special

Special forces or special operations forces (SOF) are military units trained to conduct special operations. NATO has defined special operations as "military activities conducted by specially designated, organized, selected, trained and equipped forces using unconventional techniques and modes of employment".Special forces emerged in the early 20th century, with a significant growth in the field during World War II, when "every major army involved in the fighting" created formations devoted to special operations behind enemy lines. Depending on the country, special forces may perform functions including airborne operations, counter-insurgency, counter-terrorism, foreign internal defense, covert ops, direct action, hostage rescue, high-value targets/manhunt, intelligence operations, mobility operations, and unconventional warfare.In Russian-speaking countries, special forces of any country are typically called spetsnaz, an acronym for "special purpose". In the United States, the term special forces often refers specifically to the U.S. Army Special Forces, while the term special operations forces is used more broadly for these types of units. Members of special forces units are often called "operators", a term originating with Delta Force.

View More On Wikipedia.org
  1. jonas amos

    Special thread-yanayojiri USA Los Angeles janga la moto

    Kutokana na moto unaoendelea kuweka huku miundombinu likiendelea kuharibika Zipo taarifa kadhaa ikiwamo moto huo kuhusishwa na ugaid Na kama itakuwa ndivyo basi marekan atakuwa amevuliwa nguo Kwa siku ya Jana mshukiwa mmoja amekamatwa akiwa ni simu za mkononi Tano na kadi za bank...
  2. Teslarati

    Maneno ya mkosaji special thread

    Ndugu zangu huku tukisubiria mwaka mpa tutumie huu uzi kujuzana maneno ya wakosaji, yaani yale maneno wanayotumia wasionacho kujifariji wakiowaona wenye nacho. Mimi nitaanza na haya. "Kwani IST nayo gari sasa" (hapo jamaa anasubiri foleni ya mwendokasi Kimara - Morocco "Huyo dem tumegonga sana...
  3. M

    Naomba kufahamishwa kuhusu gharama za special hire

    Wenye kufahamu gharama za kukodisha hizo gari coaster tokea dar mpaka moshi ,kwenda na kurudi.
  4. Dialogist

    SPECIAL THREAD: Heri Ya Sikukuu ya Christmas 2024 Na Mwaka Mpya 2025.

    Welcome On board... Nawatakia wadau wote wa JamiiForum, wakiwemo members na non members na Uongozi mzima Wa JF, ukiongozwa na Director Maxence Melo, heri ya sikukuu ya Christmas 2024 na mwaka mpya 2025. Bwana Yesu amezaliwa kwa ajili yetu, basi tuende tukahubiri upendo na amani, kwetu na kwa...
  5. Burure

    Hii ni special kwa makada wa CHADEMA

    Tumeona jana mwenyekiti wenu akisema masuala ya ndani ya chama chenu ya yeye kuendelea kuwa Mwenyekiti ni yenu binafsi. Hivyo basi msiwe mnatushirikisha sisi raia wa kawaida kuhusu mambo yenu na ikitokea mkaonewa kaeni chini na waliowaonea na kutafuta solution na sio kutoka nje na kuanza...
  6. Tman900

    Viongozi wanajiona wa Muhimu sana wamelevywa na Madaraka

    Mimi sio Mwanasiasa na Wala sio mtu mwenye Jina kubwa ktk hii Nchi Yenye Watu wakuu na Waliomaalumu sana. Nimetazama Umuhimu wa Raia ktk Hii, Nchi, nimeona Uthamani wa Raia ni mdogo sana. Kipaumbele cha serikali kwa Raia wake juu ya Ufafanunuzi wa kinachoendelea katika Nchi kwa Miaka kadhaa...
  7. Pascal Mayalla

    Uraia Pacha, Wanadiaspora Mshukuruni Rais, sasa mnatambuliwa rasmi kwa Special Status ya Diaspora Tanzanite Card, una enjoy baadhi ya Haki za Uraia!

    Wanabodi Ni juzi Ijumaa niliuliza humu Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga, leo nakutana na hii hoja, uraia pacha wetu jameni ndio huu!. Haya sasa ndugu zetu wana Diaspora, mliopoteza uraia...
  8. Funa the Wild

    Christmas Special

    CHRISTMAS SPECIAL🎁 Date: 25th, DEC 2024 The Horizon Beach 🏖️ Karibu kwenye safari ya kusimumua ya kutembelea fukwe za "The Horizon" ndani ya mji wa "Bagamoyo" ikiambatana na kusherehekea sikukuu ya "Christmas", ikitukutanisha wadau kutoka kona mbalimbali. Ikiambatana na kufanya "Utalii wa...
  9. Hommy

    Ushauri kuhusu Biashara ya Kuagiza Nguo za Special za Kupoint Mtandaoni kutoka Alibaba - Je, Inalipa?

    Habari wana JF, Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuagiza nguo za special za kupoint kutoka kwa wauzaji mbalimbali mtandaoni, hasa kwenye mitandao kama Alibaba. Hii ni biashara ambapo nitachagua nguo chache chache kutoka kwa wauzaji tofauti, badala ya kuagiza kwa wingi. Ningependa kujua...
  10. ELI COHEN

    Nasema hivi, kama upo nafasi unapata maslahi ya kukutosheleza wewe, familia na akiba yako, basi ishikilie, maana kwa hali hii wewe ni special

    Acha majivuno ndugu, acha umwamba, acha "usimba", sio wewe, ni hio bahati pekee ya mafanikio, kuwa grateful sio kwa aliekupa mchongo tu hata kwa sisi tunaojipitisha tu maana njaa zetu zikikupata hata ghafla utageuka chizi. Mfundishe mkeo asiwadharau wake za wengine kisa wamesuka njia moja ya...
  11. Its Pancho

    Kwa walimu tu; Bachelor of education in special needs vs Bachelor of education in policy planning and management ipi inamfaa mdogo wangu?

    I salute you kinsmen. Mdogo wangu kutoka kijijini alichaguliwa chuo huku mjini na ndio vile alipata ualimu kama mnavyojua maskini yeye ni ualimu ndiyo unamfaa ameona. Alichaguliwa hiyo Bachelor of education in policy planning and management lakini aliomba Bachelor of education in special...
  12. KING MIDAS

    Dog Lovers Special Thread

    Huu ni Uzi maalum kwa wapenzi wa mbwa, wafugaji na wafanyabiashara wa mbwa, wauza madawa na tiba za mbwa, wauza vyakula vya mbwa, na wadau mbalimbali wa mbwa.
  13. Magical power

    Nyimbo yangu special kwa Jamii Forums

    Kuna wanangu nimewalusha umu one love Sisi n ndugu ama vip wadau wangu,ambao sijawataja mtanisamee Bure mana sija yakalili majina yenu vyema ila tupo pamoja🙏🏽
  14. Ziroseventytwo

    Nilitegemea kukura (live) special thread ya uchaguzi mkuu wa marekani.

    Badala yake ni nyuzi za kugogeana mademu huko afrika ya kati. Kina Nyani Ngabu Mzee Mwanakijiji Yoda na Kiranga sijui mnaishi marekani ya wapi!!
  15. Teslarati

    Sinza (Sin city) special thread: Burudani, Vimbwanga na Starehe unazoweza kuzipata

    Nimefikiria kuanzisha uzi kuhusu hii pande ya mji wa dar es salaam tupate kushirikishana mambo kadhaa. Ukiona pisi kali kapanga sinza anakaa kigetogeto na hana kazi maalum, mkuu usitongoze wewe uliza tu bao moja sh ngapi. Wanaume watanashati kupitiliza huko sinza wengi sio riziki. Kama ni...
  16. Double line

    Uzi wa kupeana fursa za kazi na ajira

    WAKUU HUU UZI MAALUMU WA MAJOBLESS Wakutiana Moto na kufarijiana kwa yote tunayopitia vile vile kupeana fursa na taarifa kuhusu utafutaji kazi NIANZE NA MIMI Huu mwezi wa pili tangia nisimamishwe kazi nilipokuwa nafanya kazi NI mkoani geita geita gold kutokana na kashfa ya pombe nimerudi dar...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Picha hii ni special dedication kwa Mshana Jr, mwana JF nguli asiye na mfanowe

    Mr. Warthog is untouchable.
  18. funaku

    Special Thread: Mnanda, Mchiriku, vanga na Singeli Utamaduni wa kipekee unaotambulisha Tanzania kimataifa

    Thread hii ni maalumu ya kutambulisha muziki huu ambao juhudi za kuukwamisha zimeshindikana na sasa unachukua sifa duniani kote. Katika thread hii tunaweza kupakia(upload ) na kusikiliza singeli za ndani ndani uswahilini ambazo ukisikiliza kwa makini utapata ujumbe murua na muhimu ndani yake...
  19. S

    Special thread kwa ajili ya wakemia waliopo kazini ,wanaosoma na wanaotafuta kazi tupeane connection

    Uzi maalum wa wakemia karibuni
  20. S

    Chemists, Quality Control Chemist, Lab Technician Chemists who are on job and who are looking for job, welcome for connection

    Uzi maalum wa Wakemia wasionaajira, wanaotafuta kazi na waajira hata wanafunzi wakemia karibuni tupeane connection.
Back
Top Bottom