Kwanini ni vigumu kwa watu wenye ulemavu kuwa katika mahusiano?

renamaizo

JF-Expert Member
Oct 17, 2014
2,118
3,001
Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada

Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe msichana lazima kuna kuwa na ugumu fulani yaani unaweza kuta mtu anamtokea mwanamke fulani awe mwanaume anamtongoza mwanamke fulani lakini akijua tu ni mlemavu lazima aache kitu kinachopelekea kupungua kwa confidence kwa watu wenye ulemavu

Katika maisha NGONO ni kitu muhimu sana kwa binadamu ili aweze kufanya kazi vizuri na kujituma NGONO ina mchango mkubwa sana kiuchumi na kijamii japo hili watu huwa hawaliongei sana

Kuna athari kubwa sana kiafya na kisaikolojia kuishi muda mrefu bila kufanya NGONO sasa basi naomba michango yenu

Kwanini imekuwa ni ngumu kwa watu wenye ulemavu kuwa na mahusiano ya kimapenzi?

Nini hasa kifanyike ili kusababisha kundi hili lionekane ni la kawaida katika jamii?
 
Isipokua ulemavu wa akili as hutajua ni muda gani anato consent na muda gani hatoi consent. Ulemavu mwingine wowote sioni kama una tatizo kwangu.
 
Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada

Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe msichana lazima kuna kuwa na ugumu fulani yaani unaweza kuta mtu anamtokea mwanamke fulani awe mwanaume anamtongoza mwanamke fulani lakini akijua tu ni mlemavu lazima aache kitu kinachopelekea kupungua kwa confidence kwa watu wenye ulemavu

Katika maisha NGONO ni kitu muhimu sana kwa binadamu ili aweze kufanya kazi vizuri na kujituma NGONO ina mchango mkubwa sana kiuchumi na kijamii japo hili watu huwa hawaliongei sana

Kuna athari kubwa sana kiafya na kisaikolojia kuishi muda mrefu bila kufanya NGONO sasa basi naomba michango yenu

Kwanini imekuwa ni ngumu kwa watu wenye ulemavu kuwa na mahusiano ya kimapenzi?

Nini hasa kifanyike ili kusababisha kundi hili lionekane ni la kawaida katika jamii?
Kwqnza mleta uzi nitakujib kama mtu mwenye ulemavu. Kuna aina za ulemavu haukupihuru na uwezo wa kufanya maamuzi ya tendo fulani. Mfan ni ulemavu wa mtindio wa ubongo. Katika ulemavu wa aina kama hii haiwezekani kua na mahusiano ya kimapenzi.
Pili ninapenda kukuambia kwamba kuna aina kadhaa za ulemavu ambazo mlemavu aliye na moja kati ya aina hizo za ulemavu anawweza kua na mahusiano. Kuna uziwi na sio wasiosikia, wasioona na sio vipofu, walemavu wa viungo, albino na sio Zeruzeru, na walemavu wa ngozi.
Suala la kwa nn wanashindwa kua na mahusiano ya kimapenzi ni kutokana na mitazamo mibovu ya jamii juu ya ulemavu na walemavu.
Mwisho kabisa nikuambie nayasema haya maana ninauzoefh nayo. Mimi ni mtu nisiyeona. Asante.
 
Kwqnza mleta uzi nitakujib kama mtu mwenye ulemavu. Kuna aina za ulemavu haukupihuru na uwezo wa kufanya maamuzi ya tendo fulani. Mfan ni ulemavu wa mtindio wa ubongo. Katika ulemavu wa aina kama hii haiwezekani kua na mahusiano ya kimapenzi.
Pili ninapenda kukuambia kwamba kuna aina kadhaa za ulemavu ambazo mlemavu aliye na moja kati ya aina hizo za ulemavu anawweza kua na mahusiano. Kuna uziwi na sio wasiosikia, wasioona na sio vipofu, walemavu wa viungo, albino na sio Zeruzeru, na walemavu wa ngozi.
Suala la kwa nn wanashindwa kua na mahusiano ya kimapenzi ni kutokana na mitazamo mibovu ya jamii juu ya ulemavu na walemavu.
Mwisho kabisa nikuambie nayasema haya maana ninauzoefh nayo. Mimi ni mtu nisiyeona. Asante.
Ila nimegundua kitu kimoja ktk mijadala km hii watu hutoa majibu yenye matumain sn yaan majibu wanayowaweka hapa hayaendan na maisha halisi
Sasa kwa maisha tunayoish nimebain yafuatayo kwa watu wazima wenye umri 40 or above hawa wanaweza kuwa ktk mahusiano mmoja mlemavu mwingine mzima sababu hawa kwao mapenz yana maana tofaut kabisa na vijana

Sasa kimbembe kipo kwa vijana hawa wa miaka 20 na hawa mapenzi kwao ni show off akiwa na mpenzi atataka atolenae out amtambulishe kwa rafk zakedada zakeazirure nae mitaan sasa akija mlemavu atawaza itakuwaje km nikienda kumtambulisha kwa rafk zangu itakuwaje nikitoka nae out na ndio maana kwa level ya vijana ni ngumu mlemavu kuwa ktk mahusiano
 
Sababu si ndio hiyo kwasababu ni walemavu mkuu,ila nao watu sote tupo safarini tunapita duniani
Ndio lkn kuna cha ziada mapenz siku hz hasa kwa vijana no show off tupu so inakuwa ngumu kwa disability kuwa in love na vijana labda kwa watu wazima inawezekana na nimeshashuhudia ndoa zinafungwa mmoja mlemavu lkn ukiangalia ndoa za namna hii unaona labisa wote ni watu wazima umri above 40
 
Ila nimegundua kitu kimoja ktk mijadala km hii watu hutoa majibu yenye matumain sn yaan majibu wanayowaweka hapa hayaendan na maisha halisi
Sasa kwa maisha tunayoish nimebain yafuatayo kwa watu wazima wenye umri 40 or above hawa wanaweza kuwa ktk mahusiano mmoja mlemavu mwingine mzima sababu hawa kwao mapenz yana maana tofaut kabisa na vijana

Sasa kimbembe kipo kwa vijana hawa wa miaka 20 na hawa mapenzi kwao ni show off akiwa na mpenzi atataka atolenae out amtambulishe kwa rafk zakedada zakeazirure nae mitaan sasa akija mlemavu atawaza itakuwaje km nikienda kumtambulisha kwa rafk zangu itakuwaje nikitoka nae out na ndio maana kwa level ya vijana ni ngumu mlemavu kuwa ktk mahusiano
Naam hapa kuna hoja fulani ya msingi yumeiongea. Ila changamoto zaid ni kwa watu wenye ulemavu wa kike zaidi kuliko wa kiume. Na hili linatokana na ile dhana kwamba mwanamke ni msaidizi wa mwanamume. Sasa baadhi ya wa ajamii wanaona mwanamke akiwa mlemabu anatimizaje majukumu yake kwa mwanamume.
 
Habarii wana JamiiForums, hope mpo poa. Nadhani wote tupo nyumbani mida hii maana weekend imeanza mapema kutokana na sikukuu za nane nane kushukia hapa hebu nisiwachoshe twende moja kwa moja kwenye mada

Hivi kwanini inakuwa shida watu wenye ulemavu kuingia kwenye mahusiano, iwe mvulana iwe msichana lazima kuna kuwa na ugumu fulani yaani unaweza kuta mtu anamtokea mwanamke fulani awe mwanaume anamtongoza mwanamke fulani lakini akijua tu ni mlemavu lazima aache kitu kinachopelekea kupungua kwa confidence kwa watu wenye ulemavu

Katika maisha NGONO ni kitu muhimu sana kwa binadamu ili aweze kufanya kazi vizuri na kujituma NGONO ina mchango mkubwa sana kiuchumi na kijamii japo hili watu huwa hawaliongei sana

Kuna athari kubwa sana kiafya na kisaikolojia kuishi muda mrefu bila kufanya NGONO sasa basi naomba michango yenu

Kwanini imekuwa ni ngumu kwa watu wenye ulemavu kuwa na mahusiano ya kimapenzi?

Nini hasa kifanyike ili kusababisha kundi hili lionekane ni la kawaida katika jamii?
Diasbility is not inability...

Kwangu mimi sioni shida
 
Mtu asiye na akili timamu wala haelewi mambo ya dini
Katika Uislam kama mwanamume yurijali na anakili timamu sharia ya dini inaruhusu kuoa.

Hivyo basi kama mtu ni saa mbovu "ulemavu wa akili" au uhanithi "kutodindisha" sharia haimruhusu.
 
Naam hapa kuna hoja fulani ya msingi yumeiongea. Ila changamoto zaid ni kwa watu wenye ulemavu wa kike zaidi kuliko wa kiume. Na hili linatokana na ile dhana kwamba mwanamke ni msaidizi wa mwanamume. Sasa baadhi ya wa ajamii wanaona mwanamke akiwa mlemabu anatimizaje majukumu yake kwa mwanamume.
Ata kwa mwanaume kuna changamoto sn
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom