Jinsi maji yalivyompotezea Utu na Masomo dada mwanachuo

UTU ni chanzo Cha maendeleo katika jamii

  • maendeleo katika jamii huletwa na utu

  • Utu ni sifa muhimu Kwa maendeleo


Results are only viewable after voting.

Abuunuuman

Member
Sep 11, 2021
20
29
Wazazi ni watu pekee wanaopitia ugumu wa maisha ya watoto wao wawapo vyuoni wakitafuta elimu

Matarajio ya Kila mzazi ni mafanikio Kwa mtoto wake juu ya kile kilichompeleka chuoni kama egemeo la utafutaji wake hapo Baadae

Bahati mbaya iliyoje ni mtoto huyu ambaye anajulikana kama mwanachuo kutowajibika ipasavyo katika kusoma na Baadae huona ndio nafasi ya yeye kuishi maisha yake

Miaka kadhaa iliyopita katika chuo Cha afya kimoja hapa tanzania macho yangu yalishuhudia mwanadada mwenye asili ya mikoa ya kati ya Tanzania aliyekwenda Jiji la kibiashara la bongo kusomea taaluma Fulani

Dada mweledi na mwenye maadili mazuri ya kitamaduni za huko kwao aliyelelewa vema na wazee wake akiwa ni mwanachuo rasmi katika chuo hicho

Aliamka asubuhi Moja kuyasaka maji ya kupikia na hatimaye kuyakosa ikambidi akaazime maji Kwa wanachuo wenza wa maeneo hayo

Ni bahati mbaya sana Kwa yaliyomsibu Binti huyu

Haikuwa rahisi macho yangu kuvumilia mkasa huu na kamwe Hadi leo sitousahau

Katika kata hiyo yenye adha ya maji na ukame ambapo Kwa kipindi hicho ndoo ndogo ya maji chumvi iliuzwa Kwa shilingi mia mbili huku ya maji tamu ikiuzwa Kwa shilingi mia nne

Haikuwa rahisi Kwa Binti huyu kumudu gharama ya shilingi mia nne ya maji tamu ambapo ilimlazimu kuyapata maji hayo Kwa sharti dogo sana lakini lenye gharama kubwa

Binti huyo aliyapata maji Kwa kustarehesha mwili wake kama sehemu ya malipo huku akisahau gharama kubwa iliyotolewa na wazazi wake Kwa malipo ya ada ya masomo usafiri na gharama za chakula na malazi

Gharama zilizokuwa mara dufu ya ndoo ndogo ya maji iliyopoteza thamani ya utu wake

Kibaya zaidi aliibuka Binti huyo na mahusiano yasiyo rasmi na kuyapupia Mapenzi zaidi kuliko masomo yaliyomtoa nyumbani kwao

Bahati haikuwa kwake wala familia kwani kusoma kuliishia njiani baada ya kutendwa na kijana aliyekuwa naye katika mahusiano hayo na kuishia kuwa ni dada wa mtaani asiyemaliza masomo Hadi leo

Napenda kutoa wito Kwa vijana waliovyuoni hasa wakike kujua umuhimu wa yaliyowapeleka vyuoni huko na kuyaacha yasiyo wahusu kwani mtaka nyingi nasaba hupata miiingi misiba

kijana wewe leo ndio haji manara wa kesho unayetegemewa katika taifa stars ijayo

Maendeleo ya kila taifa katika uchumu na biashara hata elimu yanategemea sana athari za vijana wetu

Daima mbele nguvu moja
 
Nisahihi kuishi maisha binafsi ukaacha ya watu. Siku ukijakumbana nayo utaona ni kiasi gani wazazi wanaumizwa na hali hizo
 
Wazazi ni watu pekee wanaopitia ugumu wa maisha ya watoto wao wawapo vyuoni wakitafuta elimu

Matarajio ya Kila mzazi ni mafanikio Kwa mtoto wake juu ya kile kilichompeleka chuoni kama egemeo la utafutaji wake hapo Baadae

Bahati mbaya iliyoje ni mtoto huyu ambaye anajulikana kama mwanachuo kutowajibika ipasavyo katika kusoma na Baadae huona ndio nafasi ya yeye kuishi maisha yake

Miaka kadhaa iliyopita katika chuo Cha afya kimoja hapa tanzania macho yangu yalishuhudia mwanadada mwenye asili ya mikoa ya kati ya Tanzania aliyekwenda Jiji la kibiashara la bongo kusomea taaluma Fulani

Dada mweledi na mwenye maadili mazuri ya kitamaduni za huko kwao aliyelelewa vema na wazee wake akiwa ni mwanachuo rasmi katika chuo hicho

Aliamka asubuhi Moja kuyasaka maji ya kupikia na hatimaye kuyakosa ikambidi akaazime maji Kwa wanachuo wenza wa maeneo hayo

Ni bahati mbaya sana Kwa yaliyomsibu Binti huyu

Haikuwa rahisi macho yangu kuvumilia mkasa huu na kamwe Hadi leo sitousahau

Katika kata hiyo yenye adha ya maji na ukame ambapo Kwa kipindi hicho ndoo ndogo ya maji chumvi iliuzwa Kwa shilingi mia mbili huku ya maji tamu ikiuzwa Kwa shilingi mia nne

Haikuwa rahisi Kwa Binti huyu kumudu gharama ya shilingi mia nne ya maji tamu ambapo ilimlazimu kuyapata maji hayo Kwa sharti dogo sana lakini lenye gharama kubwa

Binti huyo aliyapata maji Kwa kustarehesha mwili wake kama sehemu ya malipo huku akisahau gharama kubwa iliyotolewa na wazazi wake Kwa malipo ya ada ya masomo usafiri na gharama za chakula na malazi

Gharama zilizokuwa mara dufu ya ndoo ndogo ya maji iliyopoteza thamani ya utu wake

Kibaya zaidi aliibuka Binti huyo na mahusiano yasiyo rasmi na kuyapupia Mapenzi zaidi kuliko masomo yaliyomtoa nyumbani kwao

Bahati haikuwa kwake wala familia kwani kusoma kuliishia njiani baada ya kutendwa na kijana aliyekuwa naye katika mahusiano hayo na kuishia kuwa ni dada wa mtaani asiyemaliza masomo Hadi leo

Napenda kutoa wito Kwa vijana waliovyuoni hasa wakike kujua umuhimu wa yaliyowapeleka vyuoni huko na kuyaacha yasiyo wahusu kwani mtaka nyingi nasaba hupata miiingi misiba

kijana wewe leo ndio haji manara wa kesho unayetegemewa katika taifa stars ijayo

Maendeleo ya kila taifa katika uchumu na biashara hata elimu yanategemea sana athari za vijana wetu

Daima mbele nguvu moja
Vipi alikuwa na chura?
 
Back
Top Bottom