Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,103
WanaJamvi na memba nijuzeni tafsiri au maana kati ya Swahiba na Rafiki?
Tiririkeni.
Tiririkeni.
Samahani hujashibisha jibu!!Swahiba ni mshikaji,MTU wako mlieshibana sana kuzidi undugu,rafiki ni MTU uliyezoeana nae na mazoea yenye mipaka yawezakuwa jamaa,Dada,baba,kaka,mama,mdogo,make,mume,mtoto,jirani,classmate,n.k
Swahiba=zaidi ya rafiki(wachache),rafiki=ukaribu kwenye mipaka tofauti mfano mke,baba,mama,mtoto..nk(wengi)Samahani hujashibisha jibu!!
Kwanza nipe maneno haya kwa laugha asili...!!
Swadaqta !!Swahiba=zaidi ya rafiki(wachache),rafiki=ukaribu kwenye mipaka tofauti mfano mke,baba,mama,mtoto..nk(wengi)