Naweza kusema tumesahaulika ila taathira yetu ni kubwa mno japo inaenda taratibu mno.
Wewe tuweke unapo taka baina ya haya makundi mawili,ukituweka wa kwanza sawa,ukituweka wa pili sawa,na ukituweka wa tatu unakuwa umepatia zaidi. Tumeamua kwa hiari yetu kujiweka mahala tunapo stahiki sababu...