1. Wanawake ambao unaweza kumtongoza leo, akakukataa, tena kwa mbwembwe, vijembe na kila aina ya kujidai hadi unaona wewe si loote kwake. Ukatulia zako ukaendelea na mambo yako. Ghafla baada ya miezi 6 au mwaka hivi anakuja kama mbwa aliyemwona chatu, mpole mnyenyekevu yaani yuko tayari kwa lolote. Bado natafuta huu ugonjwa unaitwaje eti. Maana naona hii tabia inazidi kushika kasi.
2. Mwanamke ambaye unamtokea anakukataa kwa mbwembwe zote. Alafu unamwona shosti yake anakutaka, mkaanzisha mahusiano yenu wawili. Sasa yule wa kwanza akishajua basi anaanza timbwili. Kwani wee mdada si ulinikataa? Unataka na wengine wanikatae? acheni wivu wa kijinga. Ukisema wa nini mwenzako anasema atampata lini.
2. Mwanamke ambaye unamtokea anakukataa kwa mbwembwe zote. Alafu unamwona shosti yake anakutaka, mkaanzisha mahusiano yenu wawili. Sasa yule wa kwanza akishajua basi anaanza timbwili. Kwani wee mdada si ulinikataa? Unataka na wengine wanikatae? acheni wivu wa kijinga. Ukisema wa nini mwenzako anasema atampata lini.