Avatar yangu ni sehemu mojawapo nzuri za utalii hapa Tanzania, hapo ni Selous. Mungu ameijalia sana hii nchi.
Huyo ni Michael Jordan ambaye alipata umaarufu mkubwa kwa uchezaji wa Basketball na pia leadership ability yake as a player during those old good days of DA BULLS which led to 6 championship starting in 1991. Ni mtu ambaye namuadmire sana pamoja na kuwa ana mapungufu yake kama binadamu wengine.
yangu hata sijui, ila nimeamua kumridhisha wifi yenu tu.
Unajua Burn nadhani ulikuwa na avator moja huko awali kama sikosei ilikua dangerous sana... sina hakika kama ni wewe au nachanganya mapaka watu wakacomplain!
Nimejifunza mengi kutokana na avator za watu hapa...
Kuna wachungaji wema..
wanamazoezi...
watu wapole and composed...
watu wa maamuzi mazito.... nadhani bila kuangalia sura .....!
wazalendo wa nchi zao..
wapenda familia....
watalli wa utalii wa ndani..
wanaofuatilia role models...
It is good very good indeed.
Nasubiri avator ya Next Level! Ina maana gani??
Ha!ha!ha!ha!ha!....kijana Avatar yangu (cartoon ya BO & HC) na ID yangu vinaangukia hapo juu......in addition, to that!
ID yangu ni for people who believe that....our time is now, my future is made now, if I play now I gonna my future life will be full of cry and excuses.....I don't want excuses in my life kabisa! Sitaki kumsingizia mtu yeyote kwa failures zangu! I am the Next Level man!....highly inspired na ule mchakato wa kina Obama na H. Clinton kny kinyang'anyiro cha White House!