I AM NO ONE
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 389
- 576
Niaje.
Noamben kujua kuna tatizo gani kwa hawa wanaorusha habari za bbc Swahili na Sauti ya Ujerumani siwapat kabisa redion wamefungiwa au?
Halafu pia naomba kujuzwa hawa BBC Swahili na vituo vingine vya habari vyanzo vyao vya mapato ni vipi maana nimezoe kuona huku kwetu radio station nyingi zina matangazo.
Hivyo kupitia matangazo wanapata pesa na matangazo yenyewe huwa tunayasikia kama tigo pepsi coca mara voda ila hawa bbc dw naona nikisilikiza huwa sipati tangazo hata moja kulisikia sasa swali langu hawa wanarun vip hizo taasisi funds zao wanatoa wap mpka kuweza kutuma wanahabar sehem mbali mbali kusaka habari.
Noamben kujua kuna tatizo gani kwa hawa wanaorusha habari za bbc Swahili na Sauti ya Ujerumani siwapat kabisa redion wamefungiwa au?
Halafu pia naomba kujuzwa hawa BBC Swahili na vituo vingine vya habari vyanzo vyao vya mapato ni vipi maana nimezoe kuona huku kwetu radio station nyingi zina matangazo.
Hivyo kupitia matangazo wanapata pesa na matangazo yenyewe huwa tunayasikia kama tigo pepsi coca mara voda ila hawa bbc dw naona nikisilikiza huwa sipati tangazo hata moja kulisikia sasa swali langu hawa wanarun vip hizo taasisi funds zao wanatoa wap mpka kuweza kutuma wanahabar sehem mbali mbali kusaka habari.