Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kasumba ya chama cha CCM kuwarithisha madaraka watoto wa viongozi inaligharimu taifa letu.
Yawezekana huko nyuma wazazi wao walikuwa na uzalendo wa kweli lakini hawa watoto baada ya kuona kuwa siasa inalipa hasa baada ya CCM kuingiwa na na kubadilika kukumbatia ufisadi wazazi wao wakawalithisha wawe viongozi.
CCM ya leo imetuletea viongozi wabaya na wasiofaa kabisa ambao wao kujaza matumbo yao ni kipaumbele kuliko maslahi ya taifa letu.
Mfano ni January Makamba na Nape Nauye hawa vijana hawafai kuwa viongozi bali warithishwa na sasa ni mwiba kwa taifa.
Usulutani wa CCM unaligharimu taifa letu.
Yawezekana huko nyuma wazazi wao walikuwa na uzalendo wa kweli lakini hawa watoto baada ya kuona kuwa siasa inalipa hasa baada ya CCM kuingiwa na na kubadilika kukumbatia ufisadi wazazi wao wakawalithisha wawe viongozi.
CCM ya leo imetuletea viongozi wabaya na wasiofaa kabisa ambao wao kujaza matumbo yao ni kipaumbele kuliko maslahi ya taifa letu.
Mfano ni January Makamba na Nape Nauye hawa vijana hawafai kuwa viongozi bali warithishwa na sasa ni mwiba kwa taifa.
Usulutani wa CCM unaligharimu taifa letu.