swahili

  1. BBC Swahili: Zuchu ndio msanii bora wa East Africa 2021!

    How do you find it guys!!? Mi binafsi nakubaliiii. Haappy New yearrr to u alll. Love U === Zuchu Mwanamuziki anayechipuka , ukuaji wake umekuwa wa kushangaza. Mwanamuziki huyu huimba kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza na ana sifa za muziki wa Tanzania aina ya Bongo Fleva. Mwaka uliopita...
  2. Nimekosa vya kusoma leo,naomba mwenye soft copy ya PGO swahili version (Polisi General Order) .

    Habari wadau..! Naombeni desa la Polisi General Order tena ikiwezekana la kiswahili nataka nipitie pitie kwa ajiri ya afya ya akili.
  3. Watanzania waanza kununua petroli na dizeli nchini Zambia

    Kwa mujibu wa VOA Swahili, Watanzania wa mipakani wameanza kuvuka mipaka na kwenda Zambia kununua mafuta (Petrol/Diesel) Kumbuka hayo mafuta yamepita kwenye bandari yenu na kusafirishwa mpaka Zambia na matozo kibao. Pesa ya kununua lita moja Tanzania ukienda Zambia unapata lita moja na nusu...
  4. Mwanahabari Erick Kabendera ahojiwa na BBC Swahili, aeleza yaliyomsibu

  5. kwa wale wenzangu na mimi tuliokuwa tukifanya swahili subtitles za Netflix, tujipe pole

    Kama kuna habari mbaya niliyopokea weekend hii, ni ya netflix kutotoa tena swahili subtitles. Hii ina maana fursa moja imefungana hii ni kutokana kwamba kulikuwa na malalamiko mengi ya subtitles nyingi za Kiswahili kuwa Machine generated hivyo kupotosha ukweli. Mfano Goodbye Guys - Kutafsiriwa...
  6. The best English - Swahili Translation Software

    Wakuu, naomba kujuzwa the best Swahili to English(and vice versa) Translation software. Google Translator haifanyi vizuri sana.
  7. T

    Swahili tutor on zoom

    Hi I am looking for a swahili tutor to teach my kids swahili. The person must be educated with good english and have use of a laptop for zoom lessons. They must be able to plan each lesson in advance. Inbox me for further information. Thanks Shani
  8. Akili za mjinga: kwenye huu msiba wa taifa sijaona watu wakipewa msosi na hamna complain, huku kwetu swahili bila menu msiba unabaki peke yako

    Ndugu zangu, huu msiba wa kitaifa mbona sijaona chakula chochote na wala sijaona watu wakiuliza wala kucomplain ila huku kwetu ikitokea msiba asubuhi tu utasikia baba fulani chai vipi mara harakati za manunuzi ya mchele, mara mafuta hii yote ni ili watu wapate menu wakiwa wanaomboleza...
  9. BBC Swahili: Tanzania yapiga marufuku biashara ya Nguruwe! Huu ndio weledi wa habari wa BBC au Kuna kitu wanalenga?

    Kuna tatizo Sehemu? ama kuna kitu kinatafutwa kwa makusudi? Kwa chombo cha habari chenye nguvu kubwa Kama hiki kutangaza habari namna hii kinaleta madhara makubwa sana kwa jamii na kuharibu kabisa taswira na biashara husika ambayo nina hakika Kuna watu wamewekeza kwayo. Hii itatufanya hata...
  10. Swahili Programming Language - swap

    Swahili programming language (swap) ni lugha ya kuprogram kwa kutumia maneno ya Kiswahili, ni lugha ya kwanza kabisa kuruhusu mtu kuweza kuandika kodi kwa kutumia maneno ya kiswahili (swahili lexical terms), lugha hii ilizinduliwa rasmi tar 2020-05-24 , lengo kuu ikiwa ni kusaidia kujifunza...
  11. S

    Looking for writers in Swahili

    Hi, Looking for people who understand a little bit about Sport and are able to write in Swahili. We're looking to pay $3 for 400 words. All articles should be unique and will be checked for copy-paste. Needed around 50 articles for the start. Please write to this email: andrew@xlncmedia.com...
  12. Matangazo ya BBC Swahili na Sauti ya Ujerumani mbona siyapati siku hizi kwenye Redio

    Niaje. Noamben kujua kuna tatizo gani kwa hawa wanaorusha habari za bbc Swahili na Sauti ya Ujerumani siwapat kabisa redion wamefungiwa au? Halafu pia naomba kujuzwa hawa BBC Swahili na vituo vingine vya habari vyanzo vyao vya mapato ni vipi maana nimezoe kuona huku kwetu radio station...
  13. Wachezaji wa soka wanaolipwa zaidi 2020: Source BBC swahili

    Wafahamu wachezaji wa soka wanaolipwa mapato ya juu zaidi 2020 Linapokuja suala la kupima wachezaji wazuri katika mchezo unaoshabikiwa sana, macho yote huangazia wachezaji wawili walio na upinzani mkali na umaarufu wakidaiwa kuweza kujipatia kipato cha $1 bilioni wakisakata soka. Inaweza kuwa...
  14. BBC Swahili weledi umepungua

    Wadau habarini za usiku, Kama heading isemavyo, ni wazi hili shirika now days professionalism imepungua kwa kiasi kikubwa mnoo uandaaji wa habari usioeleweka. Mfano Usiku huu nimetazama ripoti iliyosomwa na Lulu Odhiambo kuhusu kupungua maambukizi ya corona huko Kenya sasa katka display pale...
  15. Ni ipi tofauti ya Swahiba na Rafiki?

    WanaJamvi na memba nijuzeni tafsiri au maana kati ya Swahiba na Rafiki? Tiririkeni.
  16. Journalist at BBC Swahili Service - Dar es Salaam

    Journalist, BBC Swahili Service - Dar es Salaam Job Reference: BBC/TP/788771/50346 Contract Type: Permanent Job Category: Journalism Business Unit: News - WSG World Service Location: Dar es-Salaam, Tanzania, United Republic of Job Title: Journalist Job Introduction The BBC is an...
  17. BBC SWAHILI: Kwanini CCM imeweza kusalia Madarakani kwa miaka yote?

    Katika mojawapo ya mahojiano aliyowahi kufanya miaka ya nyuma, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa anadhani nini hasa ilikuwa siri ya Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, kudumu muda mrefu madarakani. Bila kupepesa macho, Rais huyo alitoa jibu moja tu; He tamed the army...
  18. R

    Kwanini ni vigumu kwa watu wenye ulemavu kuwa katika mahusiano?

    Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe...
  19. BBC Swahili fanyieni kazi hili...

    Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio mbalimbali hapa nchini, miongoni mwa hizo ni BBC SWAHILI kupitia washirika wao. Si kwamba wanachonikwaza wao hakitokei kwenye redio nyingine la hasha ila naangalia na ukubwa wa shirika husika. Hakuna shaka kuwa sehemu kubwa ya Wasikilizaji wa Kiswahili...
  20. M

    BBC: Jinsi Rais Magufuli anavyopambana na corona na "mabeberu"

    Na Sammy Awami BBC News, Dar es Salaam 18 Juni 2020 Rais wa Tanzania John Magufuli amekuwa akikosolewa kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya "mabeberu" na tangazo lake la hivi karibuni kuwa maombi na sala vineondosha virusi vya corona katika taifa hilo. Lakini suala hilo la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…