MWAKA wa pili sasa. NINAOMBA KUPEWA AJIRA/KIBARUA CHA MUDA ILI NIPATE ADA YA KUJISOMESHA MWAKA WA MWISHO. Hivi sasa tuko kwenye maandalizi ya MTIHANI wa MWISHO wa MWAKA wa pili, (Tabibu Msaidizi), mitihani hii itaisha mwezi wa...
  8. mirindimo

    Wanadiplomasia na wataalamu naomba mnisaidie gharama za daraja kama hili tafadhali

    Naombeni makadirio yenu ili niingize kwenye bajeti unahisi kama hichi kidaraja kitagharimu kiasi gani ?
  9. GENTAMYCINE

    Simba SC tafadhali hili la Yanga SC Kumkataa Mwamuzi wa ASFC Final Ahmed Aragije liangalieni 'Kiujasusi' zaidi

    Kwa Taarifa ambazo nimezipata na GENTAMYCINE naendelea Kuzithibitisha ni kwamba Kitendo hiki cha Yanga SC Kumkataa Mwamuzi (Referee) Ahmed Aragije kutokea Mkoani Manyara kina Fumbo kubwa na Mtego kwa Simba SC. Nimedokezwa (za chini chini) kuwa kutokana na Yanga SC (hasa kupitia Mdhamini wao...
  10. M

    Matokeo haya unaweza kusoma kozi ya Clinical Medicine?

    Ninamdogo Wangu Amemaliza Form six Amesoma CBG lakini Matokeo yake ni kama ifuatavyo Chem:E Bios:E Geog D Bam:E Gs:E Amekosa sifa zakwenda chuo kikuu so inabidi akasome diploma na Muhusika Anapenda kusoma course ya Clinical Medicine so Binafsi sinauelewa juu ya vyuo vya sayansi Naombeni...
  11. Baba Rhobi

    Wazoefu wa Aliexpress mpitie hapa mtoe msaada wa haraka tafadhali

    Wakuu Habari ya nyie, nahitaji kuagiza simu aliexpress ila sio mzoefu sana, make nilipoagiza mara ya kwanza kwa ajili ya kupata uzoefu ndo nilibaki njia panda, niliagiza kitu cha dollar 1.5 tar 01/06 mpaka leo tar 20/07 inasoma departed country of origin shipping method cannaiao economy global...
  12. GENTAMYCINE

    Vibaka wa 'Bongo' msiige hii tafadhali kwani mtakufa vibaya sana

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida Askari wa Barabarani ( Traffic Police ) Mmoja huko nchini Kenya amejikuta akiibiwa Simu kwa 'Kuchomolewa' na Kibaka wakati akiwa anaongoza Magari. Nimewaonya Vibaka wa Bongo ( Tanzania ) nikiwa najua kuwa 'Matrafiki' wengi wa Tanzania huwa nakutana nao sana...
  13. Lyetu

    Kama umewahi kutumia simu aina ya LG Velvet 5G G900UM maoni yako yanahitajika tafadhali

    Habari za mchana wapendwa katika bwana. Kwakuwa hii ni sehemu ambayo inatukutanisha watu wenye uzoefu wa vitu na mambo mbali mbali, basi namimi nakuja kwenu leo kuomba maoni kuhusu hii simu LG Velvet 5G G900UM. Kama umewahi kuitumia vipi kuhusu ubora wake haswa Speed, Kutunza Charge kwenye...
  14. Babumawe

    Uzi maalum wa kupata connection za ajira na machimbo mengine

    Hivi sasa kutafuta ajira Tanzania ni kazi ngumu sana. Ukweli ni kwamba kuna watu wengi zaidi wanatafuta ajira lakini wanakosa connection ya watu either hafahamiki na watu wenye potential au hata baadhi ya machimbo ya kwenda kujishikiza hayajui. Unakuta mtu kamaliza chuo hana hata pa kuanzia au...
  15. Shujaa Mwendazake

    Askofu Cheyo zama za kujikomba zimeshapita, tafadhali punguzeni sifa nje ya uhalisia

    "Tangu uingie madarakani, tumeshuhudia serikali yako ikichukua hatua dhidi ya viongozi mbalimbali wenye tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka." Askofu Alinikisye Cheyo. My Take: Ukiondoa Kakoko na Sabaya who is the other? Kasome ripoti ya CAG halafu mngemuuliza mama vipi kuhusu kina...
  16. King Loto

    Kwa Kijana yeyote mwenye uhitaji wa kazi hii tafadhali nicheki

    Okay Kwema Wakuu Mi ninacho amini hali zetu haziko sawa katika haya maisha na wapo tuliotoka familia duni au tunaishi kwa rafiki au hata ndugu kwa masimango na manyanyaso makubwa. Mbali zaidi wapo wanaotakwa Kingono ili wapewe kazi kwa hawa kina dada zetu na kina kaka siku hizi japo kwa uchache...
  17. King David133

    Naomba msaada kwenye ajira portal

    Nimejaribu kujisajili kwenye ajira portal. Kuna kipengele kimeniletea shida nimeshidwa kuelewa nifanye vipi. Kipengele cha academic qualifications. Msaada wenu tafadhali🙌🙏🏻
  18. A

    Msaada tafadhali, mabaka meusi usoni niyaondoaje?

    Kwa asili mimi ni mweupe lakini kuna hali ya weusi kwenye paji la uso hali inayofanya kuwa na rangi mbili. Kwa mtaalamu mwenye uzoefu na hii hali maana JF ina watanashati wengi tuelimishane ni sabuni au mafuta gani yataondoa hii hali ya mabaka, nimejaribu apricot scub sioni matokeo. Nawasilisha.
  19. mpndz

    Mgonjwa wangu anapata maumivu ya bega kwa miezi 3

    Habar wana jf na wataalam wa afya kwa ujumla. Nina mgonjwa kwa miezi 3 amekuwa akigugumia maumivu bega la upande wa kulia. Naomba ushauri wenu please kwani nimejaribu sana kumpa mazoezi ya kawaida na massage lakin juhudi hazijazaa matunda
  20. GENTAMYCINE

    Watanzania tuamueni lililosahihi hapa tafadhali

    Je, tung'ang'anie Katiba Mpya huku Uchumi wetu Ukidorora au tuimarishe na tukuze Kwanza Uchumi wetu na Katiba Mpya tuwaachie Vizazi vijavyo? Leo nitakuwa ninasoma tu Maoni yenu.
Back
Top Bottom