BIG BROTHER ALEX
JF-Expert Member
- Sep 24, 2025
- 1,293
- 2,258
Kijana John Jay-Z, HUKO Instagram amesimulia, jambo zito, linalo ishi kwenye maisha yake Hadi Leo, baada ya kumaliza elimu yake kipindi hicho.
Alijiingiza kwenye kazi ya saidia fundi, anasimulia ILIKUA tarehe 3/10/2021 asubuhi saa kumi na moja.
Mama yake mzazi walie kuwa wanaishi NAE,j alikuja kumuamsha aende kazini kwenye vibarua vyake vya saidia fundi anapo tafuta riziki, mama wa watu akampa na nauli ya kuendea kazini, huku akimsihii asikate tamaa kwenye maisha, John aliamka na kwenda zake vibaruani.
Baadae John alipo Rudi nyumbani aka kuta mama yake kajinyonga Hadi kufa.
Alijiingiza kwenye kazi ya saidia fundi, anasimulia ILIKUA tarehe 3/10/2021 asubuhi saa kumi na moja.
Mama yake mzazi walie kuwa wanaishi NAE,j alikuja kumuamsha aende kazini kwenye vibarua vyake vya saidia fundi anapo tafuta riziki, mama wa watu akampa na nauli ya kuendea kazini, huku akimsihii asikate tamaa kwenye maisha, John aliamka na kwenda zake vibaruani.
Baadae John alipo Rudi nyumbani aka kuta mama yake kajinyonga Hadi kufa.