support

  1. Pascal Mayalla

    Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!

    Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...
  2. C

    Rais Samia na Wasaidizi wake wapunguze pressure; support aliyonayo ni kubwa sana

    Tukio la juzi la police kuvamia wa mama wa chadema ilikuwa ni aibu sana, yaani wame react baada ya Mbowe kusema atapeleka watu barabarani? Trust me hata leo Chadema wakisema wanaingia barabarani hawatapata sapoti ambayo polisi wanadhani itakuwepo, punguzeni mihemko ya kitoto. Tena kama...
  3. Jamii Opportunities

    Operations Assistant (Field Support) at International Organization for Migration - 2 Positions

    POST DESCRIPTION I. POSITION INFORMATION Vacancy Number IOM/DAR/012/2021 Position title Operations Assistant (Field Support)-2 Positions Position grade G-4 Duty station Dar es Salaam Durations One Year Fixed-Term Contract with possibility of extension Position number...
  4. U

    Msaada wa google support customer service

    Wakuu habari zeno, Ninashida na jinsi yakuwasiliana na Google support service nimepoteza keys za Google authenticator nimejalibu kutafuta mawasiliano nao nimeshindw najua umu siatakosa mwanga karibuni. CHIEF MKWAWA
  5. Donyongijape

    Open Letter: Rais Samia, TRA isiyo na Support yako, ni Kifo cha Taifa

    Mhe Rais, naomba utumie dakika chache kusoma barua hii wewe mwenyewe, na kama hautapata muda naomba wasaidizi wako wakusaidie kuusoma na kukufikikishia. Naandika haya kama Raia aliye na wasiwasi baada ya kutafakari kwa kina juu ya "TONE" yako uliyokwishaitoa hadharani kuhusu taasisi hii nyeti...
  6. Ushimen

    IOM Tanzania Vacancies, April 2021- Operations Assistant-Field Support (8 Posts)

    JOB TITLE: Operations Assistant-Field Support (8 Posts) Vacancy Notice Number IOM/KSU/006/2021 Duty station Kasulu/Makere, Tanzania Type of Appointment & Durations: SST-4 Months with possibility of extension Reports directly to: National Associate Movements Operations Officer Overall...
  7. O

    Devki Steel Mills coming up nicely in Kwale County. KPA is ready to support it

    The Port of Mombasa is gearing to handle up to one million tons per annum of raw material imports for the modern DEVKI Steel smelting plant currently under construction at Samburu, Kwale County, about 54 kilometers from Mombasa. KPA Board Chairman Gen (Rd) Joseph Kibwana led a delegation of...
  8. Jamii Opportunities

    Project Support Officer at TRAFFIC

    Project Support Officer – East Africa BACKGROUND: TRAFFIC, the wildlife trade monitoring network, works to ensure that trade in wild animals and plants is not a threat to the conservation of nature. We are now looking to expand our Project support team based in TRAFFIC’S East Africa Office in...
  9. N

    Chato FC wako vizuri wanahitaji support

    Hawa jamaa nilishuhudia wakipigwa 4-0 last week na kutolewa kombe la shirikisho ila wanahitaji support kali watapanda daraja kitendo ambacho Geita Gold wamekishindwa miaka mingi,wapewe sapoti hawa vijana hata ya kujengewa uwanja. Mkubwa wa kisasa ili kupanua maendeleo ya soka na kuibua vipaji...
  10. Gwangzu

    Naomba support yenu wadau

    Habari za muda huu wakuu... Mimi ni Mdau wa jukwaa hili la technology nimefungua channel Kule youtube inayohusu ma.Game na teknolojia kwa ujumla ninaomba support yenu kwa kusubscribe channel yangu ya youtube inaitwa SWAHILI ZONE na kushare video zangu huwa naweka maelekezo jinsi ya kudownload...
  11. Ndengaso

    Juma Jux anahitaji support yetu leo than ever

    Baada ya Rotimi kuchafua hali ya hewa huko Insta hatimaye dua za Jux zimekua dua za Kuku, kiukweli wengi hawakutaraji na hata Jux mwenyewe alijua dada yetu anafanyiwa window shopping tu nakuachwa kimasihara ... hatimae limepumzishwa jiwe la magram yakutosha kwenye kidole cha dada yetu , na hii...
  12. Jamii Opportunities

    Graphic/Web Designer/Webmaster/IT Support at First Class Africa

    Call for offers: Graphic/Web Designer/Webmaster/IT Support A prolific tour and hospitality company with a customer centric delivery model is seeking proposals from exceptionally talented, super innovative, self-starter, ingenious, experienced (at least 3 years), outside the box thinker Tanzania...
  13. El Roi

    Zaburi tuliyosomeshwa na Halima Mdee hai-support kabisa

    Nianze kwa kukiri kwamba nilifurahishwa kiasi kumuona Halima akitueleza vile mama yake alivyompa neno la faraja kutoka kitabu cha zaburi 35 katika masaibu yake. Ni tabia njema upande m moja kuona Watu wanakimbilia msaada wa vitabu vitakatifu kwa ajili ya faraja au hata kupata ufumbuzi wa...
  14. M

    Magufuli’s Mass Support attests ''Lives he Touched in the Past Five Years''

    TANZANIA’s incumbent President John Magufuli’s undisputable landslide win in the October 2020 elections will implicitly emanate from the incredible majority support of the people he served incredibly well, with reforms that touched the country’s weakest of the weak. “Clearly Magufuli’s campaign...
  15. A

    The Citizen ndilo Gazeti linalostahili kuungwa mkono na pongezi toka kwa wananchi

    Katika mchakato huu wa uchaguzi, vyombo vya habari, hasa magazeti yamekua yakikemewa kwa kuonesha upendeleo kwa CCM, na ni ukweli. Pamoja na mazingira hatarishi ya kufanya kazi zao, baadhi ya vyombo hivi vimejitahidi kutoa habari zinazotoa uwanja sawa kwa vyama vyote na kuripoti matukio nyeti...
  16. mwangaza africa

    Nafasi za ajira za muda 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP)

    kumbuka malipo hayo yanajumuisha chakula, malazi na usafiri === Project Title: 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP) Organization: Mwangaza Africa Job Title: Civic and Voters Education Field Officers (250 positions) Salary: Tsh 4,530,000/= (2,700,000 for form six) for 3 Months Job...
  17. LIKUD

    GE2020 Why I support Nyalandu and not Lissu

    Lissu ni Mwanaharakati, hafai kupewa madaraka ya juu kama Urais. Anaweza kufaa Sana akiwa Waziri Mkuu, Mkurugenzi WA TAKUKURU, Spika wa Bunge, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Waziri wa Katiba na Sheria but sio kuwa Rais wa nchi. Rais anatakiwa awe ame " out grow "Ile phase ya...
  18. Mongoiwe

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi Knight Support na Wahasibu wake wakamatwa

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi Knight Support (wa kwanza kulia), Bresing Kachambwa na Wahasibu wa kampuni hiyo wakiwa kwenye gari la Polisi baada ya kukamatwa wakituhumiwa kushindawa kuwasilisha NSSF michango ya makato ya wafanyakazi wake kiasi cha Sh bilioni 8.417.
  19. Jamii Opportunities

    Chief of Party (COP) at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

    Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under nongovernmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministries of Health Community Development Gender Elderly and Children (MoHCDGEC) and Regional Administration and Local...
  20. Jamii Opportunities

    NHLS ECHO Program Officer at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

    OVERVIEW Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under nongovernmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministries of Health Community Development Gender Elderly and Children (MoHCDGEC) and Regional Administration and...
Back
Top Bottom