Tabia is a small town and rural commune in Taroudannt Province of the Souss-Massa-Drâa region of Morocco. At the time of the 2004 census, the commune had a total population of 2329 people living in 487 households.
Mama kasema tusicheze na ninyi mikia mna tabia mbaya. Mna tabia chafu hatuchezi na ninyi. Na huko hatuji. Hatutaki mna mchezo mbaya.
HATUCHEZI, HATUCHEZI NA HATUCHEZI NA NINYI NG'OOOO HATA MSEMEJE HATUTAKI. HATUCHEZI.
Kama mada inavyojieleza
Naomba kufahamishwa kinaga ubaga tabia za wanawake wa Kihangaza kutoka kule Ngara mkoani Kagera
Kabla sijafanya maamuzi ya kuchukua jiko.
Kukubaliana na Kikwazo cha Mabadiliko: Uchanganuzi wa Tabia za Binadamu na Uundaji wa Mabadiliko ya Kudumu
Ikiwa wewe ni kama watu wengi, kuna pengo kati ya mtu ulivyo sasa na mtu unayetamani kuwa. Kuna vitu vidogo unavyofikiria unapaswa kufanya na mambo makubwa unayotakiwa kufikia. Kutoka kwa...
karibuni
kuacha
kuacha pombe
kujenga tabia mpya
kujiboresha
kujitambua
life habits
maamuzi ya maisha
maendeleo binafsi
mafanikio binafsi
motivation
nafsi
nguvu ya akili
nyingine
pombe
psychology
sayansi ya tabia
self improvement
tabiatabia njema
tunakwama
ubongo wa binadamu
umalaya
wapi
Kama ndugu zenu wanazidi kutekwa na watekaji mnawajua watekeni na wao ili tabia hii ikome.
Hatupaswi kuomba ruhusa kwenye masuala ya kujitetea na usalama wetu kama watekaji mnawajua na wanazidi kuwaangamizieni wapendwa wenu na msaada wa kisheria hampati wala nini watekeni na hao watekaji ili...
Muhali gani Wadau;
Kiukweli kila mmoja wetu humu na nje ya humu JF alishaipitia hii hatua ktk ukuaji wake, ndio kama ukaribisho wa kuingia kwenye utu uzima.
Kila mmoja ana style yake ambayo alibadilika kitabia, Wapo ambao balehe yao iliwatuma Ujeuri, Kiburi, Kujiamini kuliko kawaida, Ubabe, na...
Tukatae Tabia ya Naamani
Naamani ni Nani
Katika kitabu cha 2Wafalme 5, tunasoma uponyaji wa mtu mmoja aliyeitwa Naamani, aliyekuwa Jemedari wa jeshi la Mfalme wa Shamu. Huyu Naamani alikuwa ni mtu mwenye ukoma ingawa alikuwa shujaa wa vita.
Siku moja alienda kutafuta uponyaji kutoka kwa Mungu...
Sometimes to understand others peoples point of view, you have to internalize theirs and then judging them accordingly.
kwa mfao we mwanaume ungekua mwanamke, je?
usingeomba hela?
ungetulia na mwanaume mmoja?
ungemvumilia mwanaume asiye na pesa kisha ana gubu?
ungemsubiri mtu ambae amefungwa...
Baada ya mbunge Taiduna kuwaita Watanganyika " kenge" wa ndani.
Wacha tujadili tabia za kenge, usikute kweli sisi Watanganyika ni kenge
1. Kenge ni kiumbe kinapenda kujifananisha na mamba.
Hapa mamba na wale wakubwa au machawa bila shaka hili linawakera
2 Kwenye ana kiherehere
Licha ya kuishi...
Hizo tabia ni kama zifuatazo ambazo zitapigwa marufuku
Vigoma
Baikoko
Vigodoro
Hashtag za ajabu ajabu mfano tunaendeleza tabia mbaya
Malaya kujianika barabarani
Gesti na bar kujengwa bila utaratibu
Habari wakuu
Ni kawaida hapa Tanzania kuwasikia wabunge wakimsifia Mh Raisi na ku amplify kile alichokisema ktk hotuba yake yeyote
Hii hali tulishaizoea,
Mh Raisi hakupendezwa na ujio wa wanaharakati wa kenya nchini, narudia tena ujio wa wanaharakati wa kenya nchini kwetu
Hivi sasa wabunge...
Rashda naandika
Katika siku za hivi karibuni, suala la wanaharakati kutoka nje ya nchi kuingilia mambo ya ndani ya Tanzania limezua gumzo. Mwanasiasa mashuhuri kutoka Kenya, Martha Karua, pamoja na wenzake, walijaribu kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu. Lakini...
Hapa JF kuna wale vibaka wanaopenda kusifia kila jambo hata kama ni baya.
Kuna hawa wanawake walikuwa maraisi yani matendo yao ni kama binadamu mmoja.
Waliua wanaharaksti,waliuza rasilimali,waliyumbisha nchi zao kimaendeleo.
Wanao waliishi utazani ndio wenye serikali.
Haw hapa.
aung san suu...
Kuna baadhi ya mambo tunaanza kuyaona kama ni kawaida kumbe ni kutweza utu wa mwanadamu.
Polisi anakulinda live kwenye mkutano halafu unaamua kumdhalilisha.
tabia ya wanawake kumtegemea mwanaume Kwa 100% imekuwa ni tabia ambaya wameifanya Kama sehemu ya maisha Yao. Unakuta mwanamke anamtegemea mwanaume, boyfriend/mumewe Kwa kila kitu.
Mwanamke wa Aina hii, anajiweka kwenye situation tofauti, either apate kila anachohitaji Kwa mumewe, apate...
Jana nimesikiliza kwa makini sana wasifu wa aliyekuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri mkuu marehemu Cleopa Msuya.
Nilibaki mdomo wazi baada ya kusikia baadhi ya SIFA zake zikisemwa mbele ya Rais na viongozi wengine wa serikali na CCM.
Nilivutiwa sana na kauli mbili ambazo zilionyesha...
Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)
Tafadhali BRT rejeleeni muongozo wa waundaji wa basi zenu. Muongozo unasema abiria waketi katika seats na sio kusimama, vile vile eneo la milango na korido...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.